Ujerumani: Watu 28 wajeruhiwa baada ya kugongwa na gari lililokuwa linaendeshwa na mkimbizi kutoka Afghanistan

Ujerumani: Watu 28 wajeruhiwa baada ya kugongwa na gari lililokuwa linaendeshwa na mkimbizi kutoka Afghanistan

Another kobazi traded the lives of lives Germans for heaven and 72 virgins
 
Wazungu walizani jamii ya Kislamu kama Afghanistan ni sawa na Vietnam kule Vietnam WAZUNGU waliwauwa wenyeji milion 3 !!!!!? vita imekwisha watoto ambao baba zao mama zao waliuwawa wamekaa kimya!!!!!!!!!!

maisha yanaendelea!!!!! Ungese uwo sio kwa muislam mtoto mdogo akikuwa akiambiwa mm bibi yako Wazazi wako Walikufa kwa kuuwawa na Mzungu!!!

jua atatafuta kila njia kulipia DAMU ya wazee wake dada zake kakazake !!! Kunasamami gani Wazungu walipata baada ya kuwauwa ovyo ovyo Raia wa Afghanistan

waliwashwa nanini kutoka kwao uko ULAYA adi Afghanistan na mabunduki yao neno Gaid ni propaganda za kingese!! Ivi wewe ikiwa mama yako mzazi kauwawa mdogo wako kauwawa na Mjerumani pasi na Sababu yyte!!

usilipize kisasi kisa kuna machoko Watakwita wewe GAID walipo uwa mamayako wao walikuwa Watakatifu mbele ya mungu!!!

Ugaidi ulikuwa ule mtu katoka ULAYA kaja kijiji kwenu kuuwa wazazi wangu mdogo wangu Babayangu afu nipate nafasi kama iyo uko kwao napitanao tutajuana mbinguni nani mtakatifu nani gaid shubamit zao!!!!
 
Ujinga kama huu ndio uliwapa Wazungu miaka ya nyuma kuwa Binadamu ukimuuwa na vita ikiisha basi mambo yanaanza Upya kutokea apo walipouwa Korea Vietnam vita ya kwanza Ya Pili ya Dunia

uko kote akukuwa na mfano wa Waislamu na mienendo yao ndio Mana Wakapanga kuanzisha Israel pale middle east

Wakizani kwa Maguvu walionayo na Wakichungulia kwa Waraabu wanawaona awana nguvu kama zao!!!! Kumbe mwarabu ambae ni muislamu ana Imani ya Dini inamuongoza cha kufanya

apo sasa miaka 50 sasa pale middle east akujapoa wala akutegemewi kupoa kesho walla kesho kutwa!!!! Shubamit
 
Akili huna pamoja na wote wanaosapoti mawazo kama yako , mtu akiua hata kwa personal interest au hata awe mgonjwa wa akili akiwa na jina la Kiislamu basi ni kosa dini imemtuma .

Criminal incidents ngapi zilizowhai kutokea Duniani na zinatoke kila siku na wahusika wa Dini nyingine mbona hawahusishwi na dini yao ? Maarasssss

Uislamu unasisistiza Amani , kuhifadhi damu za watu na mauji yasio na hatia kwa raia na wengineo na ukimuona Muislamu au kikundi chochote kinchojinasibisha na Uislamu wanafanya mauaji ya hovyo na ukatili basi jua Sababu ni uchache wa Elimu na ufamu wa sawa wa Dini Yao au kufuta matamanio ya nafsi baada ya kubainikiwa na uongofu.
Zanzibar pale ukila hadhrani wanakuja mashekh na makanzu yao na viboko, mawe na matofali ili wakupige kwasababu umekula kipindi cha ramadhani.
Ila ukiwaona watakuambia uislamu ni dini ya upendo, ni dini ya amani. Hawa watu ni hatari sana. Hapa Tanganyika idadi kubwa ingekuwa ni waislamu, wengine wangekuwa hawana haki ni kufuata mila za mwaarabu ila wakristo ni wengi. Waislamu wapo huru hakuna shida yoyote ndiyo maana wanasema uislamu ni dini ya amani.
 
Back
Top Bottom