Ujenzi wa nyumba kwa bajeti ya milion 5

Ujenzi wa nyumba kwa bajeti ya milion 5

Vuta maji kwanza, muite fundi akupe bajeti ya mahitaji yote kuanzia msingi mpaka finishing, total bajeti itakayokuja kama imezidi muanze kushauriana wapi pa kupunguza na kivipi. Ni hela nyingi sana hiyo Ukitulia na kushinda site na kununua material mwenyewe unamaliza mpaka finishing
 
Vuta maji kwanza, muite fundi akupe bajeti ya mahitaji yote kuanzia msingi mpaka finishing, total bajeti itakayokuja kama imezidi muanze kushauriana wapi pa kupunguza na kivipi. Ni hela nyingi sana hiyo Ukitulia na kushinda site na kununua material mwenyewe unamaliza mpaka finishing
Maji ipo ni kuweka mita tu
 
Hapa unamuingiza cha kike mkuu , 4m kuezeka? Mbao Tsh ngapi? bati Tsh Ngapi? Ufundi tsh ngapi? material misumali,kofia,usafiri??
Kupanga ni kuchagua,inawezekana sana,bando la bati ya gage 30 ni 325000 ,tufanye atumie 4 1300000 ambazo ni nyingi sana,hope zitapungua
Mbao tuseme iende 1.5 mpaka blanda
Fundi na vilivyobaki wanagawana,it possible chief.
Labda kama anataka msauzi
 
Kupanga ni kuchagua,inawezekana sana,bando la bati ya gage 30 ni 325000 ,tufanye atumie 4 1300000 ambazo ni nyingi sana,hope zitapungua
Mbao tuseme iende 1.5 mpaka blanda
Fundi na vilivyobaki wanagawana,it possible chief.
Labda kama anataka msauzi
Nyumba hiyo haipungua bati 90.
 
Nyumba hiyo haipungua bati 90.
Upo sahihi chief,haya ni makadilio nimefanya naweza nisiwe sahihi kwenye kila eneo,ila kwa pesa ya mleta mada,inatosha na kuezeka nyumba.
Nakumbuka wakati nafanya ujenzi,nilikaa na fundi nikamwambia kuhusu kutokutumia mbao nyingi,tukakubaliana tutumie 2*3 na 2*4,hazikuwa mbao nyingi.
Nilijikuta nimepunguza gharama zaidi ya laki 5. Naamini hata yeye akikaa chini na fundi watapata namna bora ya kufanya.
 
Watu wanajidanganya sana kwa hidden roof ,gharama za kuaandaa ili iitwe hidden ni mara mbili ya kununua mbao na bati ingawa at the end utatumia mbao na bati chache.
sio kweli ulishawahi kufanya au unawaza...gharama ni ndogo sana...nondo chache ama wavu inatosha
 
sio kweli ulishawahi kufanya au unawaza...gharama ni ndogo sana...nondo chache ama wavu inatosha

Mkuu acha kuongopea watu ,waulize watu waliojenga ,mimi pia ni dalali wa ujenzi ,naona maboss tunaowajengea hidden roof wanavyopasuka mifuko hadi wanalala na viatu,waliongopewa hivyo hivyo kama ni gharama nafuu,usisikilize habari za mitandaoni,najua hauzijui uliza hata humu kwa mtu aliyejenga ndio atakwambia ,hata mimi zamani nilikuwa najua ni nafuu kama wewe ila baada ya kuwajengea maboss ndio nilijua mziki wake.

Mambo ya kuweka sijui nyavu mara nondo chache ndio hayo baada ya muda inakuwa MPESEMPESE KAMA CHUJIO.

Tusibishane wewe anzisha uzi kuulizia gharama za hidden roof na normal roof kisha tupate mrejesho.
 
Mkuu acha kuongopea watu ,waulize watu waliojenga ,mimi pia ni dalali wa ujenzi ,naona maboss tunaowajengea hidden roof wanavyopasuka mifuko hadi wanalala na viatu,waliongopewa hivyo hivyo kama ni gharama nafuu,usisikilize habari za mitandaoni,najua hauzijui uliza hata humu kwa mtu aliyejenga ndio atakwambia ,hata mimi zamani nilikuwa najua ni nafuu kama wewe ila baada ya kuwajengea maboss ndio nilijua mziki wake.

Mambo ya kuweka sijui nyavu mara nondo chache ndio hayo baada ya muda inakuwa MPESEMPESE KAMA CHUJIO.

Tusibishane wewe anzisha uzi kuulizia gharama za hidden roof na normal roof kisha tupate mrejesho.
we unabisha nini kwani haiwezi kuwa slop upande mmoja kuna namna nyingi ya kuifanya hio acha kukariri unaweza kuifanya slop ukande wa slo uka deign gate ukafunika kwa namna bora na bati ya kisasa msauthii sema niko mbali na hizo nyumba ningekupa picha..we ni muongo sana..eti dalai wa nyumba...hebu sema hio gate ya concreate hata uijenge vipi ya mita kumi itakula sh ngapi au mifuko mingapi... unaogopesha watu... mhali unapoamua maji ya tiriririke unajenga mfereji wa concret sema una gharama kiasi gani..
 
we unabisha nini kwani haiwezi kuwa slop upande mmoja kuna namna nyingi ya kuifanya hio acha kukariri unaweza kuifanya slop ukande wa slo uka deign gate ukafunika kwa namna bora na bati ya kisasa msauthii sema niko mbali na hizo nyumba ningekupa picha..we ni muongo sana..eti dalai wa nyumba...hebu sema hio gate ya concreate hata uijenge vipi ya mita kumi itakula sh ngapi au mifuko mingapi... unaogopesha watu... mhali unapoamua maji ya tiriririke unajenga mfereji wa concret sema una gharama kiasi gani..

Acha tantalila ,nyinyi mafundi ndio mnawaingiza mkenge watu kwamba ni gharama nafuu ,tusibishine anzisha uzi tuone nani muongo na nani mkweli.
 
Acha tantalila ,nyinyi mafundi ndio mnawaingiza mkenge watu kwamba ni gharama nafuhu ,tusibashine anzisha uzi tuone nani muongo na nani mkweli.
we vip uzi unasaidia nini?... ukweli unakutosha toa facts na data sio kelele...
 
we vip uzi unasaidia nini?... ukweli unakutosha toa facts na data sio kelele...

Hapa naona tunabishana tu ,wewe unasema nafuu na mimi nakwambia sio nafuu,ukianzisha uzi idadi ya watu walijenga watatoa ushuhuda....wewe una interest zako kama fundi ili watu waingie MKENGE kwamba ni nafuu ila mwisho wa siku wanaishia njiani,mambo ya slope upande mmoja kwani kila mtu anajenga chumba kimoja na sebule?
 
Back
Top Bottom