njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Wakuu,
Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?
Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.
Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia
===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.
“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.
The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.
They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.
Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.
Putin ‘playing with our fear’
The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.
The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.
My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!
Source: NY Post
hv Putin angetoa majeshi ndan ya Ukraine tungefika huku ?je ni halali Urusi KUVAMIA Ukraine ? Watu kama ww soon mtaweukaWakuu,
Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?
Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.
Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia
===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.
“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.
The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.
They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.
Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.
Putin ‘playing with our fear’
The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.
The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.
My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!
Source: NY Post
AmenUkiona hayo ujue kuwa mwisho umekaribia
Tutubu na kumrudia YESU KRISTO maana ufalme wake umekaribia
😂😂🤣,...kwani vitani, maadui ni matofari? 😂😂😂Tunataka ianze hata leoleo na sisi tuko tayari kupeleka makomando wetu wanaovunja matofali pale taifa kuisaidia urusi.
Too za Mwigoulu na makodi ykWacha woga unadhurikq na nini!
Wajerumani nao kwa gubu au bado wana kisasi tangu walivyopelekewa moto mwaka 45 na Mrusi , shida ya mrusi utampiga weee ukishaamini kachoka kabisa huyu ndio anaamka na kuanza kukubarthazar ukasimulie mbele huko
Umeandika ungese mtupu , West walikuwa marafiki na Urusi na walimweka krb sn ila Urusi alipata kiburi akavamia Afghanistan wakamuacha ,akaja akavamia moldova wakamuacha , akavamia Georgia wakamuacha akavamia crimea wakamuacha , akanogewa akavamia West , kosa la west lipo wap hapo?
Are you serious?Tunataka ianze hata leoleo na sisi tuko tayari kupeleka makomando wetu wanaovunja matofali pale taifa kuisaidia urusi.
Ujinga wa kuivamia Ukraine afanye Putin, halafu wa kulaumiwa awe Biden!!Wakuu,
Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?
Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.
Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia
===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.
“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.
The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.
They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.
Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.
Putin ‘playing with our fear’
The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.
The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.
My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!
Source: NY Post
Kabla ya kumlaumu Putin zilaumu nchi za magharibi kwa kuvunja mkataba wao waliojiwekea na Urusi kuhusu kujitanua kuelekea kwa mwenzake. Putin ana haki ya kujilinda piaPutin amefanya jambo gani la maana? Huyu ndiye chanzo cha yote haya.
Mwisho haupo, kama kuna mwisho huu ulimwengu utapotelea wapii??Ukiona hayo ujue kuwa mwisho umekaribia
Tutubu na kumrudia YESU KRISTO maana ufalme wake umekaribia
Keywords: In case Russia invade NATO. Biden has got nothing to do with it.Wakuu,
Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?
Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.
Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia
===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.
“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.
The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.
They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.
Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.
Putin ‘playing with our fear’
The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.
The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.
My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!
Source: NY Post
Dunia imekqa muda mrefu bila vita,ebu kuchangamke kidogo.Wakuu,
Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?
Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.
Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia
===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.
“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.
The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.
They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.
Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.
Putin ‘playing with our fear’
The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.
The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.
My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!
Source: NY Post
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣Tunataka ianze hata leoleo na sisi tuko tayari kupeleka makomando wetu wanaovunja matofali pale taifa kuisaidia urusi.