py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Jamhuri ni kiwanja cha ccm bila shaka hivyo ukikarabatiwa utakuwa chini ya ccmfigganigga sijaielewa taarifa pare inaposema nanenane ndo uwanja kujengwa ina maana ile taarifa ya kusema unakarabatiwa sio kweli huo utakua ni mpya kabisa, maana unaokarabatiwa ni ule wa Jamhuri.
Huu ni wa serikali