Ujenzi wa Uwanja wa Mpira Dodoma kwa msaada wa Mfalme wa Morocco umeishia wapi?

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira Dodoma kwa msaada wa Mfalme wa Morocco umeishia wapi?

Yule Mfalme wa Morocco aliwashangaa sana Watanzania na hasa Magufuli kwa tabia ya kuomba omba akaamua awakubalie ili asiwaabishe. Lakini kamwe Morocco haiwezi kutoa fedha zake kwa mafisadi halafu muanze kujisifia CCM mbele kwa mbele!
Pesa haikuombwa wakati wa magufuli

Ova
 
Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.

Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa Mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bure!

Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno? Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?

NOTE: Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, Uwanja wa Mkapa upo tayari unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha, hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo.
Napendekeza mikoa ifuatayo ijengwe viwanja vikubwa ili huko baadaye Tanzania tuweze kuwa wenyeji wa AFCON
Miji ya mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Mbeya Dodoma, na Tanga na ikwezekana na Tabora.. Sijataja Dar kwa ukuwa upo tayari.
Sifa za majiji hayo ni Mbeya idadi ya watu, kuna timu zilizmo ligi ya taifa na kuna ushabiki mkubwa wa mpira, pia kuna imepakana na nchi jirani ambapo watu wanaweza kuongeza idadi; Mwanza ni mji wenye watu wengi ingawa sina uhakika kama kuna ushabiki mkubwa; Arusha sina haja ya kuelezea sababu uko katika mkakati, na Tanga kwa ushabiki na Nimeweka Tabora kama kwajili ya baadaye kwa sababu ya eneo la Magharibi, .
 
Napendekeza mikoa ifuatayo ijengwe viwanja vikubwa ili huko baadaye Tanzania tuweze kuwa wenyeji wa AFCON
Miji ya mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Mbeya Dodoma, na Tanga na ikwezekana na Tabora.. Sijataja Dar kwa ukuwa upo tayari.
Sifa za majiji hayo ni Mbeya idadi ya watu, kuna timu zilizmo ligi ya taifa na kuna ushabiki mkubwa wa mpira, pia kuna imepakana na nchi jirani ambapo watu wanaweza kuongeza idadi; Mwanza ni mji wenye watu wengi ingawa sina uhakika kama kuna ushabiki mkubwa; Arusha sina haja ya kuelezea sababu uko katika mkakati, na Tanga kwa ushabiki na Nimeweka Tabora kama kwajili ya baadaye kwa sababu ya eneo la Magharibi, .
Wanaua ndoto za JPMView attachment 2765136View attachment 2765137
FB_IMG_1695912011491.jpg
 
Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.

Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa Mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bure!

Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno? Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?

NOTE: Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, Uwanja wa Mkapa upo tayari unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha, hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo.
lile limfalme lilikuwa litapeli kweli kweli. lilikuwa linatafuta tu tuwaunge mkono kura ya kujiunga na AU, alipopata alichokitaka, akatuachia lubega.
 
lile limfalme lilikuwa litapeli kweli kweli. lilikuwa linatafuta tu tuwaunge mkono kura ya kujiunga na AU, alipopata alichokitaka, akatuachia lubega.
Hiki ndicho ninachokijua mm, ilikuwa ni kampeni ya kuungwa mkono kujiunga AU baada ya kujitoa muda mrefu wakitegemea kujiunga EU, EU wakawapiga chini! Ivi tuliwapigia kura bila kuweka kibindoni pesa ya uwanja?? Ninachojua ya kujenga msikiti ilitoka faster
 
Back
Top Bottom