Ujenzi wa Uwanja wa Mpira Dodoma kwa msaada wa Mfalme wa Morocco umeishia wapi?

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira Dodoma kwa msaada wa Mfalme wa Morocco umeishia wapi?

Waarabu wahuni sana alioona simba anataka kumtoa waydad cs akamaind.......hapo wa kuulaumiwa simba sc
 
Ahadi ya uwanja wa mpira Dodoma iliyoahidiwa na mfalme wa Morocco imeyeyukia wapi?

Wadau naombeni maoni yenu..

?
 
Kwa kumuangalia tu yule mfalme wa Morocco anaonekana tapeli. Watu wenye vitambi vya aina ile hua hawakatai ukiwaomba kitu ila ndo hawatekelezi
 
Back
Top Bottom