Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
Nina kiwanja cha 20m kwa 20m, nataka kujenga 11m kwa 11m room Tatu sebule Choo na bafu za kawaida milioni kumi na tano, nitaweza kuanza kuishi kama haijakamik
mjini ukiwa na pakulala hela ya kula haikusumbui kwahiyo kujenga muhimuAkili zetu watanzania ni kujenga tu.. Tumejiwekea imani kuwa bila kujenga maisha hayaendi... Anzisha biashara, zalisha hayo mamilioni, utajenga tu