Ujerumani na Italy zaifyata mikia yao, zafungua akaunti nyingi za Ruble kwa fujo ili kununua gesi ya Russia kwa wingi zaidi

Ujerumani na Italy zaifyata mikia yao, zafungua akaunti nyingi za Ruble kwa fujo ili kununua gesi ya Russia kwa wingi zaidi

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Baada ya kushupaza shingo kwa miezi kadhaa kuhusu kulipia gesi kwa sarafu ya Ruble, mwisho aa siku Ujerumani imetababahi kuwa haina msuli wowote wa kususia au kuacha kutumia gesi ya Russia.

Ujerumani na shoga yake Italy wameona isiwe tabu, waendane na matakwa ya Putin wasije katiwa gesi. Wamefungua akaunti kibao za sarafu ya Ruble ili kulipia manunuzi ya gesi ya Russia.

Screenshot_20220522-072400_Chrome.jpg
 
Baada ya kushupaza shingo kwa miezi kadhaa kuhusu kulipia gesi kwa sarafu ya Ruble, mwisho aa siku Ujerumani imetababahi kuwa haina msuli wowote wa kususia au kuacha kutumia gesi ya Russia.

Ujerumani na shoga yake Italy wameona isiwe tabu, waendane na matakwa ya Putin wasije katiwa gesi. Wamefungua akaunti kibao za sarafu ya Ruble ili kulipia manunuzi ya gesi ya Russia.

View attachment 2233678
Amna mkate mgumu mbele ya chai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Petrodollar inaenda kua toilet paper haha napenda na nchi nyingine waige Urusi bidhaa niuze mimi afu nitumie hela ya mtu mwingine ujinga!
Alichokosea USA kuitumia dollars km fimbo ya kuchapia wengine issue kidogo unaambiwa hakuna kutumia dollar wakati yy ndio anafaidika na hyo biashara ni bora tu kuachana nayo asitumie kunyanyasa wenzie
 
Petrodollar inaenda kua toilet paper haha napenda na nchi nyingine waige Urusi bidhaa niuze mimi afu nitumie hela ya mtu mwingine ujinga!
Mrusi ni taifa staarabu sana yani😅 imagine miaka yote hio anafanya biashara na NATO in their terms kwamba awauzie wese kwa Dollars jamaa akawa yuko calm tu hana noma nao japo ni wapinzani wake.

Nimemkubali sana Russia kwa namna ambavyo amekuwa muungwana. Sasa sahizi hakuna asiyeelewa ukweli kuwa NATO asilimia kubwa wanategemea nishati kutoka Russia hata wale ambao tulikuwa hatujui. The Market is open kwa mataifa mengine pia sababu ishu imeenda Viral hata wao wakisusa mataifa mengi tu yanayotumia fossil fuel yataenda nunua Russia.
 
Alichokosea USA kuitumia dollars km fimbo ya kuchapia wengine issue kidogo unaambiwa hakuna kutumia dollar wakati yy ndio anafaidika na hyo biashara ni bora tu kuachana nayo asitumie kunyanyasa wenzie
Ameitumia kama silaha kiuchumi sababu kaisambaza sehemu kubwa ulimwenguni. Biashara nyingi zinatumia exchange in dollars. Ni bora tuiteme tu sasa.
 
Back
Top Bottom