The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Hilo jina sahihi kabisa kwa miradi fyongo kama hii (white elephant projects).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jina sahihi kabisa kwa miradi fyongo kama hii (white elephant projects).
Wakala alipewa pesa kidogo ajenge magorofa ya wanafunzi, zikatokea expanssion joint, sasa mwaka wa tatu bilioni 10 zimeshindwa kujenga magorofa ya magereza, angepewa uwanja ingekuwaje kuhusu expansion joints??!!!Wakala wa barabara vs ujenzi wa uwanja? TANROADS wanaüzoefu na ujenzi wa uwanja? Vipi TIB waliojenga hostel za UDSM hatuwatumii tena?
Huyu bwana mkubwa kwa nini ana tatizo la kutoamini taaluma na wanataaluma Hadi atake kufanya kila kitu kwa utashi wake?Wakala alipewa pesa kidogo ajenge magorofa ya wanafunzi, zikatokea expanssion joint, sasa mwaka wa tatu bilioni 10 zimeshindwa kujenga magorofa ya magereza, angepewa uwanja ingekuwaje kuhusu expansion joints??!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitambulisho vya uraia ????kila zama na kitabu chake..
wakati watoto wa mjini wapo karibu na wafanyabiashara Bank zilikua zinapigia wateja magoti sasa ni kinyumenyume, watu hawana pesa na wenyenazo wanapotea huko gymkhana na kuonekana oysterbay yani vurugu tupu...ni kitabu cha wajenzi sasa sijui kipaumbele ni nini?? Ujenzi?
kipindi kile ilikuwa ni:-
1. biashara kushamiri
2. bandari containers za kumwaga,
3. nyumba za wageni zinajaa
4. apartments zinapata wapangaji
5. yani kila biashara inalipa ata kwa dada zetu
na zama hizi ni kitabu cha wakandarasi..maana ndiko tunakojua pesa inafikaje mifukoni mwetu huko kwenye biashara na intantaprenuwashipu tutadanganyana yani hakuna tunachoelewa
ndiomana leo tunanua vitambulisho 20,000
mara kesho tunanunua korosho na kuacha
mara tunafunga bureau de change
Sasa mji gani Tanzania usiokuwa na changamoto? kwani ulivyojengwa uwanja wa Taifa Dar ilikuwa haina changamoto? maana changamoto zetu sote sawa tu kama ni maji sote kama umeme sote kama Hospital sote. Kama kuna chuki tu ya Dodoma sawa lakini mikoa yote ya Tanzania karibia nimefika na matatizo yetu yanafanana tu. Dar unachangamoto nyingi sana maji shida kubwa tu sasa swali daraja la Coco ni muhimu kuliko hizo changamoto. jambo zuri tupongeze mimi sipendi CCM lakini wakifanya zuri nasema na hili naunga mkono 100% mradi wowote wa maendeleo mkoa wowote.Yaani nitembee nione na cha kuona chenyewe kiwepo Dodoma?! But all in all, issue hapa ni kwamba Dodoma wana changamoto nyingi zinazoathiri moja kwa moja kwa maisha ya kila siku ya jamii kuliko suala la uwanja wa michezo!!
machinga brother..kodi imepotea sasa maana hao machinga wanatoa wapi mzigo unafikiri? mtu mzima angejua tuu
HahahahahHatuwezi kuwaomba msaada Morocco sisi ni nchi tajiri huu tunaujenga kwa kodi zetu.
Nenda wewe ukafundishe mue walimu wawili, kwanza umeshamchangia yuda eskarioti?
tutapewa taarifa nduguGharama zake zikoje na utachukua muda gani kukamilika?
Nalog off
Wizara ya michezo haina wa handisi wa kushirikiana na wa wizara ya ujenzi? Hii ndo tanzaniaNani unadhani ana uwezo wa kusimamia ujenzi wa mlima kilimanjaro stadium kama si mzee wa madaraja wa tanroads?