Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Rais Magufuli alipokuwa Uwanja wa ndege wa Dodoma tarehe 29/04/2017, aliagiza Ujenzi wa Uwanja wa mkubwa wa michezo mkoani humo unaofadhiliwa na Mfalme wa Morocco ujengwe karibu na eneo la Nane Nane mkoani Dodoma.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli alisema kuwa anataka uwanja huo uwe mkubwa na wa kisasa utakaokidhi mahitaji ya kimataifa katika kipindi cha zaidi ya miaka 100 ijayo na hivyo atasimamia mwenyewe ujenzi huo.

0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg


Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.

=====

For English audience:

Dodoma stadium in Tanzania set to be constructed

Construction of the biggest stadium in Tanzania is set to commence. According to president John Magufuli plans for construction of Dodoma stadiumare in top gear.

President Magufuli confirmed the news during an occasion that marked the 53rd Anniversary of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar which was held for the first time at the Jamhuri Stadium in Dodoma.

IMG_6175.JPG


“We are making good progress ready to start construction of the biggest stadium in the country,” the president told a crowd that was gathered at the venue to witness a colourful event.

Last year, King Mohamed VI of Morocco visited the country and pledged to build an ultra modern stadium in Dodoma. In his visit, dozens of Morocco companies signed agreements with major players of Tanzanian private sector, including the newly planned sports venue.

The new stadium will cost between US$ 80 and 100m, it will be bigger and better than the current National Stadium in Dar es Salaam.

The contractors and financiers of the mega project were not mentioned.

However, this initiative comes at a time when the government is pushing for massive transfer of people and services from Dar es Salaam to Dodoma and this will help improve the whole sport sector majorly soccer in the region.

It will also enable the country to be in a better position to bid for hosting major continental and world events such as Africa Cup of Nations (AFCON) finals, Africa Nations Champions for home based players (CHAN) finals as well as other top athletics events such as All African Games and World Athletics championships.
 
Ha ha magufuli si alisema nchi tajiri sana why.tunaombaomba viwanja tena kwa waarabu wa Morocco sizonje ana maigizo ila. Sio mbaya aisee
 
  • Thanks
Reactions: SDG
figganigga sijaielewa taarifa pare inaposema nanenane ndo uwanja kujengwa ina maana ile taarifa ya kusema unakarabatiwa sio kweli huo utakua ni mpya kabisa, maana unaokarabatiwa ni ule wa Jamhuri.
 
Back
Top Bottom