Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
Among the most stupid ideas ni hilo la kujenga liuwanja hilo kwa omba omba wa huko Dodoma. Haina tofauti na kujenga international airport kule buseresere.
Huo uwanja utakuwa pambo na gofu baada ya muda mfupi tu.
 
Uchumi ukiendelee kuporomoka,kila kitu kinachofanyika leo hii kitakuwa ni kazi bure kwa uchumi wa nchi!
Hamia huko uchumi unakoimarika. Kuwa mchawi sio hadi uroge, hata KUPINGA NA KUCHUKIA KILA LIFANYWALO NA SERIKALI NI UCHAWI.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Simba tu pekee siku hizi wanaujaza,ni lini mechi ya simba na yanga huo uwanja hakuwahi kujaa??
Wewe kama sio mtoto wa juzi, basi unaishi porini huko.
Imetokea mara kadhaa uwanja wa mchina haujai wakati wa mechi ya kariakoo derby. Nenda tifutifu pale wakueleze vizuri.
 
Mbona sijaelewa kati ya 85000 na 100005... Inamaana baada ya watu 85000 kukaa,kutakuwa na extra space ya kua'commodate watu 20000 extra?
 
View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
Wajenge unaofanana na mji wa chato. Au chato hamna kivutio chochote?
 
View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
Unagharimu shilingi ngapi kaka...????
Maana huku makazini bado hatujapandishwa Mishahara wala Madaraja huu mwaka wa tatu...[emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki si kipaumbele kwa Watanzania hasa ukitilia maanani uchumi umeanguka, ajira hakuna na Wafanyakazi wa Serikali mwaka wa nne bila nyongeza ya mishahara.

Another wrong priority from this serikali ya kukurupuka.

View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
 
View attachment 1045605Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.

Pamoja na furaha zangu kwa haya maendeleo nakuomba Mhandisi mshauri Rais kabla hajamaliza vipindi vya utawala wake ahahakikishe Tanzania ina vitu vifuatavyo.
1. Aunganishe nchi nzima kwa net work ya treni za umeme (SGR) yaani toka mbaba bay, Songea, Mtwara, lindi , Kilwa hadi Dar. Nyingine SGR umeme itoke Ruvu, Tanga, Moshi, Arusha ,Musoma, Bukoba. Tabora hadi Kigoma Reli ya Tazara iwe SGR umeme hahika usafiri utakuwa bei nafuu hata kusafirisha mazao.
2. Ajenge kila mkoa nyumba za kuishi maskini ambazo zitaendeshwa na bajeti ya serikali
3. Kwa vile watu wanaongezeka kila mwaka ajenge magorofa shule zilizopo sasa, nyumba za walimu, Maabara na hospitali zote zijengwe wodi za magorofa.
4. Atoe posho Tshs. laki tatu kila mwezi kwa wazee wote waliotimiza miaka sabini bila ya kujali kama aliajiriwa au alikuwa mkulima. Hii ni ndoto yangu kwa maendeleo ya nchi yetu
 
Among the most stupid ideas ni hilo la kujenga liuwanja hilo kwa omba omba wa huko Dodoma. Haina tofauti na kujenga international airport kule buseresere.
Huo uwanja utakuwa pambo na gofu baada ya muda mfupi tu.
Mbona una dharau hivi ndugu?! Ulitaka na huu pia ukajengwe Dar?! Sijui una kipato kiasi gani hadi unaita watu Omba omba?!
 
Pamoja na furaha zangu kwa haya maendeleo nakuomba Mhandisi mshauri Rais kabla hajamaliza vipindi vya utawala wake ahahakikishe Tanzania ina vitu vifuatavyo.
1. Aunganishe nchi nzima kwa net work ya treni za umeme (SGR) yaani toka mbaba bay, Songea, Mtwara, lindi , Kilwa hadi Dar. Nyingine SGR umeme itoke Ruvu, Tanga, Moshi, Arusha ,Musoma, Bukoba. Tabora hadi Kigoma Reli ya Tazara iwe SGR umeme hahika usafiri utakuwa bei nafuu hata kusafirisha mazao.
2. Ajenge kila mkoa nyumba za kuishi maskini ambazo zitaendeshwa na bajeti ya serikali
3. Kwa vile watu wanaongezeka kila mwaka ajenge magorofa shule zilizopo sasa, nyumba za walimu, Maabara na hospitali zote zijengwe wodi za magorofa.
4. Atoe posho Tshs. laki tatu kila mwezi kwa wazee wote waliotimiza miaka sabini bila ya kujali kama aliajiriwa au alikuwa mkulima. Hii ni ndoto yangu kwa maendeleo ya nchi yetu

Haya ni Masuala ya Kitaifa , yanapaswa kujadiliwa na kuwekewa mikakati ndani ya Bunge letu la sivyo titaendelea kumlaumu Rais au Serikaliya CCM pale tutakapo waachia wafikiri badala yetu!
 
Back
Top Bottom