Ujerumani: Euro bilioni 65 kutolewa kwa wananchi kukabiliana na gharama za maisha

Ujerumani: Euro bilioni 65 kutolewa kwa wananchi kukabiliana na gharama za maisha

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Huwa tunawaambiaga watu waache fikra za kimaskini kuhusu mataifa ya magharibi ,jamaa wameshusha zigo la trillion zaid ya mia,kibongobongo tunaila miaka 3.

Huwa nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wanawachukulia poa sana haya mataifa ya west,kiufupi hawa jamaa walishaendelea sana kimaisha.

Waliofanya kazi na hawa west hususani kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali wanautambua mziki wao.
We shindia fikra zako za kimaskini ukijua watapata shida, endelea kujitekenya.
  • The German government agreed on a 65-billion-euro ($65bn) plan to ease pressure on households as Russian gas supplies dwindle and energy bills soar.
  • Chancellor Olaf Scholz said Germany would have sufficient energy to see it through to next year after Russia stopped supplies of gas to Europe via the Nord Stream 1 pipeline.
Chanzo : Aljazeera
 
Serikali ya Ujerumani mapema Leo Tarehe 04 September Jumapili 2022 imeidhinisha kutoa Uro bilioni 65 ili kupunguza makali ya maisha kwa raia wake.

Tokea Urusi ilipopunguza usambazaji wake wa gesi kwenda Ulaya kumekuwa na ongezeko la mfumuko wa bei na gharama za nishati (gesi na mafuta), jambo lililopelekea kupanda kwa gharama za maisha.

Kulingana na taarifa kutoka Ofisi ya Takwimu ya nchini Ujerumani, mfumuko wa bei nchini Ujerumani ulipanda hadi karibu asilimia 8 mnamo mwezi Agosti, baada ya kupungua kidogo mnamo Juni na Julai kutokana na mipango ya muda mfupi ya serikali kupunguza mzigo wa watumiaji katika sekta ya usafirishaji.

Tugemee hali kuwa mbaya zaidi ifikapo majira ya baridi kali (winter).
Screenshot_2022-09-04-15-13-00-078_com.android.chrome.jpeg
 
we pro nato tulia iyo pesa imetengwa kwa ajili ya kukabiliana na mfumuko wa bei ya gesi lakini bado muuzaji ni yule yule Russia yani uwo mpunga wote uliotengwa unaenda moscow na apo wamejihami kwasababu ya winter winter itaondoka na serikali nyingi sana za ulaya je ni nchi ngapi zitakuwa na uwezo wa kununua gesi ya Russia kwa kipindi iko kama muda huu tu bei ya gesi aikamatiki sipati picha kipindi cha winter bei ya gesi itakavyokuwa.
 
we pro nato tulia iyo pesa imetengwa kwa ajili ya kukabiliana na mfumuko wa bei ya gesi lakini bado muuzaji ni yule yule Russia yani uwo mpunga wote uliotengwa unaenda moscow na apo wamejihami kwasababu ya winter winter itaondoka na serikali nyingi sana za ulaya je ni nchi ngapi zitakuwa na uwezo wa kununua gesi ya Russia kwa kipindi iko kama muda huu tu bei ya gesi aikamatiki sipati picha kipindi cha winter bei ya gesi itakavyokuwa.
Uende moscow wakati Putin keshafunga bomba ,mzee unakaa WAP?
 
Urusi iangalie namna ya kuboresha uhusiano kwa manufaa ya Urusi sababu matatizo yanapodumu kwa muda mrefu hupatiwa ufumbuzi. Urusi inapaswa kutumia mbinu na akili ya juu kuendelea kuwa mfumbuzi wa tatizo la gesi barani Ulaya kwa miaka mingi mbeleni na si kuwaweka kwenye hali ya kuwafanya kufikiria kuachana na utegemezi wa gesi kutoka Urusi.
 
Uende moscow wakati Putin keshafunga bomba ,mzee unakaa WAP?
Bomba linafanyiwa marekebisho kwa maelezo ya Russia wenyewe kuna linkage zilitokea ndio linakebishwa hii ni mbinu ya Mwamba putin kwa wale waliosomea mambo ya uchumi wanaelewa hii tactics ukipunguza supply demand lazma iwe kubwa na kama mnavyofahamu demand ikiwa kubwa na bei pia lazima iongezeke kwa iyo ni win win situattion kwa Putin.. upo au bado niendelee?
 
Bomba linafanyiwa marekebisho kwa maelezo ya Russia wenyewe kuna linkage zilitokea ndio linakebishwa hii ni mbinu ya Mwamba putin kwa wale waliosomea mambo ya uchumi wanaelewa hii tactics ukipunguza supply demand lazma iwe kubwa na kama mnavyofahamu demand ikiwa kubwa na bei pia lazima iongezeke kwa iyo ni win win situattion kwa Putin.. upo au bado niendelee?
Acha siasa Putin kakata Uzi ,unanwelewa Putin wewe?
 
Nimetaka taarifa ya plan B ya gesi ya serikali ya ugerumani sio ushindani wa uzalendo kwa nchi isiyo TZ kutoka kwa mtanzania mwenzangu.
Itakusaidia nini kujua plan b ? Wakat wewe huna hata plan b ya tozo
 
Itakusaidia nini kujua plan b ? Wakat wewe huna hata plan b ya tozo
Masuala ya tozo yanamuhusu mlipaji. Wewe utalipa kwa namna yako na mm ntalipa kwa naamna yangu, maumivu hayatalingana. Kuhusu taarifa ya plan B ya serikali ya ujerumani ni katika kujua yanayoendelea duniani.
 
Mkuu, Russia doesn't care much anymore about Europe maana tiyari keshata substitute (mbadala) China n India. And soon nchi nyingi zinazohitaji cheap energy kutoka Russia zitaongezeka.
Urusi iangalie namna ya kuboresha uhusiano kwa manufaa ya Urusi sababu matatizo yanapodumu kwa muda mrefu hupatiwa ufumbuzi. Urusi inapaswa kutumia mbinu na akili ya juu kuendelea kuwa mfumbuzi wa tatizo la gesi barani Ulaya kwa miaka mingi mbeleni na si kuwaweka kwenye hali ya kuwafanya kufikiria kuachana na utegemezi wa gesi kutoka Urusi.
 
Masuala ya tozo yanamuhusu mlipaji. Wewe utalipa kwa namna yako na mm ntalipa kwa naamna yangu, maumivu hayatalingana. Kuhusu taarifa ya plan B ya serikali ya ujerumani ni katika kujua yanayoendelea duniani.
Nenda kwenye ubaloz wao wakufafanulie maana unaichukulia Germany kama Burundi
 
Mkuu, Russia doesn't care much anymore about Europe maana tiyari keshata substitute (mbadala) China n India. And soon nchi nyingi zinazohitaji cheap energy kutoka Russia zitaongezeka.
Urusi iangalie namna ya kuboresha uhusiano kwa manufaa ya Urusi sababu matatizo yanapodumu kwa muda mrefu hupatiwa ufumbuzi. Urusi inapaswa kutumia mbinu na akili ya juu kuendelea kuwa mfumbuzi wa tatizo la gesi barani Ulaya kwa miaka mingi mbeleni na si kuwaweka kwenye hali ya kuwafanya kufikiria kuachana na utegemezi wa gesi kutoka Urusi.
 
Mkuu, Russia doesn't care much anymore about Europe maana tiyari keshata substitute (mbadala) China n India. And soon nchi nyingi zinazohitaji cheap energy kutoka Russia zitaongezeka.
Well, hauoni kuwa demand inapokuwa kubwa ndo vzr zaidi? China, India, Europe wote wanahitaji huduma yako.
 
Back
Top Bottom