Ujerumani inajiandaa na WWIII? Taarifa zilizovuja zaonesha kuwa inaandaa wanajeshi 800,000 kwa ajili ya kupambana na Urusi

Ujerumani inajiandaa na WWIII? Taarifa zilizovuja zaonesha kuwa inaandaa wanajeshi 800,000 kwa ajili ya kupambana na Urusi

Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post


Tawala za kifisadi zinapotawala dunia zinatuletea shida sana.

Mabepari ni hatari sana maana wanalazimisha kuhodhi rasilimali za dunia nzima kwa nguvu.

Wanataka waitawale Urusi na rasilimali zake wazigawane .
Ukiangalia unajiuliza kwani wanapata faida gani kuishambulia Urusi. Vita imewasaidia nini wananchi wa kawaida zaidi ya Mabepari wasio na huruma zaidi ya kutafuta mali na kufanya biashara ya madawa na silaha?
Hata hivyo ni hizo nchi zetu tu kutawaliwa na mawakala wa wazungu na waarabu . Wazungu wanaopigania Afrika kwa nguvu kubwa sana na bahari mbaya Tanzania wakatusekea Vasco da gama aliyewapigia picha za video na kuwaonyesha utajiri wote wa nchi kupitia mradi wa Wakoloni mambo leo uliopewa jina maarufu la Roho tua.
Ule ulikua ni mradi wa maandalizi ya scramble and partition of Afrika uligharamikiwa na kuandaliwa na mabeberu wakishirikiana na watawala wa nchi za kiafrika zenye rasilimali nyingi kama Tanganyika.

Wacheni wazungu na mafisadi wa magharibi na mashariki wamalizane ,maisha yalikuwepo kabla ya wazungu kuja Afrika mabunduki yao.

Wazungu wakipigana na kudhaafushana na hata kuibuka kwa Vimbunga na mafuriko makubwa kwetu sisi ni Nafuu kubwa . Wazungu ,waarabu na wachina wacheni wamalizane kabisa .Wapige hata Nyuklia . Sisi nyukilia tumeizoea kama Jiko la kuni tu . 😂😂😂😂😂😂.
 
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
hv Putin angetoa majeshi ndan ya Ukraine tungefika huku ?je ni halali Urusi KUVAMIA Ukraine ? Watu kama ww soon mtaweuka
 
Wajerumani nao kwa gubu au bado wana kisasi tangu walivyopelekewa moto mwaka 45 na Mrusi , shida ya mrusi utampiga weee ukishaamini kachoka kabisa huyu ndio anaamka na kuanza kukubarthazar ukasimulie mbele huko

Bideni ni mwendawazimu na msaidizi wake Kamala ni wa hovyo sana . Anasapoti ushoga .
Mwanamke anayesapoti ushoga ni shetani kwa sura ya mwanamke.

Shetani kazi yake ni kuua na kuangamiza roho za watu kwa sababu ya uroho wa mali.
Vita zote zinasababishwa na mabeberu wanaosaka mali za dunia nzima ziwe za kwao kama vile wao wataishi milele.
 
Hakuna nchi za hovyo duniani kama Europe, vita vyote vibaya duniani wao ndio waanzilishi, ushoga wote duniani wao ndio waanzilishi. wanamuogopa Trump anakuja kuwanyosha sasa wanataka kufanya kila baya kabla yule mzee Biden kuondoka ili kuchanganya mambo kuwa magumu. Trump atakuja kuwanyosha mbwa hawa.
 
Umeandika ungese mtupu , West walikuwa marafiki na Urusi na walimweka krb sn ila Urusi alipata kiburi akavamia Afghanistan wakamuacha ,akaja akavamia moldova wakamuacha , akavamia Georgia wakamuacha akavamia crimea wakamuacha , akanogewa akavamia West , kosa la west lipo wap hapo?

Hivi kwa Zanzibar ikitaka kujitega ili iungane na Somalia tutaiacha au mnatetea tu mashoga wa dunia na Mabasha na mashosti zenu wa kusagana?
 
I
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
Ujinga wa kuivamia Ukraine afanye Putin, halafu wa kulaumiwa awe Biden!!
 
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
Keywords: In case Russia invade NATO. Biden has got nothing to do with it.
 
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
Dunia imekqa muda mrefu bila vita,ebu kuchangamke kidogo.
 
Back
Top Bottom