mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Wanataka kuingizwaKo walikuwa wanaiwaza 0713? Je,walikuwa wanaiwaza kuingizwa au kuingiziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka kuingizwaKo walikuwa wanaiwaza 0713? Je,walikuwa wanaiwaza kuingizwa au kuingiziwa?
Hatari sanaWanataka kuingizwa
Hata humu jukwaani kuna watu muda wote wanawaza ushoga tu! Tena kama baadhi ya mashabiki wa timu fulani hivi, utawaonea mpaka huruma! Ukiwatania kidogo tu, wanakimbilia kwenye ushoga.Hili kombe la mwaka huu habari inayotrend ni ushoga tu
Hahaha! Hili kombe la safari hii limejaa vituko. Wengine waligoma kuimba National anthem.Ujerumani walikuwa wamevurugwa baada ya tamanio lao la kupigia kampeni LGBTQ kugonga mwamba, maana Qatar ilisimama kidete kusema haiwezi kuruhusu kwenye ardhi yake mambo machafu kupigiwa kampeni waziwazi!!
Timu ya Ujerumani wakaingia uwanjani huku wakilalamika kuwa WAMEZIBWA MIDOMO, na wakatoa ujumbe wa kuzibwa midomo ili wasiisemee LGBTQ kwa kupiga picha huku wameziba midomo yao.
Hii inaonesha wazi kuwa akili yao haikuwa kwenye soka wakati wanaingia uwanjani kukipiga na Japan bali ilikuwa kwa mashoga (LGBTQ). Katika mazingira hayo kwa nini wasifungwe?
Tena ilibidi wafungwe nyingi zaidi halafu WAKASHOGANE vizuri!! Waone hawa hapa!!
View attachment 2426868
Mchezaji w Qatar kapiga mpira mwenyewe halafu ukamgonga Tako lake.Hahaha! Hili kombe la safari hii limejaa vituko. Wengine waligoma kuimba National anthem.
Ila ushoga sijui umeloga wazungu na uchawi wa wapi, ukitaka kugombana na mzungu we pingana na ushoga yaan unaweza kujua kama vile ni kitu cha maanaUjerumani walikuwa wamevurugwa baada ya tamanio lao la kupigia kampeni LGBTQ kugonga mwamba, maana Qatar ilisimama kidete kusema haiwezi kuruhusu kwenye ardhi yake mambo machafu kupigiwa kampeni waziwazi!!
Timu ya Ujerumani wakaingia uwanjani huku wakilalamika kuwa WAMEZIBWA MIDOMO, na wakatoa ujumbe wa kuzibwa midomo ili wasiisemee LGBTQ kwa kupiga picha huku wameziba midomo yao.
Hii inaonesha wazi kuwa akili yao haikuwa kwenye soka wakati wanaingia uwanjani kukipiga na Japan bali ilikuwa kwa mashoga (LGBTQ). Katika mazingira hayo kwa nini wasifungwe?
Tena ilibidi wafungwe nyingi zaidi halafu WAKASHOGANE vizuri!! Waone hawa hapa!!
View attachment 2426868
KuingiziwaKo walikuwa wanaiwaza 0713? Je,walikuwa wanaiwaza kuingizwa au kuingiziwa?
Natamani nchi zinazojielewa zisusie mashindano ya 2026 endapo Kama mashindano hayo yatafanyika US, au EuropeanNaipongeza sana FIFA kwa kukubaliana na Qatar. Mwanzoni walisema mchezaji atakayefanya chochote cha kuashiria kupigia kampeni na kuitangaza LGBTQ atapigwa faini.
Timu za mataifa ya ulaya wakasema potelea mbali, tutalipa faini. FIFA wakaja na gia kubwa kuwa mchezaji akifanya tendo lolote linaloashiria kupigia debe LGBTQ atapewa kadi ya njano!!
Hapo wote wakanywea!! Safi sana. Maana hawa jamaa wanataka kuuteka mpira uwe sehemu ya kutangaza uchafu wao maana wanajua unatazamwa na wengi!!
Saa hii wanajipa moyo kuwa watalipiza kutangaza uchafu wao kwenye kombe la dunia la 2026 nchini Marekani. Lakini kama Trump atakuwa amerudi madarakani watagonga mwamba pia!!