mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ujerumani walikuwa wamevurugwa baada ya tamanio lao la kupigia kampeni LGBTQ kugonga mwamba, maana Qatar ilisimama kidete kusema haiwezi kuruhusu kwenye ardhi yake mambo machafu kupigiwa kampeni waziwazi!!
Timu ya Ujerumani wakaingia uwanjani huku wakilalamika kuwa WAMEZIBWA MIDOMO, na wakatoa ujumbe wa kuzibwa midomo ili wasiisemee LGBTQ kwa kupiga picha huku wameziba midomo yao.
Hii inaonesha wazi kuwa akili yao haikuwa kwenye soka wakati wanaingia uwanjani kukipiga na Japan bali ilikuwa kwa mashoga (LGBTQ). Katika mazingira hayo kwa nini wasifungwe?
Tena ilibidi wafungwe nyingi zaidi halafu WAKASHOGANE vizuri!! Waone hawa hapa!!
Timu ya Ujerumani wakaingia uwanjani huku wakilalamika kuwa WAMEZIBWA MIDOMO, na wakatoa ujumbe wa kuzibwa midomo ili wasiisemee LGBTQ kwa kupiga picha huku wameziba midomo yao.
Hii inaonesha wazi kuwa akili yao haikuwa kwenye soka wakati wanaingia uwanjani kukipiga na Japan bali ilikuwa kwa mashoga (LGBTQ). Katika mazingira hayo kwa nini wasifungwe?
Tena ilibidi wafungwe nyingi zaidi halafu WAKASHOGANE vizuri!! Waone hawa hapa!!