"Ujinai" wa Lulu katika "mauaji" ya Kanumba (R.I.P)

"Ujinai" wa Lulu katika "mauaji" ya Kanumba (R.I.P)

All these are speculations, By Law She is still innocent until proven otherwise..., kiubinadamu na kwa kuangalia haraka haraka she is no cold blooded killer if anything kama anahusika itakuwa ni bahati mbaya (cant say self defense) sababu hata sidhani kama marehemu alikuwa / angetaka kumuumiza sana.., might just be ugomvi ambao has gone terribly wrong..

In court anything can happen with a good lawyer she will be out in no time.., with pressure from the media na watu mbalimbali she might rot in jail.., (na sasa naanza kuona uwezekano wa wazazi na walezi nao kupata misusuko) as you know mchuma janga hula na wa kwao.

This is just the court of public opinion where pretty much anything goes.

At some point she will get her chance in the court of law where hopefully she will be given a fair shake to tell her side of the story.
 
Lulu kisheria anaweza kushinda kesi ila pressure kutoka kwa jamii inafanya hata serikali pamoja na mahakama kulichukilia tukio kipekee
 
Hivi kwamfano LULU akionekana anamiaka 17 itakuwaje?
Ataachiwa huru?
Au mfumo wa kumshitaki utabadilika
 
Hasira Hasara, Dhambi huzaa mauti. Poleni ndugu wa wahusika.
 
Swali liko palepale..

Mtoto wa miaka 18 anatafuta nini vibanda vya watu saa 6 usiku? Hana wazazi?
 
Naanza na kutoa Pole kwa watanzania wote, hasa ndugu jamaa na marafiki wa karibu wa Kanumba The Great (R.I.P) kabla sijatoa mchango wangu kuhusu hili jambo zito na nyeti ambalo limetawala maongezi katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka. Mengi yamesemwa na pia kuna mengi pia hayajasemwa, moja wapo likiwa "ujinai" wa Lulu katika kifo cha Kanumba.

Katika mukatadha wa sheria, tunaona kwamba Tanzania ni moja ya nchi zenye kuuweka uwajibikaji kijinai kuwa chini ya UMRI wa miaka 18 kwa kuweka miaka 10 kama umri ambapo mtu anaweza kushtakiwa kwa kosa la jinai. (Linganisha na Kenya miaka 8, Zimbabwe -7,Zambia 8,Africa Kusini 10) n.k. Ina maana kwamba mtu (mtoto) aliye chini ya umri huu hawezi kushtakiwa labda ithibitishwe kuwa alikua anajua kabisa anachokifanya. Lulu hafit kwenye kundi hili hata kama ana umri wa miaka 17 kama ambavyo Mh Halima Mdee ame tweet leo baada ya kumtembelea LuLU Oysterbay Polisi.

Tukiacha sheria na matakwa yake, kwa kuzingatia yale yanayosemwa kuhusu mkasa huu wa kifo cha Kanumba (R.I.P), inatupasa tuone kuwa kila hadithi ina pande mbili. Hadithi ya Kanumba ambaye kwa sasa hayupo kuelezea, na hadithi ya Lulu aliye mahabusu. Inasikitisha sana kwamba kifo kimetokea katika mazingira ya kutatanisha. Kifo hiki kimesikitisha watu wengi na kufanya udadisi wa kutaka kujua ukweli ulio objective iwe vigumu. Watu wamebakia kushusha lawama ZOTE kwa Lulu tu bila kutaka kujua haswa ilitokea nini hadi kifo hicho kikatokea.

Kama watanzania wengine napenda niseme kwamba , nahuzunika kama wengine kumpoteza Kanumba na pia kuona ndoto zake kama msanii zikizimwa ghafla. Aidha wapenzi wake wamekatishwa ile raha ya kuendelea kuburidika na filamu zake. Pamoja kuwa na huzuni kuu, pia najaribu kuangalia upande wa pili – Lulu! Huyu binti wa miaka 17/18 kijamii bado ni msichana mdogo japo kisheria hasamehewi kuwajibishwa kijinai. Lakini uwajibishwaji huo utakuja pale upelelezi utakapokamilika. Kufuatana na waliobahatika kumuona huyu binti, ana majeraha kuashiria kuwa alipigwa na kuumizwa na marehemu. Ingekuwa marehemu hakufa, basi nadhani kesi hii ingekuwa ya aina yake kama ingefika kunakohusika. Wote walijeruhiana. Lakini mazingira ya kujeruhi huko ni yepi?

Tumeambiwa na hata kusoma kwamba:

1. Lulu alienda kwa Kanumba usiku mkali mishale ya saa 6, kusudi watoke kwenda kucheza muziki kwa msanii Chaz baba – Mashujaa band ( Kanumba alishapiga simu kutaka andaliwe viti na sehemu maalum ya kukaa yeye na marafiki zake na pia akiomba hata wimbo maalum atakapofika)
2. Lulu alitoka nje kusikiliza simu – Kanumba akamfuata na kumrudisha ndani ili aeleze anaongea na nani.( Hapa tunaona kabisa Kanumba akianzisha shari yeye mwenyewe badala ya kuepuka shari)
3. Kanumba alimfungia Lulu ndani wakawa wanagombana. Aggressor hapa ni Kanumba na siyo Lulu.Kelele za ugomvi ziliashiria vurugu na kwa vile mlango ulifungwa na ufunguo, ilikuwa vigumu Lulu kukimbia tena au hata watu nje kuja kutoa msaada.
4. Lulu alitoka nje kwenda kumwita Seth na kumwambia Kanumba kaanguka.Lulu alikimbia akiwa na majeraha.Hii haionyeshi kuwa Lulu aliua vinginevyo angetoka kimya kimya akatokomea.

Sasa ndugu zanguni, kwanini Lulu anaonekana alifanya mauaji ya kukusudia? Ikiwa Kanumba alianguka katika purukushani na kuponda kichwa na kufa, Lulu kaua vipi? Kukamatwa na polisi na kushikiliwa ili kusaidia uchunguzi ni utaratibu wa kawaida sana. Nimewahi kushuhudia mtu kajiua, ndugu yake na mkewe waliomgundua kajining'iniza walikamatwa wakakaa ndani ili wasaidie uchunguzi Ilahali mtu kajiua mwenyewe. Ilisikitisha sana kwa maana wafiwa walitiwa misukosuko kwa kifo ambacho marehemu alijiletea kwa kujitundika. Walikaa masaa kadhaa kabla ya ndugu kwenda kuwatetea na kushinikiza waachiwe!

Kwenye hii kesi ya Lulu, bahati mbaya sana Lulu ana sifa mbaya kwenye jamii kiasi kwamba hakuna mtu anathubutu kumtetea na kumsaidia angalau aweze kujipanga kukabiliana na siku za kusubiri hatma baada ya upelelezi. Kibaya zaidi kuna statements za watu wazito ndani ya jamii, statements ambazo zenyewe tu zimeshapasisha kwamba Lulu ndio muuaji. Kibaya zaidi, unyeti wa hali inayozunguka msanii maarufu kipenzi cha wengi utaathiri hata mwenendo mzima wa upelelezi na kitakachojiri to the detriment of Lulu.

Nadhani kwa vile hii haijawa kesi ya kimahakama, na kwa vile jamii inazungumzia hiki kifo, hakuna ubaya tukawa na scenario zote.

Sijaandika haya kwa vile nataka kumsemea Lulu asiwajibike kama anahusika kijinai bali najaribu kupanua mjadala.

Nawasilisha.
WoS.

Kwanza wewe unasema Lulu hafit kwenye kesi ya jinai, halafu unasema tusubiri mpaka afikishwe mahakamani, halafu hauna uhakika na umri wa Lulu wakati yeye mwenyewe alitangaza hadharani kuwa ni equal or above 18. Wewe haya umeyatoa kwa Halima Mdee, au uliongozana na Halima Mdee? Halima Mdee anaweza hasijuwe vizuri sheria pamoja na kusoma Law kwani hakuna mwaka ambao hajawahi ku-sup wakati akiwa UDSM.

Hasiyefunzwa na mamaye ufunzwa na ulimwengu - hii ni kwa wote wawili - marehemu na Lulu!!!!
 
Alijipa 18 ili asiwekewe pingamizi kuingia kwenye mapenzi(ambayo kimsingi alianza kitambo)...kaingia kwenye tuhuma za mauaji umri umepungua kua 17...anyway umri ni tarakimu tu!...
 
Ikiwa ana umri wa miaka 17 kweli, lakini mara kadhaa ameonekana wazi akisema ana miaka 18, linaweza kutumiwa na waendesha mashitaka kuwa Lulu ana asili ya uongo na maelezo yake ya nini kilitokea chumbani yasizingatiwe

Polisi wamemtaja Lulu kuwa na umri wa miaka 18, sitaki kuamini kuwa hata Hilo walililitoa from thin air.

Kama maelezo yake ya awali polisi alijitaja kuwa na umri wa miaka 18 wakati ni uongo, haaminiki maelezo yake
 
Pia si inasemekana marehemu alikuwa amekunywa pombe kali....sasa kama hiyo ni kweli basi huenda pia ilipelekea yeye kuwa na aggression zaidi na pia labda kupoteza equilibrium yake na hivyo kudondoka na kujibamiza kichwa kwenye kitu kigumu.

Ila pia, matatizo ya kutokuwa na emergency systems za uhakika ndiyo matokeo yake haya. Ingekuwa kwenye nchi za watu mdogo wake angeweza tu kupiga simu 9-1-1 na watu wa EMT, Fire and Rescue, pamoja na polisi wote wanakuja kwa wakati mmoja.

Hii inahakikisha at least eneo la tukio litahifadhiwa kwa evidence collection (zitapigwa picha, itaandikwa ripoti , n.k.) huku mtu akipata matibabu ya dharura kabla hajapelekwa hospitali.

Sasa sina hakika hata kama marehemu alipelekwa huko Muhimbili akiwa kwenye gari la kubebea wagonjwa na sijui hata hao polisi walifika kwenye hilo eneo la tukio baada ya muda gani!!
Tanzania EMT wapo pia unatakiwa kupiga 999
 
hivi lulu alijisalimisha au alisakwa na kukamatwa na polisi?
vyombo vya habari vinatuchanganya. mwananchi waliandika kuwa lulu alibakizwa kituo cha polisi walipokwenda kuchukua PF3 ili Kanumba aweze kutibiwa. gazeti jingine limeandika lulu alikimbia baada ya tukio na halielezi amefikafikaje polisi. mkorogo mtupu.
 
... Kukamatwa na polisi na kushikiliwa ili kusaidia uchunguzi ni utaratibu wa kawaida sana. Nimewahi kushuhudia mtu kajiua, ndugu yake na mkewe waliomgundua kajining’iniza walikamatwa wakakaa ndani ili wasaidie uchunguzi Ilahali mtu kajiua mwenyewe. Ilisikitisha sana kwa maana wafiwa walitiwa misukosuko kwa kifo ambacho marehemu alijiletea kwa kujitundika. Walikaa masaa kadhaa kabla ya ndugu kwenda kuwatetea na kushinikiza waachiwe!
...
Unasema kushikiliwa na polisi ni utaratibu wa kawaida, halafu hapo hapo unakuja kusema ilisikitisha sana watu kushikiliwa kwa kosa la ndugu yao kujiua. Sasa kama kushikiliwa na polisi ni utaratibu wa kawaida, inasikitisha nini tena? Hebu fafanua
 
Naanza na kutoa Pole kwa watanzania wote, hasa ndugu jamaa na marafiki wa karibu wa Kanumba The Great (R.I.P) kabla sijatoa mchango wangu kuhusu hili jambo zito na nyeti ambalo limetawala maongezi katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka. Mengi yamesemwa na pia kuna mengi pia hayajasemwa, moja wapo likiwa "ujinai" wa Lulu katika kifo cha Kanumba.

Katika mukatadha wa sheria, tunaona kwamba Tanzania ni moja ya nchi zenye kuuweka uwajibikaji kijinai kuwa chini ya UMRI wa miaka 18 kwa kuweka miaka 10 kama umri ambapo mtu anaweza kushtakiwa kwa kosa la jinai. (Linganisha na Kenya miaka 8, Zimbabwe -7,Zambia 8,Africa Kusini 10) n.k. Ina maana kwamba mtu (mtoto) aliye chini ya umri huu hawezi kushtakiwa labda ithibitishwe kuwa alikua anajua kabisa anachokifanya. Lulu hafit kwenye kundi hili hata kama ana umri wa miaka 17 kama ambavyo Mh Halima Mdee ame tweet leo baada ya kumtembelea LuLU Oysterbay Polisi.

Tukiacha sheria na matakwa yake, kwa kuzingatia yale yanayosemwa kuhusu mkasa huu wa kifo cha Kanumba (R.I.P), inatupasa tuone kuwa kila hadithi ina pande mbili. Hadithi ya Kanumba ambaye kwa sasa hayupo kuelezea, na hadithi ya Lulu aliye mahabusu. Inasikitisha sana kwamba kifo kimetokea katika mazingira ya kutatanisha. Kifo hiki kimesikitisha watu wengi na kufanya udadisi wa kutaka kujua ukweli ulio objective iwe vigumu. Watu wamebakia kushusha lawama ZOTE kwa Lulu tu bila kutaka kujua haswa ilitokea nini hadi kifo hicho kikatokea.

Kama watanzania wengine napenda niseme kwamba , nahuzunika kama wengine kumpoteza Kanumba na pia kuona ndoto zake kama msanii zikizimwa ghafla. Aidha wapenzi wake wamekatishwa ile raha ya kuendelea kuburidika na filamu zake. Pamoja kuwa na huzuni kuu, pia najaribu kuangalia upande wa pili – Lulu! Huyu binti wa miaka 17/18 kijamii bado ni msichana mdogo japo kisheria hasamehewi kuwajibishwa kijinai. Lakini uwajibishwaji huo utakuja pale upelelezi utakapokamilika. Kufuatana na waliobahatika kumuona huyu binti, ana majeraha kuashiria kuwa alipigwa na kuumizwa na marehemu. Ingekuwa marehemu hakufa, basi nadhani kesi hii ingekuwa ya aina yake kama ingefika kunakohusika. Wote walijeruhiana. Lakini mazingira ya kujeruhi huko ni yepi?

Tumeambiwa na hata kusoma kwamba:

1. Lulu alienda kwa Kanumba usiku mkali mishale ya saa 6, kusudi watoke kwenda kucheza muziki kwa msanii Chaz baba – Mashujaa band ( Kanumba alishapiga simu kutaka andaliwe viti na sehemu maalum ya kukaa yeye na marafiki zake na pia akiomba hata wimbo maalum atakapofika)
2. Lulu alitoka nje kusikiliza simu – Kanumba akamfuata na kumrudisha ndani ili aeleze anaongea na nani.( Hapa tunaona kabisa Kanumba akianzisha shari yeye mwenyewe badala ya kuepuka shari)
3. Kanumba alimfungia Lulu ndani wakawa wanagombana. Aggressor hapa ni Kanumba na siyo Lulu.Kelele za ugomvi ziliashiria vurugu na kwa vile mlango ulifungwa na ufunguo, ilikuwa vigumu Lulu kukimbia tena au hata watu nje kuja kutoa msaada.
4. Lulu alitoka nje kwenda kumwita Seth na kumwambia Kanumba kaanguka.Lulu alikimbia akiwa na majeraha.Hii haionyeshi kuwa Lulu aliua vinginevyo angetoka kimya kimya akatokomea.

Sasa ndugu zanguni, kwanini Lulu anaonekana alifanya mauaji ya kukusudia? Ikiwa Kanumba alianguka katika purukushani na kuponda kichwa na kufa, Lulu kaua vipi? Kukamatwa na polisi na kushikiliwa ili kusaidia uchunguzi ni utaratibu wa kawaida sana. Nimewahi kushuhudia mtu kajiua, ndugu yake na mkewe waliomgundua kajining'iniza walikamatwa wakakaa ndani ili wasaidie uchunguzi Ilahali mtu kajiua mwenyewe. Ilisikitisha sana kwa maana wafiwa walitiwa misukosuko kwa kifo ambacho marehemu alijiletea kwa kujitundika. Walikaa masaa kadhaa kabla ya ndugu kwenda kuwatetea na kushinikiza waachiwe!

Kwenye hii kesi ya Lulu, bahati mbaya sana Lulu ana sifa mbaya kwenye jamii kiasi kwamba hakuna mtu anathubutu kumtetea na kumsaidia angalau aweze kujipanga kukabiliana na siku za kusubiri hatma baada ya upelelezi. Kibaya zaidi kuna statements za watu wazito ndani ya jamii, statements ambazo zenyewe tu zimeshapasisha kwamba Lulu ndio muuaji. Kibaya zaidi, unyeti wa hali inayozunguka msanii maarufu kipenzi cha wengi utaathiri hata mwenendo mzima wa upelelezi na kitakachojiri to the detriment of Lulu.

Nadhani kwa vile hii haijawa kesi ya kimahakama, na kwa vile jamii inazungumzia hiki kifo, hakuna ubaya tukawa na scenario zote.

Sijaandika haya kwa vile nataka kumsemea Lulu asiwajibike kama anahusika kijinai bali najaribu kupanua mjadala.

Nawasilisha.
WoS.

Prejudice ...lets wait for the facts to unveil! People are being driven by emotions and political agenda...WOS take note we only take facts and not hear say from media et al.
 
Mie nasubiri kesi iishe, niitafsiri kisha niiweka hapa Ijumaa zijazo..........................
 
ni ushahidi gani unaokufanya useme motive ya murder haikuwepo?unajuaje kwamba lulu alifika na kifaa(mfano chuma kizito) kwa ajili ya kumpiga kanumba?
Unajuaje simu aliyopokea lulu ilimpa maelekezo nini cha kufanya ili amuadhibu marehemu?
Ina maana Mkuu Jackbauer unataka turudi kwenye seen of crime kupata new evidence au ndugu zangu wa polisi wameisha pata hata simu ya Lulu ili kurudi kwenye mtandao kupata simu hiyo ya mwisho in between???? Umeweka situation of doubt in the whole scenario for my friends the investigators to collect every piece of evidence for the sake of clarification!!!! Mimi kwa maoni yangu hili jambo si la kuchukulia juujuu tuu eti tumemaliza, let the law enforcers be smart and bring the culprit to face the law!!!!

 
Kwanza wewe unasema Lulu hafit kwenye kesi ya jinai, halafu unasema tusubiri mpaka afikishwe mahakamani, halafu hauna uhakika na umri wa Lulu wakati yeye mwenyewe alitangaza hadharani kuwa ni equal or above 18. Wewe haya umeyatoa kwa Halima Mdee, au uliongozana na Halima Mdee? Halima Mdee anaweza hasijuwe vizuri sheria pamoja na kusoma Law kwani hakuna mwaka ambao hajawahi ku-sup wakati akiwa UDSM.

Hasiyefunzwa na mamaye ufunzwa na ulimwengu - hii ni kwa wote wawili - marehemu na Lulu!!!!

Mpendwa, kama jambo hujalijua vizuri yapendeza ukiuliza kwanza.
Ukisoma tena utagundua ulichoandika au kudhania nimesema sivyo. Somo la mwanzo kabisa katika kila lugha ni UFAHAMU - ili kupima kama tukisoma au kusomewa aukuambiwa tuna uwezo gani kuelewa ujumbe tunaopewa. Hayo uliyoyaandika sijui yananihusu vipi kama mwanzisha mada.Nakushauri urudie tena kusoma ili uwe ukurasa mmoja na wengine.Pia nilichoandika sijaambiwa na Halima Mdee!
 
WoS umeweka kitu cha maana sana. Nimefuatilia uzi huutoka mwanzo na nimejifunza mengi. Natamani kama wapelelezi wa hii kesi wanapita humu wakasoma. Kiukweli JF ni zaidi ya shule....
 
Hivi kwamfano LULU akionekana anamiaka 17 itakuwaje?
Ataachiwa huru?
Au mfumo wa kumshitaki utabadilika

Ebu some kifungu hiki cha makosa ya jinai (Tanzania):

15. A person under the age of seven years is not criminally immatureresponsible for any act or omission.A person under the age of twelve years is not criminally responsiblefor an act or omission, unless it is proved that at the time ofdoing the act or making the omission he had capacity to know thathe ought not to do the act or make the omission.A male person under the age of twelve years is presumed to be​
incapable of having carnal knowledge.


source:http://www.un.org/depts/los/LEGISLATIONANDTREATIES/PDFFILES/TZA_penal_code.pdf
 
Back
Top Bottom