Well, okey ila Umetafsiri kwa haraka na kwa namna tofauti, nimeuliza open na straight question.Siwez kukujibu mzee maana unauliza kimajungu
Mkuu nikuulize Russia ndio wana gesi tuu dunian? Ukijua hilo kaa kimya acha wanaume wafanye yaoWell, okey ila Umetafsiri kwa haraka na kwa namna tofauti, nimeuliza open na straight question.
Wamesema mbadala wa gesi kutoka urusi ni nn au suppliers wapya ni kina nani? Sijajua nn kimekupeleka kwenye majungu.
Well, hauoni kuwa demand inapokuwa kubwa ndo vzr zaidi? China, India, Europe wote wanahitaji huduma yako.
Hata ss tuna gesi, ila hatuna miundombinu ya kuivuna hiyo gesi mpaka bara la ulaya. (PIPELINE STREAMS) ndo maana nikauliza mbadala ni nn au ni kina nani? Huenda kukawa na temporary streams zimetengenezwa, huenda wasitumie pipes. Swali linalenga kujua mbadala wa mfumo wa sasa uliopo.Mkuu nikuulize Russia ndio wana gesi tuu dunian? Ukijua hilo kaa kimya acha wanaume wafanye yao
Yap SNAP, upo sawa mpaka pale yule uliyemfukuza atakapoumiza kichwa akaja na mbadala ambao utazalisha ushindani kwenye bidhaa yako. Viburi vinarekebishika kama politicians wakiweka ubabe pembeni. Unadhani watumiaji wa bidhaa raia wa kirusi na wa kigerumani wenyewe wana shida basi? Politicians.Ndio nasema hakuna haja ya kumfikiria mteja mmoja jeuri kuwa utampoteza, wakati kuna wateja mia na ushehe wanaohitaji bidhaa hiyo hiyo
Watanunua toka US mkuu,huo mzigo siyo wa kitotoHata ss tuna gesi, ila hatuna miundombinu ya kuivuna hiyo gesi mpaka bara la ulaya. (PIPELINE STREAMS) ndo maana nikauliza mbadala ni nn au ni kina nani? Huenda kukawa na temporary streams zimetengenezwa, huenda wasitumie pipes. Swali linalenga kujua mbadala wa mfumo wa sasa uliopo.
Okey boss. Hata EU wamesema wamejiandaa iwapo Urusi itakata gesi, ila haijaweka wazi wamejiandaa vipi.Watanunua toka US mkuu,huo mzigo siyo wa kitoto
[emoji2960]Watanunua toka US mkuu,huo mzigo siyo wa kitoto
Halafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.Nimetaka taarifa ya plan B ya gesi ya serikali ya ugerumani sio ushindani wa uzalendo kwa nchi isiyo TZ kutoka kwa mtanzania mwenzangu.
Kuwa na akili. Tatizo sio kupata gesi au kushusha mzigo. Tatizo ni gharama ya hiyo gesi. Umeme utakua ghali sana na udhalishaji wa bidhha pia utakuwa ghali sana na mfumuko wa bei utakjwa mkjbwa sanaHuwa tunawaambiaga watu waache fikra za kimaskini kuhusu mataifa ya magharibi ,jamaa wameshusha zigo la trillion zaid ya mia,kibongobongo tunaila miaka 3,
Huwa nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wanawachukulia poa sana haya mataifa ya west,kiufupi hawa jamaa walishaendelea sana kimaisha .
Waliofanya kazi na hawa west ,hususani kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali wanautambua mziki wao.
We shindia fikra zako za kimaskini ukijua watapata shida. Endelea kujitekenya
Chanzo : Aljazeera
- The German government agreed on a 65-billion-euro ($65bn) plan to ease pressure on households as Russian gas supplies dwindle and energy bills soar.
- Chancellor Olaf Scholz said Germany would have sufficient energy to see it through to next year after Russia stopped supplies of gas to Europe via the Nord Stream 1 pipeline.
Bomba linafanyiwa marekebisho kwa maelezo ya Russia wenyewe kuna linkage zilitokea ndio linakebishwa hii ni mbinu ya Mwamba putin kwa wale waliosomea mambo ya uchumi wanaelewa hii tactics ukipunguza supply demand lazma iwe kubwa na kama mnavyofahamu demand ikiwa kubwa na bei pia lazima iongezeke kwa iyo ni win win situattion kwa Putin.. upo au bado niendelee?
Itakusaidia nini kujua plan b ? Wakat wewe huna hata plan b ya tozo
Hata ss tuna gesi, ila hatuna miundombinu ya kuivuna hiyo gesi mpaka bara la ulaya. (PIPELINE STREAMS) ndo maana nikauliza mbadala ni nn au ni kina nani? Huenda kukawa na temporary streams zimetengenezwa, huenda wasitumie pipes. Swali linalenga kujua mbadala wa mfumo wa sasa uliopo.
Unadhani gesi inayosafirishwa Kwa mwezi Kwa pipeline inaweza kusafirishwa Kwa mitungi Kwa muda gani?Vipi na gharama za kupakia na kupakia?Vp na gharama za usafirishaji?Gesi unaweza kusafirisha hata kwenye mitungi, sio lazima pipeline.
Hakuna matengenezo yoyote yale, ilani mbinu tu.Ila huko mbeleni hiyo gesi itakuwa haina soko tena Ulaya kwani ktk kipindi hiki cha mpito wana pata shida lakini hawajabweteka tu, wanatafuta njia mbadala.ambayo baada kama ya mwaka mmoja watakuwa hawahitaji tena gesi ya urusi, hapo nani atakuwa na hasara?Bomba linafanyiwa marekebisho kwa maelezo ya Russia wenyewe kuna linkage zilitokea ndio linakebishwa hii ni mbinu ya Mwamba putin kwa wale waliosomea mambo ya uchumi wanaelewa hii tactics ukipunguza supply demand lazma iwe kubwa na kama mnavyofahamu demand ikiwa kubwa na bei pia lazima iongezeke kwa iyo ni win win situattion kwa Putin.. upo au bado niendelee?
Gesi ni silaha ya mwisho ya Urusi kuiadhibu ulaya.Urusi iangalie namna ya kuboresha uhusiano kwa manufaa ya Urusi sababu matatizo yanapodumu kwa muda mrefu hupatiwa ufumbuzi. Urusi inapaswa kutumia mbinu na akili ya juu kuendelea kuwa mfumbuzi wa tatizo la gesi barani Ulaya kwa miaka mingi mbeleni na si kuwaweka kwenye hali ya kuwafanya kufikiria kuachana na utegemezi wa gesi kutoka Urusi.