Ujerumani walikuwa na haki ya kufungwa: Walienda wakiwa na lengo la kupigia kampeni LGBTQ

Kinachosikitisha ni kuwa Qatar anakosa support kutoka kwa mataifa mengine, wamagharibi wanaendelea kupigania upuuzi wao mpaka dakika za mwisho
 
Hili kombe la mwaka huu habari inayotrend ni ushoga tu
Hata humu jukwaani kuna watu muda wote wanawaza ushoga tu! Tena kama baadhi ya mashabiki wa timu fulani hivi, utawaonea mpaka huruma! Ukiwatania kidogo tu, wanakimbilia kwenye ushoga.

Kiukweli hali ni mbaya.
 
Hahaha! Hili kombe la safari hii limejaa vituko. Wengine waligoma kuimba National anthem.
 
Duh hao wote walioziba mdomo wanatamani kuingizwa mti wa Nyama tigonk?Astaghafulah
 
Ila ushoga sijui umeloga wazungu na uchawi wa wapi, ukitaka kugombana na mzungu we pingana na ushoga yaan unaweza kujua kama vile ni kitu cha maana
 
Natamani nchi zinazojielewa zisusie mashindano ya 2026 endapo Kama mashindano hayo yatafanyika US, au European
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…