Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ni kweli kabisa taswira ipo mwambao wa pwani ya East AfricaQatar wametoka pia nao ni tabia yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa taswira ipo mwambao wa pwani ya East AfricaQatar wametoka pia nao ni tabia yao?
Kwa mpira gani? Kwanza Jana alikua anakufa kwa Spain, hii ujerumani hapiti kufika 16 boraalikuwa anahitaji ushindi ili afuzu 16 Bora ,Tena game ya mwisho alikuwa anacheza na Korea kina son ......basi watu wakajua kabisa ujeruman anaenda kumchapa goli za kutosha Korea kudadekiiiiiii
Kwa hio wewe una-support ushoga? Ujerumani anatolewa mechi inayofuata na Costa Rica anaenda kufa kifo kibaya, jana Costa Rica kaanza na Japan mechi ijayo anammalizia Mjerumani, wanaopita ni Spain na Costa RicaMsimamo huu ungesambaa mpaka kwa jamaa zao walioko Pate, Lamu, Mombasa na visiwa vingine vya karibu na Tanga
Kaka mm naelewa hyo ishu yote ila sasa mjerumani awezi pita lazma Japan atamuaribiaaa tuHujui hata hesabu ya point!Wenzake hao wenye nne nne ni akina nani?Mechi ya mwisho Ni Spain vs Japan, Germany vs Costa Rica!
Hapo Germany anatakiwa ashinde magoli mengi Ili afuzu Moja Kwa Moja bila kuangalia matokea ya Spain na Japan!Iwapo Spain atamfunga Japan,basi Ujerumani atahitaji ushindi wa bao Moja tu kufuzu!!Iwapo Spain atatoa sare na Japan basi Ujerumani atahitaji kushi Kwa goli mbili Ili amzidi goal difference Japan na aweze kufuzu!
Iwapo Japan atamfunga Spain,hapo ndio tutaangalia kashinda Kwa goli ngapi Ili Ujerumani aweze kufuzu!
Waarabu wawaambie na jamaa zao walioko maeneo niliyoyataja, huko nakomatumizi ya back door yamekithiriKwa hio wewe una-support ushoga? Ujerumani anatolewa mechi inayofuata na Costa Rica anaenda kufa kifo kibaya, jana Costa Rica kaanza na Japan mechi ijayo anammalizia Mjerumani, wanaopita ni Spain na Costa Rica
Sawa!Kaka mm naelewa hyo ishu yote ila sasa mjerumani awezi pita lazma Japan atamuaribiaaa tu
Tuko hapa tutarejeaa ikifika siku hyo Germany anakwenda 16 bora
Sawa mtaalumUnajua kwenye kundi Zinapita timu ngapi? Mpira umevamiwa aisee!
Eti alifungwa atabaki na goli 8,kinachoangaliwa ni goal difference! Spain ana gd ya 7,alifungwa hiyo gd inashuka,akipgwa Moja,inabaki 6, akipgwa 2-0,inabaki 5 na kuendelea!
Hao si waarabu wa kuchora,Waarabu wawaambie na jamaa zao walioko maeneo niliyoyataja, huko nakomatumizi ya back door yamekithiri
Kwenye kila group wanapita wawili kwenda round of 16 so kama German atamfunga Costarica na Spain akamfunga Japan maana yake ndani ya hili kundi atapita Spain na Japan maana Spain atakuwa na point 7, Germany point 4, Japan na Costarica wote wanabaki na point 3.Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne
Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
Kwani mechi zimeisha? Wakati mwingine mnapokuja humu basi walau muwe mnafahamu wanaosonga mbele wanatakiwa wavune nini katika kundiInafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne
Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
Spain ndio Nani Tena mkuu[emoji1787][emoji1787] Ni ESPN bhna acha kuaribu maanaKwenye kila group wanapita wawili kwenda round of 16 so kama German atamfunga Costarica na Spain akamfunga Japan maana yake ndani ya hili kundi atapita Spain na Japan maana Spain atakuwa na point 7, Germany point 4, Japan na Costarica wote wanabaki na point 3.
Tunasema ujerumani watafuna walichopanda katu hatasonga mbele hata kwa kanuni tu havuki mshenzi Yule acha akafirane tuKwani mechi zimeisha? Wakati mwingine mnapokuja humu basi walau muwe mnafahamu wanaosonga mbele wanatakiwa wavune nini katika kundi
Hao ni ma-hostadh haikua rahisi kwao wamekutana na mipini,Mbona Qatar wametoka na wao ni mashoga?