Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

1.I wish I could b aijiipii-Dar
2.Huu mradi wa maji hapa ntakua meneja wa mradi mwenyewe-Lindi
3.Ntasimamia mwenyewe ujenzi wa uwanja-Dodoma
 
Mji wa Dodoma una vumbi sana wafanye itikadi kuziba hadi paa la juu lizibe eneo lote kuepuka vumbi,Mvua na Jua kali
 
0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg

Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.



Hili mbona kama changa la macho, unless hiyo picha imewekwa tu kunogesha habari...

Kinachoonekana katika picha ni uwanja wa Olimpiki wa Berlin na umekuwepo Berlin miaka na miaka...

Sasa wanaoitumia hiyo picha kunadi uwanja wa msaada sijui wanafanya kusudi ama...

162581284_b337fe72a1_z.jpg

 


Hili mbona kama changa la macho, unless hiyo picha imewekwa tu kunogesha habari...

Kinachoonekana katika picha ni uwanja wa Olimpiki wa Berlin na umekuwepo Berlin miaka na miaka...

Sasa wanaoitumia hiyo picha kunadi uwanja wa msaada sijui wanafanya kusudi ama...

162581284_b337fe72a1_z.jpg
Hahahahah! Asante kwa kutufungua macho. Nilikuwa sijajua! Niliposoma coment yako nikaingia google yaani copy and paste! hahahahah! Wabongo bwana~
 
1552572153568.png
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
 
kila zama na kitabu chake..

wakati watoto wa mjini wapo karibu na wafanyabiashara Bank zilikua zinapigia wateja magoti sasa ni kinyumenyume, watu hawana pesa na wenyenazo wanapotea huko gymkhana na kuonekana oysterbay yani vurugu tupu...ni kitabu cha wajenzi sasa sijui kipaumbele ni nini?? Ujenzi?

kipindi kile ilikuwa ni:-
1. biashara kushamiri
2. bandari containers za kumwaga,
3. nyumba za wageni zinajaa
4. apartments zinapata wapangaji
5. yani kila biashara inalipa ata kwa dada zetu

na zama hizi ni kitabu cha wakandarasi..maana ndiko tunakojua pesa inafikaje mifukoni mwetu huko kwenye biashara na intantaprenuwashipu tutadanganyana yani hakuna tunachoelewa

ndiomana leo tunanua vitambulisho 20,000
mara kesho tunanunua korosho na kuacha
mara tunafunga bureau de change
 
View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
TUNAJENGA au TUNAJENGEWA?
 
Huo wa mchina wa watu elfu sitini tu simba na yanga haujai[emoji33] labda ije man u

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maji sio watu, isijekuwa huo uwanja ukawa kisima [emoji849][emoji849]watu wenye shida ya maji wanakwenda kuchota hapo uwanjani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom