CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
huyo msanii uchwara na hao wa_keii wenzake, wote was*nge tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nilipanda na mama yako nikawa namshika shika.Akizira kapande wewe na mamaako na babaako mtumbuize!
Mbona nilipanda na mama yako nikawa namshika shika.
Kilichowapeleka akina domo nchini Kenya ji kipi?Wakenya wana wivu na chuki sana willy ni msanii mzuri lakin hawezi kumfikia Diamond hao wote wajitape Diamond yupo juu mziki wa 𝑻𝒁 unaongoza watulie ,nimefurahi diamond kughairi na kuondoka
Vijana barubaru wapo vzr..Will paul ana chuki tu. Mbona ana collabo nying tu na wasanii wa Tz kina nandy, marioo, rayvanny..n.k tena ye ndo huwa anawashirikisha. Sijawahi kuona msanii wa bongo anamshirikisha uyo kiazi. Ni chuki tu za kishamba. Na iko wazi mziki wa kenya bado sana. Yani ukitoa saut sol, wasanii wa kenya sijawahi kuwaelewa na ni viazi tu🚮🚮
Sio baadhi..wengi wao ni wapuuzi. Baadhi tu ndio wanajielewaWakenya baadhi ni wapuuzi sana sana
Wale jamaa wako na frustration zaoBoundaries kivipi wakati Wakenya wenyewe ndio walimuhita Diamond Platnumz aje afanye show....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefatilia hii ishu wengi hata hamjaelewa, willy paul yupo sahihi maana ratiba ilionyesha atapanda yeye kwanza.... siku zote wasanii wadogo hupanda kwanza msanii mkubwa anakua wa mwisho hii hata kwenye boxing tunaona wanaanza wapiganaji wadogo main event inakua mwisho
Tatizo hawakwenda na ratiba vizuri muda ukawa unaenda diamond akawa analazimisha yeye apande amalize aondoke zake na zuchu wake ndo willy paul akataka ratiba ifuatwe kama kawaida
Diamond akalazimisha kupanda stejini kama kawa wakenya ni vichwa vigumu na hawapendi shobo wakamzomea akasepa zake... wakenya hawana ujinga... zuchu angejaribu kuwanyooshea dole la kati kama alivyofanya mbeya wangemkata masikio stejini
Sasa ajabu nn? Wimbo si wake?Vipi Willy Paul kuuita wimbo alioimba na Rayvanny Takataka pale stejini na kumwambia Dj auondoe
Kakutana na wakenya vichwa ngumu. Eti anazira afu mwanaume.Amezoea kupigiwa magoti hapa Bongo.
Sasa TZ mna nn kuizidi Kenya? Upumbavu na ujinga au?Wakenya wakisha tafuna miraai vichwa vinaenda resi..Kwanza nashangaa Kenya wanann zaidi yakukimbia mbio Kama vibaka
Ndomaana magu..aliwakomaliga
wakajaaupepo
Vingi Sana..kasoro Katiba hapo ndowametushindaSasa TZ mna nn kuizidi Kenya? Upumbavu na ujinga au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachekesha wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vingi Sana..kasoro Katiba hapo ndowametushinda
Nipeleke cheka tu..kwa coyUnachekesha wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachowaleta wakenya 𝑻𝒁 ni kipi we mjinga niniKilichowapeleka akina domo nchini Kenya ji kipi?
They should know their boundaries
Na weww Usituletee Ujinga.. kama ni hivyo Wange deal na Diamond Personally.. kwa nini Wataje Watanzania???Nimefatilia hii ishu wengi hata hamjaelewa, willy paul yupo sahihi maana ratiba ilionyesha atapanda yeye kwanza.... siku zote wasanii wadogo hupanda kwanza msanii mkubwa anakua wa mwisho hii hata kwenye boxing tunaona wanaanza wapiganaji wadogo main event inakua mwisho
Tatizo hawakwenda na ratiba vizuri muda ukawa unaenda diamond akawa analazimisha yeye apande amalize aondoke zake na zuchu wake ndo willy paul akataka ratiba ifuatwe kama kawaida
Diamond akalazimisha kupanda stejini kama kawa wakenya ni vichwa vigumu na hawapendi shobo wakamzomea akasepa zake... wakenya hawana ujinga... zuchu angejaribu kuwanyooshea dole la kati kama alivyofanya mbeya wangemkata masikio stejini
Mjinga mumeoKinachowaleta wakenya 𝑻𝒁 ni kipi we mjinga nini