Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.

Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.

Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.

Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Hakuna itaishia ilipopangwa.
 
Tungekuja na wazo la ujenzi wa reli fupi ya kutoa makontena toka bandari hadi depot nyingine mfano chalinze. Tunajenga high ways njia zote potential zinazo pitisha mizigo mingi kutoka eneo la depot.

Leo tusingekua tunakolomeana kuhusu madeni mengi mengi
Jielimishe kwanza kuhusu usafiri wa reli duniani
 
Hakuna boda iliyobusy Tanzania hii kuliko boda ya Tunduma kubali kataa lakini huo ndo ukweli
Zambia Wana options za kutumia bandari za msumbiji Na South Africa. Hii Reli ilitakiwa iende kigoma kabla ya mwanza, nadhani imepelekwa Mwanza kimakosa. Hii SGR hata ingeishia morogoro na kujenga bandari kubwa sana ya nchi kavu pale morogoro bado tungewapunguzia safari wateja wetu Kuja hadi Dsm.
 
Bora umesema ww wengi hawajui kitu.
Unajua upande wa pili wa ziwa Tanganyika kuna mji wa uvira ambao hauna mzigo wowote wa maana yaani ni hasara juu ya hasara. Mizigo mingi ipo usawa wa Zambia kuelekea Lubumbashi, kolwezi na Katanga kwenye migodi ya Cobalt na Copper. Sasa ishu ni uzembe wa kujipanga kutarget huo mzigo. Maana Africa kusini ni mbali mno ukilinganisha na Dar. Yaani tunacha mizigo ya maana ya mamiliona ya Tani halafu mwishoni tutashindwa kulipa deni
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Kuipeleka mwanza ni very potential mkuu kuliko kuipeleka uelekeo wa kusini. Kusini huku hatuna ushindani sana. Zambia, Malawi na DRC kusini bado zinategemea sana Dar pot. Option ya kwenda Mozambiqu si rafiki kwa sababu ya miundombinu na security. Kuipeleka mwanza ni kutaka kuwin influence ya Kenya kwa mataifa ya Rwanda, Uganda Burundi South Sudan na Eastern DRC . Uganda ina watu 45m, Rwanda 13m na Burundi 12m acha South Sudan na Eastern DRC. Wakati malawi ina watu 19m na Zambia ina watu 18m.
JPM alikuwa anaona mbali sana.
 
Yaani we acha tu. Tushakula hasara ya matrillioni dah! Sijui haya makosa ni ya bahati mbaya au makusudi. Maana taarifa zote zipo bandarini na watu wote wanajua mizigo mingi ambayo inapita Bandarini ni ya Zambia na DRC congo. Na mizigo ni ya Cobalt na Copper. Na hayo madini yapo Zambia na huko Katanga congo. Sijui nani wakukosoa hilo kosa. Dah! Matrillioni tuliokopa hayatarudi. Ilitakiwa sgr itoke Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi (ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt) ndio kuna mizigo ya mamiiliona ya Tani.


Inabidi watu warudie kudesign ramani ya sgr iende sehemu ya mizigo mingi..

Dar to KapiriMposhi tayari tuna TZR. Hivyo ni usimamizi tu.
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Nimekuelewa kwa mbali kidogo lakini iko hivi hii Sgr haikupaswa kuelekea mwanza kabla ya Kigoma kwa sababu wanaopitisha mizigo mingi bandari ya dar ni DRC, hivyo ilitakiwa hii reli ielekee Kigoma ili mizigo ya Zambia na DRC ikifika kigoma ipakiwe kwenye meli kubwa kupitia ziwa Tanganyika kuelekea DRC na Zambia.
 
Jiji la pili kwa ukubwa Tanzania linaitwaje?

Unajua kwa nini daraja la Kigongo busisi linajengwa?

Unajua kwa nini meli kubwa sana inajengwa ziwa victoria?

Unajua Uganda wanapitishia wapi mizigo yao?

Unaijua population ya kanda ya ziwa?


In short huna akili kabisa
mbona unahemkwa hivyo?
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Zambia kuna SGR ya reli ya uhuru kama hujui kaipande uone sema shirika halifanyi vizuri kutokana na uwepo wa boss anatoka Zambia kwakuwa wao wanahisa kubwa
 
Nimekuelewa kwa mbali kidogo lakini iko hivi hii Sgr haikupaswa kuelekea mwanza kabla ya Kigoma kwa sababu wanaopitisha mizigo mingi bandari ya dar ni DRC, hivyo ilitakiwa hii reli ielekee Kigoma ili mizigo ya Zambia na DRC ikifika kigoma ipakiwe kwenye meli kubwa kupitia ziwa Tanganyika kuelekea DRC na Zambia.
Kigoma mizigo ipi inaenda DRC, Tunatakiwa kujenga meli ziwa Tanganyika ili Mizigo iende Moba, Kalemie iweze kufika Lubumbashi kwa wakati mfupi barabara ipo Kutoka Dar-Tunduma-Sumbawanga hadi bandari ya Kasanga
 
Huo mzigo uliogunduliwa Congo ni mwingi sana miaka mingi mno. Na thamani ya cobalt imepanda kwa kuwa inatumika kwenye vifaa vyote vya umeme. Pia kutengenezea betri za lithium ion za magari ya umeme. Kwa hiyo mzigo wa cobalt ulipo Katanga congo ni mwingi sana. Pia bado kuna mzigo wa Copper kama wote huko Congo miaka mingi mno.
Cobalt inachenjuliwa na kubebwa kwenye ndege kama dhahabu au silver Kwahiyo usitegemee kuona makontena ya cobalt
 
..lakini reli ya Tazara imefika mpaka Kapiri Mposhi Zambia.

..Na hapo Kapiri Mposhi Tazara inaungana na reli inayotoa Copper Belt ambayo inafika ktk mpaka wa Zambia na DRC.

..jambo la msingi ni kuwa na reli, masuala ya GAUGE ni secondary.

NB:

..Standard Gauge Rail / SGR ni 1435 mm.

..Cape Gauge Rail / Tazara ni 1067 mm.

..Meter Gauge Rail / reli ya kati ni 1000 mm.
Bandari kuu ikiwekwa pale Tabora hizi hii reli ya Kati itafanyakazi kwa ufanis KUCHUKUA MIZIGO KWENDA Mwanza na kigoma na burundii
 
Hivi Hizi chuki na watu wa Kanda zinawanufaisha nn enyi nyie kizazi cha Nyoka, mnahisi kabisa Chadema Kuna siku itashika dola anyway labda Corona iue watanzania wote abaki Mbowe na genge lake.
Kanda ya ziwa walionyesha uprimitive fulani. Hata akina dudubaya (conc conc conc master) walitamba katika awamu ile,
 
Bora umesema ww wengi hawajui kitu.
Nimeona watu hawaelewi kitu chochote juu ya Congo. Kwanza inabidi watu wajue congo ni nchi kubwa sana. Reli yetu tumefanya makosa kupeleka matrillioni ya hela kujenga reli maeneo yasiyo na mzigo tutakula hasara. Mizigo ipo Zambia na Katanga/kolwezi kwenye migodi.
 
Cobalt inachenjuliwa na kubebwa kwenye ndege kama dhahabu au silver Kwahiyo usitegemee kuona makontena ya cobalt
Kwasasa cobalt bado inasafirishwa na malori kwenda afrika ya kusini kupitia bandari ya Durban. Mzigo wa Cobalt na Copper ni mwingi kiasi kwamba bandarini Dar hawawezi kuhandle.

Na mzigo wa Copper na Cobalt upo mwingi na wa kutosha. Kuanzia copper belt ya Zambia kufika Katanga mpaka Kolwezi mpaka kufika kwenye migodi ya cobalt. Sasa hii reli yetu wamefanya makosa makubwa. Wanapeleka reli kigoma ujue upande wa pili ni uvira na hakuna mzigo na ni mbali sana toka Katanga kwa hiyo mzigo wa cobalt tutaukosa. Na sgr watapeleka karema- katavi ambapo upande wa pili ni Kalemie ambapo hakuna mzigo na ni mbali toka migodi ya Cobalt ya Katanga na kolwezi kama 1000km. Na hapo hujapiga hesabu ya kununua meli kubwa ya mizigo ziwa Tanganyika, na pia Congo inabidi wajenge bandari kubwa upande wao wa Kalemie. Yaani kiufupi mradi wa sgr ukikamilika hautapata mzigo mkubwa wa kurudisha hela na madeni na riba. Nenda kafatilie uzalishaji wa Copper na Cobalt na maeneo ambayo migodi ipo huko zambia(Copper belt) na congo (katanga, Lubumbashi, kolwezi) halafu fatilia geography ya congo. Kisha linganisha na sgr ya inayojengwa ndio utaelewa jinsi sgr inavyopotea
 
Bandari kuu ikiwekwa pale Tabora hizi hii reli ya Kati itafanyakazi kwa ufanis KUCHUKUA MIZIGO KWENDA Mwanza na kigoma na burundii

..nadhani point ya mtoa mada ni kuwa na bandari kavu eneo ambalo litafaa kwa nchi za DRC, Burundi, Rwanda, na Uganda, kufuata mizigo yao. Mtoa mada ametaja Tabora kama mfano tu.
 
Nimekuelewa kwa mbali kidogo lakini iko hivi hii Sgr haikupaswa kuelekea mwanza kabla ya Kigoma kwa sababu wanaopitisha mizigo mingi bandari ya dar ni DRC, hivyo ilitakiwa hii reli ielekee Kigoma ili mizigo ya Zambia na DRC ikifika kigoma ipakiwe kwenye meli kubwa kupitia ziwa Tanganyika kuelekea DRC na Zambia.
Nenda kaangalie ramani ya Congo, Zambia na Tanzania. Halafu angalia umbali kati ya Katanga, Kolwezi kuja Dar kupitia Kapirimoshi zambia. Halafu angalia njia na umbali toka Katanga kuja uvira kisha kigoma kisha Dar. Angalia route ipi ni fupi. Kumbuka hii ni biashara na mzigo ukipita route fupi ndio gharama ya usafiri inapungua. Na mzigo mwingi upo Zambia kwenye copper belt na Cobalt ya congo kwenye migodi iliyopo Katanga mpaka Kolwezi. Hebu kaangalie ramani ndio utaelewa makosa ya sgr
 
Kuipeleka mwanza ni very potential mkuu kuliko kuipeleka uelekeo wa kusini. Kusini huku hatuna ushindani sana. Zambia, Malawi na DRC kusini bado zinategemea sana Dar pot. Option ya kwenda Mozambiqu si rafiki kwa sababu ya miundombinu na security. Kuipeleka mwanza ni kutaka kuwin influence ya Kenya kwa mataifa ya Rwanda, Uganda Burundi South Sudan na Eastern DRC . Uganda ina watu 45m, Rwanda 13m na Burundi 12m acha South Sudan na Eastern DRC. Wakati malawi ina watu 19m na Zambia ina watu 18m.
JPM alikuwa anaona mbali sana.
Jpm kapotea.


Hii ni biashara, kwenye biashara ya usafiri tunaangalia mizigo inayosafirishwa. Na tunaangalia potential ya kuwepo uhakika wa mizigo ya kusafirisha. Kwa takwimu za bandarini. Mizigo mingi inatoka Migodi ya Zambia na Congo na ndio inapita Bandarini. Sasa ilitakiwa sgr ijengwe kuifuata migodi ya Zambia na Congo. Hicho kilichofanywa kupeleka reli kanda ya ziwa na kigoma ni kupoteza hela na hakuna mizigo ya kurudisha hela na madeni na riba.


Sasa hivi mizigo ya migodini inapitia Durban afrika ya kusini.
 
Jpm kapotea.


Hii ni biashara, kwenye biashara ya usafiri tunaangalia mizigo inayosafirishwa. Na tunaangalia potential ya kuwepo uhakika wa mizigo ya kusafirisha. Kwa takwimu za bandarini. Mizigo mingi inatoka Migodi ya Zambia na Congo na ndio inapita Bandarini. Sasa ilitakiwa sgr ijengwe kuifuata migodi ya Zambia na Congo. Hicho kilichofanywa kupeleka reli kanda ya ziwa na kigoma ni kupoteza hela na hakuna mizigo ya kurudisha hela na madeni na riba.


Sasa hivi mizigo ya migodini inapitia Durban afrika ya kusini.

..ingesaidia kama ungeeleza reli ilitakiwa ipite wapi.

..tueleze reli ianzie wapi, ipite wapi, na iishie wapi.
 
Back
Top Bottom