Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Uwanja upewe jina la Serengeti, Dodoma au Mt. Kilimanajaro Stadium
 
View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
Mavi kunuka
 
Wakala wa barabara vs ujenzi wa uwanja? TANROADS wanaüzoefu na ujenzi wa uwanja? Vipi TIB waliojenga hostel za UDSM hatuwatumii tena?
 
View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
Pendekezo : Jina la Uwanja liwe MFUGALE STADIUM
 
Mradi wowote ili ufanikiwe inabidi uwashirikishe wanufaika ambapo katika huu uwanja ni wakazi wa Dodoma kwa upana zaidi na wengineo ambao sio permanent residents wa hapo. Ukiangalia madi huu Dodoma ni kama wanapelekewa 'maendeleo' ambao walipaswa kuyajadili wenyewe na kuyaomba au kuyatekeleza. Matokeo yake huenda yakawa si mazuri, mfano kama uwanja wa Tabora ambao pamoja na kujengwa zamani lakini hadi leo haujakamilika na matumizi yake sio kama viwanja vingine.
Kufanya maamuzi kisiasa ni vizuri lakini inakuwa mbaya pale vision inaposhia miaka mitano ya uchaguzi, ingelikuwa kuna mwenye vision nje ya ccm, cuf, cdm nk hivyo kuiona Dodoma ya miaka 50 au 100 ijayo angapendekeza uwanja simple tu wenye capacity ya 20,000-30,000 ya watazamaji. Kumbuka idadi ya watu dodoma ni chini ya 500,000 na mwenye ndoto kwamba mji utakua na kuwa na wakazi 3,000,000 basi wakati huo nchi ya Tanzania kwa ujumla itakuwa na watu milioni 500! Sijui itakuwaje wakati huo maana hawa 50 milioni wa sasa nusu yetu tunaishi chi ya $1 na hatujui kusoma na kuandika!!!
Nasikiaga wanaofikiri kwa umakini wakiita miradi kama hii 'white elephants' japo sielewagi maana yake.
 
Back
Top Bottom