Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Viongozi kutoka kanda ya ziwa tuwe na tahadhari nao kama taifa. Alichofanya jpm kinafanana na Alichofanya Mwl Nyerere mwaka 1978 alipotuingiza kwenye vita isiyo ya lazima na uganda na kutuaminisha kuwa uwezo wa kumpiga tunao, sababu na Nia ya kumpiga tunavyo pia. Lakini ona, kumbe ki uchumi hatukuwa na uwezo huo aliotuambia. Baada ya vita ile hali yetu ikawa mbaya hadi Leo. Jpm alitudanganya kuwa pesa za kujenga sgr, bwawa, Kuhamia dodoma, kujenga madarasa tunazo kumbe sio kweli.

Ni Heri kuwaambia watu ukweli ili wajiandae na hali kuliko kusema uongo. Sisi pesa tunazo kweli lakini ziko ardhini na baharini hatuwezi kuzitumia. Viongozi wetu walipuuza ushauri wa kuchimba chuma chetu kule liganga na mchuchuma, hivi sasa tungeijenga reli kwa kutumia chuma chetu wenyewe na kupunguza gharama za ujenzi.
Unajua China walichofanya ndani ya miaka 70 ya uhuru wao?

Watanzania wenye uhuru wa miaka 60 washindwe kusimamia reli ya SGR?
 
Mara nyingine muwe mnasoma na kupita tu siyo lazima u-comment. Ina sasa umeonyesha ni kiasi gani wewe ni popoma kwenye mambo ya uchumi na pato la taifa.

Kwa taarifa yako kipaumbele cha kwanza kwa taifa ni mishahara ya wafanyakazi kwa kuwa ndiyo wanaendesha nchi. Yaani wanajeshi, polisi, waalimu, mafaktari, Serikali za Mitaa etc.

Usishangae kuona pengine hadi 60% ya makusanyo ikienda kwenye mishahara na 20% ikienda kwenye miradi ya maendeleo na inayobaki ikilipa madeni ya serikali na riba
Unajua maana ya "kazi kuu na ya msingi"
Mfano umeajili mtu akulimie shamba hapo kazi kuu na yamsingi ni nini kulipa mshahara au kulima shamba?
Pia hapo kwenye asilimia ,kwa nchi masikini za ulimwengu wa 3 ni ujinga kutumia zaidi ya asilimia 30 ya mapato kulipa mishahara hii ndiyo maana nchi masikini zinabaki kuwa masikini daima,
 
Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.

Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.

Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.

Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm. Kwa kufanya hivyo reli ya kati na Barabara zitaendelea kutumika kusogeza mizigo Mwanza na kigoma kutoka bandari kavu ya Tabora. Hata wakati wa ukoloni Tabora ilitumika sana kama mji muhimu kwa usafirishaji na biashara. Hata uwanja wa ndege Tabora ungepaswa kuwa imara kama wa chato.
Mwendazake alikurupuka kuanzisha project kwa sifa, sasa taifa lipo dilemma.

Mi naona afadhali tukope kope ili reli ifike walau Congo tupate chochote kitu.

Hili ndilo tatizo la taifa lisilo na mipango ya kitaifa mifupi na mirefu...kila Rais akiingia madarakani anaanza mambo yake..utafikaje unapokwenda.

Kuwa na katiba inayompa mamlaka makubwa mtu mmoja tu ni hatari sana kwa taifa...
 
Unajua China walichofanya ndani ya miaka 70 ya uhuru wao?

Watanzania wenye uhuru wa miaka 60 washindwe kusimamia reli ya SGR?
Kiongozi shujaa ni yule anaewaambia watu kuwa reli ni muhimu sana katika Maendeleo yetu, Serikali yenu Haina hela ya kujenga reli hivyo wote tubebe sululu na majembe twendeni kujenga reli sisi wenyewe kwa nguvu zetu. Hivyo kwa kutumia vijana wote, JkT, majeshi yetu, wafungwa na wahalifu wote tunageshiriki katika ujenzi. Hata China walijenga the Great wall wao wenyewe kwa kujitolea, wanajeshi na wafungwa.

Lakini sisi ni tofauti kabisa, kiongozi anatuambia pesa ipo nyie kaeni tu msubiri reli. Katika taifa changa kama hili ni uongo kuambia watu hivyo, kumbe una kwenda kukopa.
 
Unajua maana ya "kazi kuu na ya msingi"
Mfano umeajili mtu akulimie shamba hapo kazi kuu na yamsingi ni nini kulipa mshahara au kulima shamba?
Pia hapo kwenye asilimia ,kwa nchi masikini za ulimwengu wa 3 ni ujinga kutumia zaidi ya asilimia 30 ya mapato kulipa mishahara hii ndiyo maana nchi masikini zinabaki kuwa masikini daima,
Wewe huna akili hata ya kubishania, asilimia ngapi itumikte inategemea denominator (GDP), Je MAPATO YENU NI SHILINGI Ngapi? Mfano kama nchi yenye watumishi laki 3 na pato Lao ghafi ni twilion 500 kwa mwaka, percentage ya mishahara inaweza kuwa hata 5% tu
 
Wewe huna akili hata ya kubishania, asilimia ngapi itumikte inategemea denominator (GDP), Je MAPATO YENU NI SHILINGI Ngapi? Mfano kama nchi yenye watumishi laki 3 na pato Lao ghafi ni twilion 500 kwa mwaka, percentage ya mishahara inaweza kuwa hata 5% tu
Sasa hapo umeongea nini ? Kama ni chini ya asilimia 30 ni sawa kwa nchi masikini lakini juu ya hapo ni kosa na ndiyo inasababisha nchi kuwa masikini daima, hiyo hesabu yako tupigie kwa nchi yetu utuambie ni asilimia ngapi itumike kulipa mishahara na serikali inatumia asilimia ngapi nataka nikukamate
 
Unajua maana ya "kazi kuu na ya msingi"
Mfano umeajili mtu akulimie shamba hapo kazi kuu na yamsingi ni nini kulipa mshahara au kulima shamba?
Pia hapo kwenye asilimia ,kwa nchi masikini za ulimwengu wa 3 ni ujinga kutumia zaidi ya asilimia 30 ya mapato kulipa mishahara hii ndiyo maana nchi masikini zinabaki kuwa masikini daima,
Kwa hiyo akulimie shamba bure? Wewe ndiye unajuwa "core business ya Tanzania? Peleka upumbavu wako sebuleni kwako!!
 
Sasa hapo umeongea nini ? Kama ni chini ya asilimia 30 ni sawa kwa nchi masikini lakini juu ya hapo ni kosa na ndiyo inasababisha nchi kuwa masikini daima, hiyo hesabu yako tupigie kwa nchi yetu utuambie ni asilimia ngapi itumike kulipa mishahara na serikali inatumia asilimia ngapi nataka nikukamate
Mwemzio ameomba radhi, bila shaka nawe uko mbioni inshallahah.
 
Habari ya tazara na kushindwa kwake ni suala ya uafrika angalia kiongozi anamtoa kalemani anamuweka makamba unategemea nini hapo zaidi ya mradi kugeuzwa dili za watu binafsi safari tunayo ndefu na tutachoka hasa.
Tunajadili SGR wewe unaleta mambo ya kumpigia debe msukuma mwenzio pumbafu kabisa wewe si mpeni uwaziri ktk serikali zenu za kimila huko
 
So tuseme, hawa wakoloni wa ujerumani nao hawakuwa na akili kuijenga reli hii ya zamani toka DSM mpka MZA?

Iko hivi

Ukiwa mza, unafika Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi kwa haraka, so mza ni very potential kufikwa na SGR haswa kwa nchi kama UGANDA kupitishia mizigo yao via Lake VIctoria

Mwanza naturaly ni business centre kwa mikoa ya Shinyanga, Mara, Kagera, Simiyu na Geita! So nilazma SGR ifike ili kurahisisha usafiri wa BIDHAA na watu kwa mkoa na mikoa jirani!

Kutokana na Population ya watu idadi ya mizigo inayotoka DSM kuja mwanza then kuelekea kanda yaziwa ni mingi, the same to bidhaa haswa mifugo, (ng'ombe) mbuzi kodoo pamoja na mazao kama pamba kutoka MZA (kanda ya ziwa) Kwenda DMS

Zingatia mwanza ni second largest city and second to contribute kwenye pato lataifa, it means biashara ipo!


Ule mpango wa akili kubwa ya Hayati JPM wa kujenga meli ya kuvusha semitrela kwenda congo DRC ziwa Tanganyika bado uko ama umefishwa?

Mh Mbatia kanishangaza sana anataka kuuamisha umma wa Watanzania eti SGR inajengwa lakini waandaa mradi hawakufanya study kujua impact yake kwenye uchumi wa Tanzania. Anaongea kwa hisia kuzuga ionekani ana point.
 
Jpm kapotea.


Hii ni biashara, kwenye biashara ya usafiri tunaangalia mizigo inayosafirishwa. Na tunaangalia potential ya kuwepo uhakika wa mizigo ya kusafirisha. Kwa takwimu za bandarini. Mizigo mingi inatoka Migodi ya Zambia na Congo na ndio inapita Bandarini. Sasa ilitakiwa sgr ijengwe kuifuata migodi ya Zambia na Congo. Hicho kilichofanywa kupeleka reli kanda ya ziwa na kigoma ni kupoteza hela na hakuna mizigo ya kurudisha hela na madeni na riba.


Sasa hivi mizigo ya migodini inapitia Durban afrika ya kusini.
Sasa wewe ukiwa na ng'ombe wako wanne, wawili wanatoa maziwa mengi sana na wawili kidogo sana, nguvu na akili yako utaweka kwa wanaotoa maziwa mengi tayari au wale ambao hawatoi?

TAZARA ni reli ya kisasa na Zambia tuna mzigo mwingi tayari, nguvu zimeelekezwa kwenye yale maeneo yaliyolala yenye mizigo mingi zaidi ya Zambia, hatuwezi kuwekeza matrilioni ya shillings sababu ya nchi 1 au 2 ambazo zina options nyingi tukaacha nchi zaidi ya 5 ambazo ni Rwanda, Burundi, DRC, Uganda, Kenya and South Sudan na population kubwa ya Lake Zone na migodi yote iliopo upande huo

Akili ndio hauna mkuu.
 
Viongozi kutoka kanda ya ziwa tuwe na tahadhari nao kama taifa. Alichofanya jpm kinafanana na Alichofanya Mwl Nyerere mwaka 1978 alipotuingiza kwenye vita isiyo ya lazima na uganda na kutuaminisha kuwa uwezo wa kumpiga tunao, sababu na Nia ya kumpiga tunavyo pia. Lakini ona, kumbe ki uchumi hatukuwa na uwezo huo aliotuambia. Baada ya vita ile hali yetu ikawa mbaya hadi Leo. Jpm alitudanganya kuwa pesa za kujenga sgr, bwawa, Kuhamia dodoma, kujenga madarasa tunazo kumbe sio kweli.

Ni Heri kuwaambia watu ukweli ili wajiandae na hali kuliko kusema uongo. Sisi pesa tunazo kweli lakini ziko ardhini na baharini hatuwezi kuzitumia. Viongozi wetu walipuuza ushauri wa kuchimba chuma chetu kule liganga na mchuchuma, hivi sasa tungeijenga reli kwa kutumia chuma chetu wenyewe na kupunguza gharama za ujenzi.
Unajua ni viwanda vingapi vinahitajika mpaka uje upate chuma cha reli au unafikiri chuma cha reli ni kama diapers?
 
Mara nyingine muwe mnasoma na kupita tu siyo lazima u-comment. Ina sasa umeonyesha ni kiasi gani wewe ni popoma kwenye mambo ya uchumi na pato la taifa.

Kwa taarifa yako kipaumbele cha kwanza kwa taifa ni mishahara ya wafanyakazi kwa kuwa ndiyo wanaendesha nchi. Yaani wanajeshi, polisi, waalimu, mafaktari, Serikali za Mitaa etc.

Usishangae kuona pengine hadi 60% ya makusanyo ikienda kwenye mishahara na 20% ikienda kwenye miradi ya maendeleo na inayobaki ikilipa madeni ya serikali na riba
Hahaha wanaoendesha nchi ni wakulima, wachimba madini, viwanda, wafugaji, wavuvi hao ndio wanaofanya tunapata chochote cha kuuza nje ya nchi na hatimae tunapata mishahara ya kuwalipa hao unaosema ndio wanaendesha nchi, kiuchumi hao uliowataja ni liabilities kwa serikali (most of them) anyway elimu ndogo 🚮🚮🚮
 
Mwemzio ameomba radhi, bila shaka nawe uko mbioni inshallahah.
Nimekuambia nipigie hesabu ya hiyo kanuni yako ya mishahara kwa nchi yetu ili nijue inatakiwa kulipa asilimia ngapi kisha tulinganushe na asilimia tunayo endanayo sasa
 
Nimekuambia nipigie hesabu ya hiyo kanuni yako ya mishahara kwa nchi yetu ili nijue inatakiwa kulipa asilimia ngapi kisha tulinganushe na asilimia tunayo endanayo sasa
Tumekwambia kipaumbele kikubwa cha nchi na taasisi zote duniani ni kulipa mishahara ya watumishi, rasilimaliwatu. Taifa lazima liwe salama na lilindwe dhidi ya maadui na wananchi lazima wawe na afya na salama ndiyo mahitaji mengine yazuke. Watu wa kuhakikisha kuwa kuwa taifa na watu wake wako salama na wana afya ya kufanyakazi, kwenda shule, kuzaana, nk lazima walipwe kwanza hata kama hela hakuna, hata kama kwa hela ya kukopa. Huduma kwanza mengine ndo yafuate, hata jf tusingeweza kuandika na kusoma hapa kama nchi isingekuwa na usalama na mabomu yanalia kila kona, wanajeshi na silaha lazima kwanza.

Hata hili nalo hujui? ni asilimia ngapi walipwe itategemea na kiwango cha mishahara, idadi yao na uzalishaji na ukusanyaji kodi. Hapa kwetu wakwepa kodi ni wengi na wezi wa zilizokusanywa ni wengi pia. Mfano, CAG Assad alibaini kuwa kiasi cha TZS 1.5 trillion kimepotea awamu ya 5 tu, kusema hivyo akakiona cha moto.
 
Tumekwambia kipaumbele kikubwa cha nchi na taasisi zote duniani ni kulipa mishahara ya watumishi, rasilimaliwatu. Taifa lazima liwe salama na lilindwe dhidi ya maadui na wananchi lazima wawe na afya na salama ndiyo mahitaji mengine yazuke. Watu wa kuhakikisha kuwa kuwa taifa na watu wake wako salama na wana afya ya kufanyakazi, kwenda shule, kuzaana, nk lazima walipwe kwanza hata kama hela hakuna, hata kama kwa hela ya kukopa. Huduma kwanza mengine ndo yafuate, hata jf tusingeweza kuandika na kusoma hapa kama nchi isingekuwa na usalama na mabomu yanalia kila kona, wanajeshi na silaha lazima kwanza.

Hata hili nalo hujui? ni asilimia ngapi walipwe itategemea na kiwango cha mishahara, idadi yao na uzalishaji na ukusanyaji kodi. Hapa kwetu wakwepa kodi ni wengi na wezi wa zilizokusanywa ni wengi pia. Mfano, CAG Assad alibaini kuwa kiasi cha TZS 1.5 trillion kimepotea awamu ya 5 tu, kusema hivyo akakiona cha moto.
Mbona unalukaluka kama umetoka kubakwa na riziwani ,toa jibu ulilo ulizwa
 
Mbona unalukaluka kama umetoka kubakwa na riziwani ,toa jibu ulilo ulizwa
Nchi na taasisi nyingi hapa kwetu huwa zinatumia 60 - 70% ya mapato yake kwa mishahara ya watumishi na huduma, lete swali lingine
 
Nchi na taasisi nyingi hapa kwetu huwa zinatumia 60 - 70% ya mapato yake kwa mishahara ya watumishi, lete swali lingine
Nimetaka ukokotoe kwa ile kanuni uliyo sema sitaki porojo
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Respect mkuu naona umeichambua copper belt sawa sawa, ukweli huu ukanda ni wenye kipato cha uhakika ukilinganisha na njia ya kati... lakini tukifanya hivi malori yetu yataendelea kupata mizigo???
 
Back
Top Bottom