Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh sawa mkuu nilikua sijui naona km ana jinsia mbili,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ulikuwa ujui kuwa Ni mpunga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanafika ukooo msimamo Ni kwamba ushoga Ni upumbavu hvyo hakn namna ya kuipromoti ktk nchi ya QatarMsimamo huu ungesambaa mpaka kwa jamaa zao walioko Pate, Lamu, Mombasa na visiwa vingine vya karibu na Tanga
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseee umenikumbusha mbali Sana nimekumbuka Hilo sakata mkuu Hadi ozil akahama nnchi na kuamia uturuki nadhani rais wa uturuki recep typu edorgan alimuitaNakumbuka mwaka 2018 kombe la Dunia ujeruman alikuwa hivi hivi ,alikuwa anahitaji ushindi ili afuzu 16 Bora ,Tena game ya mwisho alikuwa anacheza na Korea kina son ......basi watu wakajua kabisa ujeruman anaenda kumchapa goli za kutosha Korea kudadekiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpira sio kitu rahisi .....
HT ilikuwa 0-0 ,siku hio Korea waliwaka moto baraaa kina son walikuwa wanakimbia uwanjan utafikili wametumwa ...
Kipindi Cha pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujeruman alipigwa goli 2 kama amekaa ,goli la son dakika ya 90+ aliwafanya ujeruman kukusanya virago kutoka Russia ....mpaka wakasema ozil ndio alikuwa mvivu uwanjan ,maneno yakawa mengi kwake ozil akaona msilete ufala akaijitoa timu ya taifa ,na kusema amestafu ....
Sasa kuna watu wanachukilia poa Costa Rica ,ila nawambia ujerumani ataita maji mmaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaah umekamatwaaaaaa, wao ndo mashoga wazoefu, ndo maan wametolewa mapemaaaaaaa.Hao ni ma-hostadh haikua rahisi kwao wamekutana na mipini,
Basi ndo hivyooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee kumbe najua leo hii taarifa,
German hawawezi beba kombe hili lzm atafurushwa virago mapema Sana je unakumbuka kilichompata Russian mbele ya Korea kina son ndio hicho hichoYes ! Watu tunaishi na kusavaivu na beliefs ambazo haziko proved for billions of years,tunakuwa subjective mno ,yaani mtu ubongo wake ama chatting,or all committee going on his mind tunadhani kuwa wao jamaa wako sahihi wanavyokuwaga wanaongea kichwani mwetu.
Wengine Ni waongo tusiwape nafasi.
Yaani kichwa muda wote Kuna watu wadogodogo wanaongea ndani ya bongo zetu. Tujaribu ku mute brain zetu huwa zinatupoteza na smt.
No formula German akibeba kombe utamuona anakuja na gia nyingine tena.
Kwani kuna nchi duniani hawabudu mizimu?wala hawana uchawi? Tatizo lako ni unasapport ushoga ila unataka kujificha hivyo umetafuta sababu ya kuwananga wanaopinga ili kujiridhishaNyie mnaosapoti mizimu, uganga na uchawi kisha Ijumaa na Jumapili kuingia nyumba za Ibada mko nafasi ya ngapi?
Sisapoti ushoga, ila nakemea unafiki
Sandali Alli s shoga tu hkn kupepesa macho [emoji23]Kwani kuna nchi duniani hawabudu mizimu?wala hawana uchawi? Tatizo lako ni unasapport ushoga ila unataka kujificha hivyo umetafuta sababu ya kuwananga wanaopinga ili kujiridhisha
Costarica atapigwa si chini ya tatu, then Japan ataloose ama kusare! Germany 16 Bora!Hakuna hapiti akafirane tu akumbuki alichofanywa na Korea kina son[emoji23] 2018 Russian
Lengo langu lilikuwa Ni kuongelea beliefs kuwa sio kanuni Ila Ni mawazo na mawazo yetu Ni watu wengi wanaongea na kutushauri huko kichwani ,yaani Ni Kama kuwa Kuna mkutano inafanyika na sie ndio chairman of committee board.German hawawezi beba kombe hili lzm atafurushwa virago mapema Sana je unakumbuka kilichompata Russian mbele ya Korea kina son ndio hicho hicho
Haipo iyo bado mechi moja tuu hakuna kituMpira ulivyokuwa mchezo wa ajabu utashangaa Ujerumani ndie timu itayofika mbali kuliko timu zote za kundi lake ulizozitaja.
Usituchagulie matatizo ya kuanza nayo,sisi tunakemea ushoga,wewe endelea na hayo mengineWatanzania ni watu wajinga mnoo,kati ya matatizo lukuki mliyo nayo..ushoga ndo tatizo pekee linalo wasumbua? Kila siku mada zenu ni ushoga tu..pambaneni kwanza na Maradhi,ujinga pamoja na Umaskini.
Kwa hiyo tukubaliane mapema kwamba timu zitakazotolewa ni zile zinazosupport ushoga, au sio?Tunasema ujerumani watafuna walichopanda katu hatasonga mbele hata kwa kanuni tu havuki mshenzi Yule acha akafirane tu
Mtu yeyote anayeamini laana na ulozi ni mpumbavu na mpuuzihaweZi kwenda had awaombee poo waarabu ,Wana laana