Mkuu, hii nyumba ndo ya mil 30 hii?Ichek hiyo mkuuView attachment 839259
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hii nyumba ndo ya mil 30 hii?Ichek hiyo mkuuView attachment 839259
Dahh mzee Raman zako sio za nchi hii[emoji4] [emoji111] [emoji111]Namba yngu ya whatsapp ni
0652 881 000
Asante naidowload hiyo ApplicationWazoo zuri hongera Sana unawazo kama langu mkuu ukitaka ramani nzuri za bure download program inautwa pintest Baba wanalamaniiii nzuriii utakimbia nzuriii for free download iyo app ipo kwa simu yako
Dah! Nimegoogle nakuta inaitwa pinterestWazoo zuri hongera Sana unawazo kama langu mkuu ukitaka ramani nzuri za bure download program inautwa pintest Baba wanalamaniiii nzuriii utakimbia nzuriii for free download iyo app ipo kwa simu yako
Maanina 😀😀😀😀Mkuu unadhani hiyo ramani anayoomba anataka kujenga juu ya Chapati?
KaribuDahh mzee Raman zako sio za nchi hii[emoji4] [emoji111] [emoji111]
Hii ramani security ya nyumba ndogo sana,mwizi akizama sebulen anakomba kila kitu na hamumskii coz vyumba havina simple acess na sebule...halaf baraza na jiko vimekaa upande mmoja...wataalam wanaweza kinikosoa pia...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unadhani hiyo ramani anayoomba anataka kujenga juu ya Chapati?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unadhani hiyo ramani anayoomba anataka kujenga juu ya Chapati?
Ok, ngoja utapewa ramani ya sehemu zenye wizi, naona hii haitokufaa.Hii ramani security ya nyumba ndogo sana,mwizi akizama sebulen anakomba kila kitu na hamumskii coz vyumba havina simple acess na sebule...halaf baraza na jiko vimekaa upande mmoja...wataalam wanaweza kinikosoa pia...
[emoji106] nimeikubali sana hii....Ichek hiyo mkuuView attachment 839259