Ujerumani imevuna alichopanda mjini Doha

Ujerumani imevuna alichopanda mjini Doha

Hawa Spain
Ukiwaangalia wanavyocheza unaweza kudhani ball ya kampa kampa tena ni Rahisi sana

Enewei kwa sisi vizazi vya Samia ambao hatukuwahi kumshuhudia Iniesta nadhani miungu ya mpira imeona ituletee huyu dogo Pedri
Mbona yupo Barca ila wametolewa UCL mara mbili mfululizo hatua ya makundi. Tunawakuza tu ila akikutana na team serious anapigwa nyingi tu
 
Watanzania ni watu wajinga mnoo,kati ya matatizo lukuki mliyo nayo..ushoga ndo tatizo pekee linalo wasumbua? Kila siku mada zenu ni ushoga tu..pambaneni kwanza na Maradhi,ujinga pamoja na Umaskini.
Kwa hyo wee unasapot lgbt
 
Nyie mnaosapoti mizimu, uganga na uchawi kisha Ijumaa na Jumapili kuingia nyumba za Ibada mko nafasi ya ngapi?

Sisapoti ushoga, ila nakemea unafiki
Hizo ni tamaduni za kiafrika, kwani ulishawahi ona waafrika wanaforce hizo tamaduni zinafanyike worldwide kuleta usawa? Ushoga ni tamaduni za hao wazungu wasilazimishe ziwe kwa wote
 
Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne

Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
Hujui hata hesabu ya point!Wenzake hao wenye nne nne ni akina nani?Mechi ya mwisho Ni Spain vs Japan, Germany vs Costa Rica!

Hapo Germany anatakiwa ashinde magoli mengi Ili afuzu Moja Kwa Moja bila kuangalia matokea ya Spain na Japan!Iwapo Spain atamfunga Japan,basi Ujerumani atahitaji ushindi wa bao Moja tu kufuzu!!Iwapo Spain atatoa sare na Japan basi Ujerumani atahitaji kushi Kwa goli mbili Ili amzidi goal difference Japan na aweze kufuzu!
Iwapo Japan atamfunga Spain,hapo ndio tutaangalia kashinda Kwa goli ngapi Ili Ujerumani aweze kufuzu!
 
Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne

Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
Ebu angalia vizuri!

Mwenye pointi 4 ni mmoja tu.

Screenshot_20221128-075539_FotMob.jpg
 
Kumpita Espn yahitaji muujiza jamaa ana point 4 na mechi ijayo kamwe hawezi kufungwa na Jpn hata akifungwa atabaki na point 4 na goli 8 je German atampiga Costarica goli 8 ili ampite Espn? Tusubiri
Unajua kwenye kundi Zinapita timu ngapi? Mpira umevamiwa aisee!

Eti alifungwa atabaki na goli 8,kinachoangaliwa ni goal difference! Spain ana gd ya 7,alifungwa hiyo gd inashuka,akipgwa Moja,inabaki 6, akipgwa 2-0,inabaki 5 na kuendelea!
 
Mpira ulivyokuwa mchezo wa ajabu utashangaa Ujerumani ndie timu itayofika mbali kuliko timu zote za kundi lake ulizozitaja.
Yes ! Watu tunaishi na kusavaivu na beliefs ambazo haziko proved for billions of years,tunakuwa subjective mno ,yaani mtu ubongo wake ama chatting,or all committee going on his mind tunadhani kuwa wao jamaa wako sahihi wanavyokuwaga wanaongea kichwani mwetu.
Wengine Ni waongo tusiwape nafasi.
Yaani kichwa muda wote Kuna watu wadogodogo wanaongea ndani ya bongo zetu. Tujaribu ku mute brain zetu huwa zinatupoteza na smt.
No formula German akibeba kombe utamuona anakuja na gia nyingine tena.
 
Nakumbuka mwaka 2018 kombe la Dunia ujeruman alikuwa hivi hivi ,alikuwa anahitaji ushindi ili afuzu 16 Bora ,Tena game ya mwisho alikuwa anacheza na Korea kina son ......basi watu wakajua kabisa ujeruman anaenda kumchapa goli za kutosha Korea kudadekiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpira sio kitu rahisi .....

HT ilikuwa 0-0 ,siku hio Korea waliwaka moto baraaa kina son walikuwa wanakimbia uwanjan utafikili wametumwa ...

Kipindi Cha pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujeruman alipigwa goli 2 kama amekaa ,goli la son dakika ya 90+ aliwafanya ujeruman kukusanya virago kutoka Russia ....mpaka wakasema ozil ndio alikuwa mvivu uwanjan ,maneno yakawa mengi kwake ozil akaona msilete ufala akaijitoa timu ya taifa ,na kusema amestafu ....

Sasa kuna watu wanachukilia poa Costa Rica ,ila nawambia ujerumani ataita maji mmaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
waarabu wakawakatalia kutua katika uwanja wao waondoke wakabadili nguo na jezi zao pamoja na kubadili ndege Yao yenye alama za kusapoti ushoga ndipo wakatii amri.
Msimamo huu ungesambaa mpaka kwa jamaa zao walioko Pate, Lamu, Mombasa na visiwa vingine vya karibu na Tanga
 
Back
Top Bottom