Ujinga alioufanya msanii Willy Paul jana dhidi ya wasanii wa Tanzania ukemewe vikali

Kakutana na wakenya vichwa ngumu. Eti anazira afu mwanaume.
Lol
Hata kama chuki ila suo kihivyo coca. Kapanda mkenya na kuongea shit hukubanalia jukwaani then aje apande mondi? Usalama wake ungekuwaje?

Msilaumu na kubeza kwa kila kitu. Kiusalama hata mi nisingepanda na kuimba jukwaani mkuu.
 
tatizo media za kenya na waandaa matamasha wanadharau wasanii wao hawawapi kipaumbele. ana hoja lakini haikua platform sahihi.
Mzee heshima huwa haiombwi, unatakiwa uifanyie kazi uheshimike.

Mbona wakina Prezoo, Wahu, Jaguar, Jua Kali wametengeneza jina kubwa sana hapa Tanzania? Wafanye mziki mzuri tu sio kueneza chuki.
 
Mzee heshima huwa haiombwi, unatakiwa uifanyie kazi uheshimike.

Mbona wakina Prezoo, Wahu, Jaguar, Jua Kali wametengeneza jina kubwa sana hapa Tanzania? Wafanye mziki mzuri tu sio kueneza chuki.
Hii issue imenifikirisha sana, Wakenya wapo obsessed sana na mafanikio ya Watanzania sijui shida ni nini? Hawataki kuona tumewazidi kwa chochote, wakati huo huo ikitokea wao wamepiga hatua kwa chochote kutuzidi utawasikia wanatuponda na kutukandia kuwa sisi si chochote, sasa wanatakaje? Kwa Miaka kadhaa sasa entertainment industry ya Tanzania ipo juu sana hasa upande wa Muziki kuliko nchi yeyote ya Afrika Mashariki, hiki kitu wanamuziki wa Kenya huwa kinawaumiza sana kukubali na kujikuta hawana namna huku mioyo yao ikivuja chuki na matokeo yake ndo hayo ya Willy Paulo, hayo ni matokeo ya kile walichokitunza ndani mwao kwa muda mrefu sana ndiyo maana karibu kila mwanamziki na celeb wa kipande hicho anakubaliana na kile alichofanya mwenzao, wanasahau kuwa muziki wetu na tasnia nzima ya Bongo Flavour kufika hapa ilipo ni matokeo ya juhudi na maarifa mengi na kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa hasa Nigeria na South Africa.
 
mawazo ya kimasikini haya mkuu punguza jazba
 
Wakenya wana wivu na chuki sana willy ni msanii mzuri lakin hawezi kumfikia Diamond hao wote wajitape Diamond yupo juu mziki wa 𝑻𝒁 unaongoza watulie ,nimefurahi diamond kughairi na kuondoka
Shida nyingine wasanii wa Kenya ushoga unawatafuna sana aisee huyo wili poo mwnyw punga tu
 
Hakuna kitu wewe. Kwani nani hajafuatilia?. Huyo dogo ndio alitaka awe wa mwisho kwa kusema yeye ni mkubwa kuliko Diamond. Diamond akaona isiwe kesi akakubali kabla ya huyo bwege wako unaemsapot. Sasa huyo kenge wako baada ya Diamond kushika stage vibe la kumwaga kwa wana ukumbini,akabadiri gear,akaanza kulazimisha ilikuwa zamu yake (Kumbuka hapo hao wasanii kenge wa Kenya walikuwa tayari wameshajipanga kushusha maneno mabovu kwa wasanii wa Tanzania. WIVU

MY TAKE. UKUBWA WAKO AU UMAARUFU WAKO HAUTOKANI NA WEWE KUULAZIMISHA. UKUBWA AU UMAARUFU WAKO UNATOKANA NA KAZI ZAKO KUBWA NA MATENDO YAKO. HIYO NI KUANZIA NGAZI YA FAMILIA,UKOO,KIONGOZI,MCHEZAJI NA MSANII. HIVYO WATU NDIO WANAOKUPA UMAARUFU KUTOKANA NA KAZI ZAKO AU MATENDO YAKO BORA KWA JAMII. KAMA ILIVYO KWA DIAMOND.
HAIWEZI KUTOKEA KAMA HAO KENGE WA KENYA WALIVYOJITANGAZA UKUBWA STAGINI. NEVER. DIOMOND BADO ATABAKI KUWA JUU SANA PAMOJA NA KWAMBA NYIE BAADHI YA VIJANA KSBB YA UVIVU WENU MNABAKI KUMDISS. WIVU WA KIJINGA
 

Kumbe alikubali kumpisha Diamond atumbuize, baadaye alipoona nyomi inamkubali kwa vibe la hatari, akabdili gia hewani, akaanza kung'ang'ania atumbuize yeye.
Huyu msanii ni jinga sana.
 
wakenya wabugi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…