Ujerumani wanazama kwenye kina kirefu kwa kumfurahisha USA

NATO wamemwaga damu za watu wangapi? Wamevamia mataifa mangapi?? Ulishawai kupaza sauti wakati ndugu zetu Libya wanavamiwa??
kwann msingemea kipind hicho au mlikuwa vichaa enz hizo ? vitu vingine kushabikia ni kuonesha ukichaa wako tu , yaan waache UKRAINE iingiliwe kiutawala kisa IRAQ NA LIBYIA ?
 
dah ww ni kichwa kigumu sana kuelewa yaan jamaa amekutafunia kabisa ila huelew umekaza fuvu , unachofanya ss hv hakina tofaut na unawaoshutumu hao kwahiyo ww na wao ni makaburu tu
Wewe kilaza historia ya dunia huijui halafu unajifanya mjuaji
 
Ambacho wengi hawajui Biden ana biashara kubwa sana Ukraine.kuna wakati Trump alitaka kupata document toka serikali ya ukraine namna makampuni ya Biden yanavyokwepa kodi huko ukraine.



Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…