Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.

Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.

Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.

Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm. Kwa kufanya hivyo reli ya kati na Barabara zitaendelea kutumika kusogeza mizigo Mwanza na kigoma kutoka bandari kavu ya Tabora. Hata wakati wa ukoloni Tabora ilitumika sana kama mji muhimu kwa usafirishaji na biashara. Hata uwanja wa ndege Tabora ungepaswa kuwa imara kama wa chato.
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Mlikuwa wapi kulisemea hili mwanzoni mpak now mradi upo on-air
 
Mlikuwa wapi kulisemea hili mwanzoni
Yaani we acha tu. Tushakula hasara ya matrillioni dah! Sijui haya makosa ni ya bahati mbaya au makusudi. Maana taarifa zote zipo bandarini na watu wote wanajua mizigo mingi ambayo inapita Bandarini ni ya Zambia na DRC congo. Na mizigo ni ya Cobalt na Copper. Na hayo madini yapo Zambia na huko Katanga congo. Sijui nani wakukosoa hilo kosa. Dah! Matrillioni tuliokopa hayatarudi. Ilitakiwa sgr itoke Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi (ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt) ndio kuna mizigo ya mamiiliona ya Tani.


Inabidi watu warudie kudesign ramani ya sgr iende sehemu ya mizigo mingi..
 
Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.

Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.

Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.

Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.

..wameshaanza ujenzi Isaka kwenda Mwanza kwa hiyo hakuna jinsi lazima iunganishwe kati ya Tabora na Isaka.

..sasa hivi tayari kuna bandari kavu ya Isaka kwa hiyo itakuwa vizuri nchi majirani walipokea mizigo yao hapo.
 
Yaani we acha tu. Tushakula hasara ya matrillioni dah! Sijui haya makosa ni ya bahati mbaya au makusudi. Maana taarifa zote zipo bandarini na watu wote wanajua mizigo mingi ambayo inapita Bandarini ni ya Zambia na DRC congo. Na mizigo ni ya Cobalt na Copper. Na hayo madini yapo Zambia na huko Katanga congo. Sijui nani wakukosoa hilo kosa. Dah! Matrillioni tuliokopa hayatarudi. Ilitakiwa sgr itoke Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi (ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt) ndio kuna mizigo ya mamiiliona ya Tani.


Inabidi watu warudie kudesign ramani ya sgr iende sehemu ya mizigo mingi..

..Dar to Kapirimposhi ni reli ya Tazara.

..Tujiulize kwanini reli hiyo inaendeshwa kwa hasara?
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Zambia Wana options za kutumia bandari za msumbiji Na South Africa. Hii Reli ilitakiwa iende kigoma kabla ya mwanza, nadhani imepelekwa Mwanza kimakosa. Hii SGR hata ingeishia morogoro na kujenga bandari kubwa sana ya nchi kavu pale morogoro bado tungewapunguzia safari wateja wetu Kuja hadi Dsm.
 
..Dar to Kapirimposhi ni reli ya Tazara.

..Tujiulize kwanini reli hiyo inaendeshwa kwa hasara?
Ni hujuma tu na usimamizi mbovu. Hiyo reli ya Tazara mchina aliijenga ili achukue copper ya zambia apeleke kwenye viwanda vya china. Na ndio maana wachina wanaviwanda vya vifaa vya umeme. Ni hujuma tu. Ila tukiwa na SGR inayopita karibu na migodi ya Copper na Cobalt ya Zambia na DRC congo halafu hiyo reli ikasimamiwa vizuri mizigo mingi mno itapita kwenye reli na pesa itarudi.
 
Zambia Wana options za kutumia bandari za msumbiji Na South Africa. Hii Reli ilitakiwa iende kigoma kabla ya mwanza, nadhani imepelekwa Mwanza kimakosa. Hii SGR hata ingeishia morogoro na kujenga bandari kubwa sana ya nchi kavu pale morogoro bado tungewapunguzia safari wateja wetu Kuja hadi Dsm.
Unajua upande wa pili wa ziwa Tanganyika kuna mji wa uvira ambao hauna mzigo wowote wa maana yaani ni hasara juu ya hasara. Mizigo mingi ipo usawa wa Zambia kuelekea Lubumbashi, kolwezi na Katanga kwenye migodi ya Cobalt na Copper. Sasa ishu ni uzembe wa kujipanga kutarget huo mzigo. Maana Africa kusini ni mbali mno ukilinganisha na Dar. Yaani tunacha mizigo ya maana ya mamiliona ya Tani halafu mwishoni tutashindwa kulipa deni
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
reli ya tazara imeishia wapi
 
Kwa nini? Inatakiwa tuwe na treni kila mahali, hili kuzuia uaribifu wa barabara zetu. Kuna vitu vingine vya kuzuia. Bwawa la Nyerere, Daraja lq busisi. Madaraja ya kupishania magari nk..
 
Ni hujuma tu na usimamizi mbovu. Hiyo reli ya Tazara mchina aliijenga ili achukue copper ya zambia apeleke kwenye viwanda vya china. Na ndio maana wachina wanaviwanda vya vifaa vya umeme. Ni hujuma tu. Ila tukiwa na SGR inayopita karibu na migodi ya Copper na Cobalt ya Zambia na DRC congo halafu hiyo reli ikasimamiwa vizuri mizigo mingi mno itapita kwenye reli na pesa itarudi.
Siku hayo Madini ya copper na cobalt yakiisha au kupungua ardhini huko zambia utahamisha mataruma? Think critically
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Zambia ndio wameuza nchi yao kwa wachina. Kumbuka mambo huenda yakibadilika. Rwanda na Burundi utaziona mzigo wake reli itakapokamilika.

Hii tabia ya kulalamika haitufikishi popote, zaidi ya kujionyesha namna gani tusivyo na ubunifu vichwani.
 
SGR Kwenda mwanza kwanza haina tofauti na ulivyojengwa uwanja wa ndege mkubwa chato
Jiji la pili kwa ukubwa Tanzania linaitwaje?

Unajua kwa nini daraja la Kigongo busisi linajengwa?

Unajua kwa nini meli kubwa sana inajengwa ziwa victoria?

Unajua Uganda wanapitishia wapi mizigo yao?

Unaijua population ya kanda ya ziwa?


In short huna akili kabisa
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Hii Msukuma alikuwa anawapelekea ndugu zake.
 
Jiji la pili kwa ukubwa Tanzania linaitwaje?

Unajua kwa nini daraja la Kigongo busisi linajengwa?

Unajua kwa nini meli kubwa sana inajengwa ziwa victoria?

Unajua Uganda wanapitishia wapi mizigo yao?

Unaijua population ya kanda ya ziwa?


In short huna akili kabisa
Kwani nia ya SGR ni kuunganisha majiji? Kama ndio mlitumia akili hiyo, basi tumekwisha.
 
Mlikuwa wapi kulisemea hili mwanzoni mpak now mradi upo on-air

Unamlaumu jamaa bure. Hayuko katika nafasi za maamuzi. Ni sawa na mimi ninavotamani SGR ingefika Dodoma na kula kona kwenda Tunduma! Mizigo ya Rwanda, Burundi na mashariki ya DRC ingechukuliwa Dodoma au MGR ingeimarishwa kutoka hapo kwenda Mwanza na Kigoma!

Nimebaki kuwa na matamanio tu na siwezi kuwa na maamuzi juu ya hilo.
 
Back
Top Bottom