Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #41
Acha mbwembweZote ni construction projects.
Soma hapa ujue ile reli ndefu duniani ya Trans-Siberian railway ilivyojengwa huko Urusi.
History of Trans-Siberian Railway | Rusmania
History and stages of constraction the longest railway in the World.rusmania.com
Kwà hali ilivyo, miradi wa SGR , Dar - Mwanza, hautakuwa umekamilika mwaka 2025. Na Rais ajaye SGR itakuwa sio kipaumbele chake.Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.
Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Ni kweli kabisa, na jamaa ni MBA holder tu, ila ana experience kubwaKadogosa ni banker siyo Engineer
Meko anajuwa kuwa SGR haiwezi kukamilika ndani ya kipindi cha utawala wake. Na akija Rais mwingine atabadili isipite ruti hiyo ambayo iko karibu na Chato.Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.
Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Kwann mr. peno hasegawa ? Mbona SGR ni project nzuri tu.Kwà hali ilivyo, miradi wa SGR , Dar - Mwanza, hautakuwa umekamilika mwaka 2025. Na Rais ajaye SGR itakuwa sio kipaumbele chake.
Jwa vile hujui construction engineering, basi unataka kuendekeza porojo!!Acha mbwembwe
Aaa vipi tena mkuu hesabu gani hizo? kwani kiuhalisia kutoka Dar- Moro kuna km 400? hapana. Hiyo sio barabara hiyo ni reli inajumuisha njia za kupishana, maegesho na cargo points.Lazima kitatoboa Shato maana Isaka- Mwanza haizidi 200km, sasahiyo 341 inatoka wapi kama siyo mpaka Shato?
Nikusaidie na ndio maana huwa mnakurupuka,
Kuanzia dar hadi morogoro ni kati ya klm 220 lakini zimejengwa klm 330 au zaidi vivyo hivyo kwa dodoma, na mwanza hivyo hivyo,
Katika hiyo reli kuna sehemu zinajengwa njia mbili kwa ajili ya kupishana, kwa hiyo hiyo njia ya pili pia inawekwa kwenye ulefu wa hizo meter.
Nadhani umeelewa.
Dah nimecheka sana.Ukiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Mkuu haiwezi kuwa kilometer nyingi hivyo hata kama kuna maegeshoAaa vipi tena mkuu hesabu gani hizo? kwani kiuhalisia kutoka Dar- Moro kuna km 400? hapana. Hiyo sio barabara hiyo ni reli inajumuisha njia za kupishana, maegesho na cargo points.
Mkuu si inapitia Isaka to Chato!Ukiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Kuna kitu chochote cha maana kimejengwa Lunzewe?Itafika hadi Lunzewe.
Hiyo WAKATI WOWOTE ndio inanipa ukakasi....Kauli hii imetolewa na mkurugenzi wa TRC ndugu Masanja Kadogosa akiwa Malampaka mkoani Simiyu.
Kwa mujibu wa ndugu Kadogosa ni kuwa kutakuwa na kambi kubwa hapo Malampaka ambayo itachukua takribani watu 3000 . Kipande hiki kina takribani KM 341 na kitagharimu tril tatu nukta sita za kitanzania. Masanja Kadogosa amedai kuwa tayari wamefanya kikao na wadau ili kuweka utayari wa kuanza mradi huo.
Je,kwa nini kandarasi ya kutoka Makutupora mpaka Isaka haikuanza kutangazwa ? Maana mradi umeanzia Dar ukielekea Mwanza.
Afe mama yako kwanza!Meko anajuwa kuwa SGR haiwezi kukamilika ndani ya kipindi cha utawala wake. Na akija Rais mwingine atabadili isipite ruti hiyo ambayo iko karibu na Chato.
Meko afe tu, hamna namna
kwa aina ya hii reli njia za kupishana zinakuwa na umbali mkubwa sana.Mkuu haiwezi kuwa kilometer nyingi hivyo hata kama kuna maegesho
Mkuu muda ni mwalimu mzurikwa aina ya hii reli njia za kupishana zinakuwa na umbali mkubwa sana.
Mzee somo la jiografia wengine limewapiga chenga haa haaaUkiwa Mwanza,Reli hadi ifike Chato unaipitishia wapi?? Wakati kuna Ziwa na hapo kwenye Ziwa wanaweka daraja! Watanzania mbona tunakua hivi lakini?? Ungesema reli ianzie Isaka kwenda Kahama hadi Bukombe then Chato,ningekuelewa lakini sio from Mwanza to Chato
Mwaka 2019 walisoma hivyohivyo ingefika mwezi Novemba, labda April 2022 maana Awamu hii ni ya maneno mengi vitendo hakuna.Mwezi April Wamesema Kutoka Dar Es Salaam ~Morogoro Ni Treni Tu
Serikali Ninayoiongoza Hakuna Mchakato, Upembuzi Yakinifu,Mwaka 2019 walisoma hivyohivyo ingefika mwezi Novemba, labda April 2022 maana Awamu hii ni ya maneno mengi vitendo hakuna.
Reli hii itakuwa vyema itaendelezwa baadae mpaka Musoma na Sirari kufanikisha biashara na nchi jirani ya Kenya hususan katika mizigo kuimarisha biaahara Kanda ya Ziwa.Lazima kitatoboa Shato maana Isaka-Mwanza haizidi 200km, sasahiyo 341 inatoka wapi kama siyo mpaka Shato?
Huko ni CHADEMA sijui kama itafikaReli hii itakuwa vyema itaendelezwa baadae mpaka Musoma na Sirari kufanikisha biashara na nchi jirani ya Kenya hususan katika mizigo kuimarisha biaahara Kanda ya Ziwa.