Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma(Dodoma Stadium) kuanza hivi karibuni

Naona sawa wangeupeleka kule Nala tu Bs nilisikia stand Stand ya bus za mwanza nayo inaenda kule..
Mzee kule watu walishaweka mitegesho. Jamaa walinunua mashamba ili serikali iwalipe pesa nyingi.
 
Dom patakuwa patamu sana baada ya muda mfupi.....nahitaji kiwanja low density nala kilichopimwa
 
IMG_4709.PNG
Rais Magufuli alipokuwa Uwanja wa ndege wa Dodoma tarehe 29/04/2017, aliagiza Ujenzi wa Uwanja wa mkubwa wa michezo mkoani humo unaofadhiliwa na Mfalme wa Morocco ujengwe karibu na eneo la Nane Nane mkoani Dodoma.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli alisema kuwa anataka uwanja huo uwe mkubwa na wa kisasa utakaokidhi mahitaji ya kimataifa katika kipindi cha zaidi ya miaka 100 ijayo na hivyo atasimamia mwenyewe ujenzi huo.

0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg


Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.

=====

For English audience:

Dodoma stadium in Tanzania set to be constructed

Construction of the biggest stadium in Tanzania is set to commence. According to president John Magufuli plans for construction of Dodoma stadiumare in top gear.

President Magufuli confirmed the news during an occasion that marked the 53rd Anniversary of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar which was held for the first time at the Jamhuri Stadium in Dodoma.

View attachment 505081

“We are making good progress ready to start construction of the biggest stadium in the country,” the president told a crowd that was gathered at the venue to witness a colourful event.

Last year, King Mohamed VI of Morocco visited the country and pledged to build an ultra modern stadium in Dodoma. In his visit, dozens of Morocco companies signed agreements with major players of Tanzanian private sector, including the newly planned sports venue.

The new stadium will cost between US$ 80 and 100m, it will be bigger and better than the current National Stadium in Dar es Salaam.

The contractors and financiers of the mega project were not mentioned.

However, this initiative comes at a time when the government is pushing for massive transfer of people and services from Dar es Salaam to Dodoma and this will help improve the whole sport sector majorly soccer in the region.

It will also enable the country to be in a better position to bid for hosting major continental and world events such as Africa Cup of Nations (AFCON) finals, Africa Nations Champions for home based players (CHAN) finals as well as other top athletics events such as All African Games and World Athletics championships.
Hii habari naitilia shaka sana, hiki kiwanja ni cha olympic ujerumani, jaribu ku google "olympic stadium german"
IMG_4709.PNG
 
Ramani za uwanja wenyewe zipo wapi, maana hiyo picha sio ya huo uwanja unaotarajiwa kujengwa
 
Binafsi naukaribisha kwa mikono miwili huo uwanja! Lakini kama suala ni kuomba, hivi hatukua na cha maana zaidi cha kuomba badala ya uwanja wa mpira?! Unless kama Mfalme mwenyewe alitaka kutoa msaada kwenye uwanja wa michezo kinyume chake, natamani hizo takribani 200 billion zingeenda kwenye changamoto zinazoathiri maisha ya mwananchi wa kawaida moja kwa moja!!

Nasikia Dodoma kuna changamoto ya maji kweli kweli... na hili taifa linalohamia huko hiyo changamoto si itakuwa maradufu?! Dodoma wana shule za kutosha kukabiliana na migration ya watu kutoka Dar na maeneo mengine ya nchi?!

Wakati Uwanja wa Taifa unafunguliwa tulikuwa tunadanganyana soka letu litapanda lakini ndo kwanza Mnyama ambae mpira ushamshinda ndo kwanza anakimbilia FIFA kuomba pointi za mezani baada ya kuomba zingine za mezani mwaka 2011 dhidi ya TP Mazembe 😀😀😀😀😀😀!!!!
 
Rais atasimamia mwenyewe!! What a shame... Hiyo ni kazi za rais.. Mbona huyu bwana hajitambui.. Kila kitu ufanye wewe..???
 
ACHENI UPOTOSHAJI UWANJA WA UJERUMANI HUU WA OLYMPIC... Weka picha halisi za mchoro wa uwanja kaka.

upload_2017-5-6_10-56-51.png
 
c3-jpg.405100

Wabunge pingeni kujengwa kwa Daraja la Juu ya Bahari kutoka Coco Beach-Agakhan
figganigga kuna siku unaamka vizuri sana na mawazo murua
ulipinga sana Daraja la Coco beach hasi Agha Khan linalojengwa na mkorea Kusini na hapa unasupport kiwanja chenye nakala ya Mjerumani kujengwa na mMorocco kwa kasi

Vyote ni misaada na je? tunaangalia manufaa
  • Coco Beach - Agha Khan barabara utapitika kila siku na itapunguza msongamano kwa magari yote kukatika katikati ya Juju la Dar
  • Kiwanja cha Nzuguni, hakitatumika kwa Mechi zozote kwani Dodoma hakuna Timu iliyo daraja la kwanza, Ligi Kuu au Kombe la FA
    • Shereha za Muungano, Mei mosi na Uhuru ndizo zinaweza kufanyika tu
    • Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu si riadha wala mpira ambao leo wanashtakiana moaka ngazi za juu kwa ajili ya kadi ya njano
    • Uwanja mkubwa kama huo wa Ujerumani kwa idadi ya leo ya wakazi wa Dodoma ni asante kubwa sana tutaingia labda waje Simba na Yanga
figganigga kwa kutafakari hii misaada mingine mm naona kubali kwanza Daraja halafu Kiwanja tutaenda sawa
 
Ha ha magufuli si alisema nchi tajiri sana why.tunaombaomba viwanja tena kwa waarabu wa Morocco sizonje ana maigizo ila. Sio mbaya aisee
Kwahiyo wewe kilichokuwasha ni kusikia kua huo msaada unatolewa na waarabu wa Morocco?

Ingekua mzungu ndio anatoa huo msaada wewe ungeona ni sawa sio?

Acha kua na mawazo mgando wewe kutwa kuwaza ubaguzi tu.
 
Achebi uongo nyinyi huo uwanja mbn ni wa ujeruman
 
Rais Magufuli alipokuwa Uwanja wa ndege wa Dodoma tarehe 29/04/2017, aliagiza Ujenzi wa Uwanja wa mkubwa wa michezo mkoani humo unaofadhiliwa na Mfalme wa Morocco ujengwe karibu na eneo la Nane Nane mkoani Dodoma.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli alisema kuwa anataka uwanja huo uwe mkubwa na wa kisasa utakaokidhi mahitaji ya kimataifa katika kipindi cha zaidi ya miaka 100 ijayo na hivyo atasimamia mwenyewe ujenzi huo.

0327dec339e8b14ac3ad60adc4d5be6d.jpg


Mwonekano wa Uwanja mpya wa michezo wa kisasa utakaojengwa mjini Dodoma kwa msaada wa Serikali ya Morocco.

=====

For English audience:

Dodoma stadium in Tanzania set to be constructed

Construction of the biggest stadium in Tanzania is set to commence. According to president John Magufuli plans for construction of Dodoma stadiumare in top gear.

President Magufuli confirmed the news during an occasion that marked the 53rd Anniversary of the Union between the then Tanganyika and Zanzibar which was held for the first time at the Jamhuri Stadium in Dodoma.

View attachment 505081

“We are making good progress ready to start construction of the biggest stadium in the country,” the president told a crowd that was gathered at the venue to witness a colourful event.

Last year, King Mohamed VI of Morocco visited the country and pledged to build an ultra modern stadium in Dodoma. In his visit, dozens of Morocco companies signed agreements with major players of Tanzanian private sector, including the newly planned sports venue.

The new stadium will cost between US$ 80 and 100m, it will be bigger and better than the current National Stadium in Dar es Salaam.

The contractors and financiers of the mega project were not mentioned.

However, this initiative comes at a time when the government is pushing for massive transfer of people and services from Dar es Salaam to Dodoma and this will help improve the whole sport sector majorly soccer in the region.

It will also enable the country to be in a better position to bid for hosting major continental and world events such as Africa Cup of Nations (AFCON) finals, Africa Nations Champions for home based players (CHAN) finals as well as other top athletics events such as All African Games and World Athletics championships.
Ni hali halisi ya utindio wa kizalendo kutotambua mahitaji halisi ya wananchi chini ya uongozi husika ambayo yanahitaji suluhisho litakalodumu hata miaka 20 tu kuwafanya wawe wenye neema milele!
 
Back
Top Bottom