Ujerumani imevuna alichopanda mjini Doha

Pamoja na hayo kwa hesabu zilivyo Ujerumani anaingia hatua ya 16

ESPN anampiga Japan anabaki na point zake 3

German anampiga Costa Rica na kufikisha point 4 hivyo kuungana na ESPN.

Droo na Espn iliwabeba sana, vinginevyo wangerudi Berlin kuendeleza ushoga wao.
 
Ushoga haukwepeki dunia ya sasa..ni suala la kila mtu kusimamia misimamo yake
 
Waafrica mnachukia sana mashoga, wazungu wabaguzi wanawaweka mashoga na watu weusi kundi moja tuu na kuwachukia wote sawasawa , historia ya civil rights ilipiganwa ili watu weusi, mashoga, wanawake wapate haki zao lakini naona weusi sasa ndio wamegeuka wabaguzi
 
Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne

Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
UJERUMANI ASIPOFUZU RAUNDI YA 16 BORA NIITE PAKA NYAU NIMEKAA PALE KWA SEREMALA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…