Ujerumani imevuna alichopanda mjini Doha

Ujerumani imevuna alichopanda mjini Doha

Ujerumani Ni taifa kubwa kiuchumi sana

Ingawa juzi kwenye kuwasili kwenye kombe la dunia akitokea mjini Frankfurt aiifika na nembo za kuashiria kukubali ushonga na kusapoti ushoga lengo na makusudi yake ilikuwa kuwaudhi waarabu, waarabu wakawakatalia kutua katika uwanja wao waondoke wakabadili nguo na jezi zao pamoja na kubadili ndege yao yenye alama za kusapoti ushoga ndipo wakatii amri.

Kudos Sana Serikali ya Qatar hamkujali lolote au yeyote Kuja kuwavurugia utaratibu wenu mliojiwekea Ila sina hakika Sana kuwa mko serious

Ujerumani imechapwa na Japan na leo tena katoa draw na ESPN naona, hii ni laana kabisa wamevuna kutoka Qatar

Kundi lao yupo
ESPN 4
Germ 1
Costarica 3
Japan 3

Namuona Japan na ESPN wakizonga mbele Zaid

Nawasilisha nilikuwa nimesafiri Sasa nimerudi mjini JF
Pamoja na hayo kwa hesabu zilivyo Ujerumani anaingia hatua ya 16

ESPN anampiga Japan anabaki na point zake 3

German anampiga Costa Rica na kufikisha point 4 hivyo kuungana na ESPN.

Droo na Espn iliwabeba sana, vinginevyo wangerudi Berlin kuendeleza ushoga wao.
 
Ushoga haukwepeki dunia ya sasa..ni suala la kila mtu kusimamia misimamo yake
 
Waafrica mnachukia sana mashoga, wazungu wabaguzi wanawaweka mashoga na watu weusi kundi moja tuu na kuwachukia wote sawasawa , historia ya civil rights ilipiganwa ili watu weusi, mashoga, wanawake wapate haki zao lakini naona weusi sasa ndio wamegeuka wabaguzi
 
Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne

Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
UJERUMANI ASIPOFUZU RAUNDI YA 16 BORA NIITE PAKA NYAU NIMEKAA PALE KWA SEREMALA.
 
Back
Top Bottom