HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kama The Dome wanashindwa ijaza ndo watajaza ya watu 10,000?Wasanii nao wanataka wajengewe arena [emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama The Dome wanashindwa ijaza ndo watajaza ya watu 10,000?Wasanii nao wanataka wajengewe arena [emoji1]
Ova
Pesa haikuombwa wakati wa magufuliYule Mfalme wa Morocco aliwashangaa sana Watanzania na hasa Magufuli kwa tabia ya kuomba omba akaamua awakubalie ili asiwaabishe. Lakini kamwe Morocco haiwezi kutoa fedha zake kwa mafisadi halafu muanze kujisifia CCM mbele kwa mbele!
Napendekeza mikoa ifuatayo ijengwe viwanja vikubwa ili huko baadaye Tanzania tuweze kuwa wenyeji wa AFCONHuenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.
Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa Mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bure!
Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno? Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?
NOTE: Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, Uwanja wa Mkapa upo tayari unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha, hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo.
Udini Unakusumbua ShekheMwendazake kaondoka na pesa za uwanja.
Wanaua ndoto za JPMView attachment 2765136View attachment 2765137Napendekeza mikoa ifuatayo ijengwe viwanja vikubwa ili huko baadaye Tanzania tuweze kuwa wenyeji wa AFCON
Miji ya mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Mbeya Dodoma, na Tanga na ikwezekana na Tabora.. Sijataja Dar kwa ukuwa upo tayari.
Sifa za majiji hayo ni Mbeya idadi ya watu, kuna timu zilizmo ligi ya taifa na kuna ushabiki mkubwa wa mpira, pia kuna imepakana na nchi jirani ambapo watu wanaweza kuongeza idadi; Mwanza ni mji wenye watu wengi ingawa sina uhakika kama kuna ushabiki mkubwa; Arusha sina haja ya kuelezea sababu uko katika mkakati, na Tanga kwa ushabiki na Nimeweka Tabora kama kwajili ya baadaye kwa sababu ya eneo la Magharibi, .
Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.Udini Unakusumbua Shekhe
lile limfalme lilikuwa litapeli kweli kweli. lilikuwa linatafuta tu tuwaunge mkono kura ya kujiunga na AU, alipopata alichokitaka, akatuachia lubega.Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.
Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa Mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bure!
Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno? Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?
NOTE: Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, Uwanja wa Mkapa upo tayari unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha, hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo.
dini imekusaidia nini hadi leo ajuza? dini inaweza kukuokoa? imeokoa maisha yako?Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.
Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.Udini Unakusumbua Shekhe
Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.Udini Unakusumbua Shekhe
hata yule mflame wa morocco aliyetuahidi uwanja wa mpira dodoma, ni mtu wa dini sana. dini ile.Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.
Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.Udini Unakusumbua Shekhe
Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.Udini Unakusumbua Shekhe
Hiki ndicho ninachokijua mm, ilikuwa ni kampeni ya kuungwa mkono kujiunga AU baada ya kujitoa muda mrefu wakitegemea kujiunga EU, EU wakawapiga chini! Ivi tuliwapigia kura bila kuweka kibindoni pesa ya uwanja?? Ninachojua ya kujenga msikiti ilitoka fasterlile limfalme lilikuwa litapeli kweli kweli. lilikuwa linatafuta tu tuwaunge mkono kura ya kujiunga na AU, alipopata alichokitaka, akatuachia lubega.
Raha ipi unapata?Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.
Vipi maulid, ulikuwa upande gani katika munaqasha wa Mombasa, wanaoipinga au wanaoiunga mkono?Kuwa na dini ni raha sana, wewe pagani huwezi kuijuwa raha ya dini.