Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Huo uwanja hata msaada wa hao waarabu hauwezi kuujenga. Kwa maslahi labda wacheze wabunge tu hapo. Ccm waboreshe jamhuri. Uwanja wa Taifa uwe mdogo tu hapo Dom maana hata mwamko wa michezo uko chini sana.
 
Watanzania hasa wa ccm ni vigumu sana kuwaelewa na haijulikana akili zao zimejifungia wapi, hivi makosa yaliyotokea kwenye uwanja wa Tabora ina maana hatuyaoni!? Kwamba uwanja umejengwa na haijulikani kama uliisha au haukuisha!
Ukitaka kujenga nyumba kwanza unaangalia idadi ya wanafamilia watakaoishi humo au wageni watarajiwa au matumizui yake. Huwezi kwenda kwenye mji kama Chalinze ukajenga hotel ya vyumba 200 ukategemea kufikia hayo matumizi.
Sasa mji wa Dodoma kuwa na uwanja wenye capacity kama hii si kutegemea kuujaza siku moja tu kwa mwaka kwa ajili ya sherehe za sijui muungano wakati tukiambiwa ni kwa ajili ya michezo ...hiyo ni kufikiri kiuchumi na kiuhalisia kweli!?
 
Huo uwanja hata msaada wa hao waarabu hauwezi kuujenga. Kwa maslahi labda wacheze wabunge tu hapo. Ccm waboreshe jamhuri. Uwanja wa Taifa uwe mdogo tu hapo Dom maana hata mwamko wa michezo uko chini sana.
,,1,1,f,.,,!,!,,!!!,!-,
Huo uwanja hata msaada wa hao waarabu hauwezi kuujenga. Kwa maslahi labda wacheze wabunge tu hapo. Ccm waboreshe jamhuri. Uwanja wa Taifa uwe mdogo tu hapo Dom maana hata mwamko wa michezo uko chini sana.
 
Rais Magufuli alipokuwa Uwanja wa ndege wa Dodoma tarehe 29/04/2017, aliagiza Ujenzi wa Uwanja wa mkubwa wa michezo mkoani humo unaofadhiliwa na Mfalme wa Morocco ujengwe karibu na eneo la Nane Nane mkoani Dodoma.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli alisema kuwa anataka uwanja huo uwe mkubwa na wa kisasa utakaokidhi mahitaji ya kimataifa katika kipindi cha zaidi ya miaka 100 ijayo na hivyo atasimamia mwenyewe ujenzi huo.

0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg


Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.

=====

For English audience:

Dodoma stadium in Tanzania set to be constructed

Construction of the biggest stadium in Tanzania is set to commence. According to president John Magufuli plans for construction of Dodoma stadiumare in top gear.

President Magufuli confirmed the news during an occasion that marked the 53rd Anniversary of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar which was held for the first time at the Jamhuri Stadium in Dodoma.

View attachment 505081

“We are making good progress ready to start construction of the biggest stadium in the country,” the president told a crowd that was gathered at the venue to witness a colourful event.

Last year, King Mohamed VI of Morocco visited the country and pledged to build an ultra modern stadium in Dodoma. In his visit, dozens of Morocco companies signed agreements with major players of Tanzanian private sector, including the newly planned sports venue.

The new stadium will cost between US$ 80 and 100m, it will be bigger and better than the current National Stadium in Dar es Salaam.

The contractors and financiers of the mega project were not mentioned.

However, this initiative comes at a time when the government is pushing for massive transfer of people and services from Dar es Salaam to Dodoma and this will help improve the whole sport sector majorly soccer in the region.

It will also enable the country to be in a better position to bid for hosting major continental and world events such as Africa Cup of Nations (AFCON) finals, Africa Nations Champions for home based players (CHAN) finals as well as other top athletics events such as All African Games and World Athletics championships.
After short term baada ya ufunguzi, utasikia UWANJA WA CCM DODOMA.
 
Kwa hilo hongera president uzungukwe na frem za maduka kuongeza mapato ya uwanja km ulivo kirumba na sokoine mbeya
 
Izo picha ulizoweza na chini yake ukaandika "mwonekano wa kiwanja kipya kitakachojengwa Dodoma" sio za kweli. Huo ni uwanja wa Olympic wa Ujerumani.
Acheni kuwalisha wasiojua matango pori. Refer hiyo link apo chini, huo uwanja ulijengwa toka 1936...
Redirect Notice
 
Huo uwanja hata msaada wa hao waarabu hauwezi kuujenga. Kwa maslahi labda wacheze wabunge tu hapo. Ccm waboreshe jamhuri. Uwanja wa Taifa uwe mdogo tu hapo Dom maana hata mwamko wa michezo uko chini sana.
Viwanja vingi Tanzania vipo chini ya ccm

Kwahiyo huo jamhuri ukikarabatiwa ,mapato na usimamizi utakuwa wa ccm

Kiwanja kipya kiwe cha serikali
 
Hamna jema nyie, Lema akipewa msaada wa hospital ni neema, ila Tz ikipewa msaada wa uwanja kosa, unafiki wa kitanzania ni wa kuweka kwenye makumbusho kabisa.
kiongozi unafananisha uwanja na hospital kuna tofauti kubwa sana
 
Ninakiwanja changu apo nane nane. Itabidi nijenge gesti. Kwann hauitwi uwanja wa taifa?
 
Hamna jema nyie, Lema akipewa msaada wa hospital ni neema, ila Tz ikipewa msaada wa uwanja kosa, unafiki wa kitanzania ni wa kuweka kwenye makumbusho kabisa.
Mkubwa alisema hahitaji misaada au sivyo
 
Utaingiza watu laki na ishirini yaani mkubwa kama ile ya Marekani Wanayochezea American Football Safi sana
 
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(2).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(1).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(2).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(1).jpg






Mkuu huu uwanja ni Olympic stadium upo Berlin Germany, hii taarifa mbona kama ina walakini ndani yake?

Maelezo na aina ya ramani ambayo umeweka ni tofauti kabisa. Ramani uliyoweka kwenye hii taarifa ni Ramani iliyokwishajengwa huko Germany.

Je na sisi tutajenga kama huu wa Olympic au?
 
From which source did you capture such a rumous rafiki. Isije ikawa kutupotezea muda na bando tu......!!!
 
Pengine ili timu ya CDA itaibuka tena , timu tishio iliyokuwa na magwiji wa soka km Mhando Mdeve, Shabani Katwila, Justin Simfukwe, Willy Chiwango, Charles Mgodo na wengine wengi....ama kweli kila zama na watu wake.
 
Back
Top Bottom