luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kama una namba ya kadogosa Eng. Embu fanya tumuulize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafika hadi Lunzewe.Lazima kitatoboa Shato maana Isaka- Mwanza haizidi 200km, sasahiyo 341 inatoka wapi kama siyo mpaka Shato?
Cc mahondawInapendeza... Ahsante kwa taarifa...
Bado sanaMwezi April Wamesema Kutoka Dar Es Salaam ~Morogoro Ni Treni Tu
Kutoka Makutupora Itigi Tabora wanaanza lini? Toka Toabroa Isaka wanaanza lini? Tabora Kigoma je?Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.
Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Trilioni 3.6 zinajenga kilometa 341!Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.
Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Mkuu, makamanda huwa hawaelewi mpaka utafute rungu uwe unawakong'ota nalo kichwani. CHADEMA ya wenye uelewa waliondoka nayo Dr. Slaa na Dr. Kitila, haya mengine yamebaki magalasa tu!Nikusaidie na ndio maana huwa mnakurupuka,
Kuanzia dar hadi morogoro ni kati ya klm 220 lakini zimejengwa klm 330 au zaidi vivyo hivyo kwa dodoma, na mwanza hivyo hivyo,
Katika hiyo reli kuna sehemu zinajengwa njia mbili kwa ajili ya kupishana, kwa hiyo hiyo njia ya pili pia inawekwa kwenye ulefu wa hizo meter.
Nadhani umeelewa.
Hayo yako na Mpuuzi Tundu Lissu wenu. Wewe unaujua ujenzi wewe? Wakati mwingine muwe positive
Ulitaka watumie sh ngapi?Trilioni 3.6 zinajenga kilometa 341!
Km 14 Dar- Pugu, zimejengwa kwa miaka minne. Lissu anahusika vipi? Tumia ubongo.Hayo yako na Mpuuzi Tundu Lissu wenu. Wewe unaujua ujenzi wewe? Wakati mwingine muwe positive
Umeona daraja la Slander linavyojengwa? Hujui kuwa miradi minngine ya ujenzi huanzia mwisho na kumalizikia katikati?Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.
Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Kama una namba ya kadogosa Eng. Embu fanya tumuulize
Ukiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Sijadiliani na wendawazimu mimiKm 14 Dar- Pugu, zimejengwa kwa miaka minne. Lissu anahusika vipi? Tumia ubongo.
Km 14 Dar to Pugu miaka 4? Why?Sijadiliani na wendawazimu mimi
Daraja na njia ya reli viko sawa?Umeona daraja la Slander linavyojengwa? Hujui kuwa miradi minngine ya ujenzi huanzia mwisho na kumalizikia katikati?
Zote ni construction projects.Daraja na njia ya reli viko sawa?