Ujenzi wa SGR Mwanza-Isaka kuanza wakati wowote

Ujenzi wa SGR Mwanza-Isaka kuanza wakati wowote

Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.

Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.

Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Kwà hali ilivyo, miradi wa SGR , Dar - Mwanza, hautakuwa umekamilika mwaka 2025. Na Rais ajaye SGR itakuwa sio kipaumbele chake.
 
Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.

Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.

Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Meko anajuwa kuwa SGR haiwezi kukamilika ndani ya kipindi cha utawala wake. Na akija Rais mwingine atabadili isipite ruti hiyo ambayo iko karibu na Chato.

Meko afe tu, hamna namna
 
Lazima kitatoboa Shato maana Isaka- Mwanza haizidi 200km, sasahiyo 341 inatoka wapi kama siyo mpaka Shato?
Aaa vipi tena mkuu hesabu gani hizo? kwani kiuhalisia kutoka Dar- Moro kuna km 400? hapana. Hiyo sio barabara hiyo ni reli inajumuisha njia za kupishana, maegesho na cargo points.
 
Nikusaidie na ndio maana huwa mnakurupuka,
Kuanzia dar hadi morogoro ni kati ya klm 220 lakini zimejengwa klm 330 au zaidi vivyo hivyo kwa dodoma, na mwanza hivyo hivyo,
Katika hiyo reli kuna sehemu zinajengwa njia mbili kwa ajili ya kupishana, kwa hiyo hiyo njia ya pili pia inawekwa kwenye ulefu wa hizo meter.
Nadhani umeelewa.

Ukiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Dah nimecheka sana.
 
Aaa vipi tena mkuu hesabu gani hizo? kwani kiuhalisia kutoka Dar- Moro kuna km 400? hapana. Hiyo sio barabara hiyo ni reli inajumuisha njia za kupishana, maegesho na cargo points.
Mkuu haiwezi kuwa kilometer nyingi hivyo hata kama kuna maegesho
 
Ukiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Mkuu si inapitia Isaka to Chato!
 
Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.

Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.

Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Hiyo WAKATI WOWOTE ndio inanipa ukakasi....
 
Meko anajuwa kuwa SGR haiwezi kukamilika ndani ya kipindi cha utawala wake. Na akija Rais mwingine atabadili isipite ruti hiyo ambayo iko karibu na Chato.

Meko afe tu, hamna namna
Afe mama yako kwanza!
 
Ukiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Mzee somo la jiografia wengine limewapiga chenga haa haaa
 
Mwaka 2019 walisoma hivyohivyo ingefika mwezi Novemba, labda April 2022 maana Awamu hii ni ya maneno mengi vitendo hakuna.
Serikali Ninayoiongoza Hakuna Mchakato, Upembuzi Yakinifu,
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Lazima kitatoboa Shato maana Isaka-Mwanza haizidi 200km, sasahiyo 341 inatoka wapi kama siyo mpaka Shato?
Reli hii itakuwa vyema itaendelezwa baadae mpaka Musoma na Sirari kufanikisha biashara na nchi jirani ya Kenya hususan katika mizigo kuimarisha biaahara Kanda ya Ziwa.
 
Back
Top Bottom