Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kuna mtu mwenye kipaji cha kufanya operation ya moyo au operation ya ubongo bila ya kupata kwanza elimu?Hicho ni kipaji kama vipaji vingine unaweza kuwa daktari kila siku ukawa unauwa watu tu..hata madaktari wanasomea professionalism lakini uwezo wamepishana why! Mkuu usitegemee sana vyeti.
Sisi tulioko makazini tunaona tofauti ya shule na talent ya mtu, japokuwa wwngine wana vyote yaani shule na kipaji
Wala hujasema rang gani hio? mbona magorofa hayana overhang roof na rang inakalaa miaka na miaka.Uwe unawaambia pia kwamba zinahitaji kemikali maalumu kuunga paa na kuta zisivuje.
Pia uwaeleze kwamba kwa kuwa hazina roof overhang zinahitaji kupakwa rangi maalumu ambazo zitahimili jua na mvua/unyevu kwa kuwa kutazake zina direct contact na jua na mvua tofauti na traditional houses
La mwisho uwaeleze wateja wako kwamba hizo nyumba mara nyingi zinakuwa na extra costs Ili zipendeze yaani makuta kuta,maurembo mengi na finishing ya nguvu.Kiufupi gharama za ufundi ni kubwa zaidi kuliko nyumba za kawaida.
Mwisho wa siku unakuta ule unafuu wa gharama ya paa ume offset kwenye finishing tena ya nje ambapo on average zina gharama kubwa kuliko nyumba za kawaida.
All in all ni nyumba nzuri kama una pesa ila kama pesa ya kuunga bora ujenge traditional houses
alosema paa lipo chin nan.wakat papi ya branda inaanzia juu ya lental ya koz tatuVipi kuhusu temperature ndani ya nyumba maana paa lipo chini sana
mbona magorofa haya na overhang roofbona yanakaa na rang na jua linapiga kila sikuKwenye jua na mvua hapo kupiga kuta mweeh [emoji848]
kumb hata wewe umejiuliza.nashnagaa kutishana wakat nyumb hizo unaokoa mambao mabando ya bat kutishana rang rang gorofa je zinasurvive vip na hazina overhang roofKwenye nyumba za ghorofa kuta zinakabiliana vipi na jua na mvua?
bloo haupo serias unasemea dump membrane la kyzuia unyevu mbona kila nyumba zinazojielewasing unawekwaKuna material yanakuwa kama lami hizi ile belt inayozungushwa kwenye msingi kabla ya kupandisha tofali, unapaswa kupiga hiyo na kubadili kila mwaka kwa mujibu wa wataalamu, wanasema gharama yake ni kama 30,000 kwa square nini sijui.
nenda kigambn utaziona zimejaaaMimi nimeanza msingi baada ya mwaka ama miaka miwili[emoji3] nikishajichanga changa napandisha boma. Kwa kuwa nimeipenda ya huko mbele sijui mvua na jua,joto,gharama za finishing potelea pote nitaienga hata kwa miaka 10 mana nimeipenda mwenyewe[emoji23][emoji23]
kwan sio lazima ufubge mwaga paa nyumaWewe na mimi tuko chungu kimoja
Hizi Nyumba nazipenda Sanaaaaa Ila nikisikia huko kuvuja naingiwa nyongo sana
sahihiNyumba hizi ni nafuu sana kwa upande wa paa...bati na mbao.
Kitu kinachoongeza gharama ni urembo tu.
Kimsingi mtu mwenye uelewa sahihi urembo mwingi huharibu mwonekano wa nyumba hizi.
Jambo muhimu ni;
1. Msingi mrefu...nyumba iinuke
2. Madirisha makubwa
3. Urembo kiasi/ plain design inapendeza zaidi
nakushaur usijengeZina magumashi sana naona kina fundi maiko hawajazijulia vizuri, kuvuja ndio changamoto kubwa....
Ila kwa muonekano tu zinavutia.
Mtu ambaye hajasoma na mwenye chuki na mainjinia utamjua tu.Mbona swali lako hili pia ni la kijinga! Kwani elimu ndo inajenga nyumba au ujuzi wa mtu! Hujifunzi kwa mainjia wale wa majengo wanavoharibu kazi na mavyeti yao!
Fundi akikosea utalala na koti la mvuaZina magumashi sana naona kina fundi maiko hawajazijulia vizuri, kuvuja ndio changamoto kubwa....
Ila kwa muonekano tu zinavutia.
Duct haiuzwi inajengwa mkuuDucts kwa kiswahili kwenye maduka yetu wanaitaje
Acha ujinga nyie ndo wasomi makaratasi mnadhan shule ni darasani tu. Elimu yako haijakuondolea ujinga hebu acha wanaotaka kujifunza wajifunze kupitia mtoa madaHujajibu swali langu.Nimekuuliza una elimu ya kiwango gani katika masuala ya ujenzi wa nyumba.
Kiufupi huyo jamaa anaeuliza elimu ya mtoa mada ni mjinga,au ndo yupo chuo mwaka wa kwanzaMbona swali lako hili pia ni la kijinga! Kwani elimu ndo inajenga nyumba au ujuzi wa mtu! Hujifunzi kwa mainjia wale wa majengo wanavoharibu kazi na mavyeti yao!
Kwa hiyo kama shule siyo darasani tu ninaweza kufanya operation ya moyo au operation ya ubongo bila kupitia darasani?Acha ujinga nyie ndo wasomi makaratasi mnadhan shule ni darasani tu. Elimu yako haijakuondolea ujinga hebu acha wanaotaka kujifunza wajifunze kupitia mtoa mada