Ujinga alioufanya msanii Willy Paul jana dhidi ya wasanii wa Tanzania ukemewe vikali

Ujinga alioufanya msanii Willy Paul jana dhidi ya wasanii wa Tanzania ukemewe vikali

Nimefatilia hii ishu wengi hata hamjaelewa, willy paul yupo sahihi maana ratiba ilionyesha atapanda yeye kwanza.... siku zote wasanii wadogo hupanda kwanza msanii mkubwa anakua wa mwisho hii hata kwenye boxing tunaona wanaanza wapiganaji wadogo main event inakua mwisho

Tatizo hawakwenda na ratiba vizuri muda ukawa unaenda diamond akawa analazimisha yeye apande amalize aondoke zake na zuchu wake ndo willy paul akataka ratiba ifuatwe kama kawaida


Diamond akalazimisha kupanda stejini kama kawa wakenya ni vichwa vigumu na hawapendi shobo wakamzomea akasepa zake... wakenya hawana ujinga... zuchu angejaribu kuwanyooshea dole la kati kama alivyofanya mbeya wangemkata masikio stejini
Kwenye makaratasi uliona waliandika nini? Mondi sio mjinga kugoma,mpaka unamuona amegoma ana uhakika sheria ipo upande wake hata akipelekwa kudaiwa fidia anapo pakusimamia. Time is money kama hawaja zingatia mda basi hilo ni swala lao.
 
Nimefatilia hii ishu wengi hata hamjaelewa, willy paul yupo sahihi maana ratiba ilionyesha atapanda yeye kwanza.... siku zote wasanii wadogo hupanda kwanza msanii mkubwa anakua wa mwisho hii hata kwenye boxing tunaona wanaanza wapiganaji wadogo main event inakua mwisho

Tatizo hawakwenda na ratiba vizuri muda ukawa unaenda diamond akawa analazimisha yeye apande amalize aondoke zake na zuchu wake ndo willy paul akataka ratiba ifuatwe kama kawaida


Diamond akalazimisha kupanda stejini kama kawa wakenya ni vichwa vigumu na hawapendi shobo wakamzomea akasepa zake... wakenya hawana ujinga... zuchu angejaribu kuwanyooshea dole la kati kama alivyofanya mbeya wangemkata masikio stejini
Na mimi nilitaka kushangaa eti ulilie kuanza sababu ni mkubwa wakati ni kinyume chake. Lakini ratiba inafuata muda na siyo foleni. Kama muda wa Diamond kupanda ulifika alikuwa sahihi kutaka kupanda.
 
Nimefatilia hii ishu wengi hata hamjaelewa, willy paul yupo sahihi maana ratiba ilionyesha atapanda yeye kwanza.... siku zote wasanii wadogo hupanda kwanza msanii mkubwa anakua wa mwisho hii hata kwenye boxing tunaona wanaanza wapiganaji wadogo main event inakua mwisho

Tatizo hawakwenda na ratiba vizuri muda ukawa unaenda diamond akawa analazimisha yeye apande amalize aondoke zake na zuchu wake ndo willy paul akataka ratiba ifuatwe kama kawaida


Diamond akalazimisha kupanda stejini kama kawa wakenya ni vichwa vigumu na hawapendi shobo wakamzomea akasepa zake... wakenya hawana ujinga... zuchu angejaribu kuwanyooshea dole la kati kama alivyofanya mbeya wangemkata masikio stejini

Na kama unavojua Diamond akipanda anakiwasha kweli ila akiondoka tu anasepa na kijiji, Hapo willy angebaki na maspika tu! Ndomana akajihami mapemaa, chakufia nini
 
tatizo media za kenya na waandaa matamasha wanadharau wasanii wao hawawapi kipaumbele. ana hoja lakini haikua platform sahihi.
 
Jana usiku kulikuwa na Tamasha pale Nairobi ambalo moja ya Wasanii walioalikwa kutumbuiza ni Wasanii kutoka Tanzania, Diamond Platnumz akisindikizwa na Zuchu huku Msanii mwingine akiwa Rayvanny.

Vurugu zilianza baada ya muda wa Diamond Platinumz kupanda stejini kufika ambapo Msanii wa Kenya Willy Paul Msafi kulazimisha kupanda stejini eti kwa kuwa yeye ni msanii wa Kenya hivyo anapaswa kupanda mwanzo kabla ya Diamond Platnumz, na akadai yeye kuwekwa wa mwisho baada ya Diamond Platnumz ni kuwadharau Wasanii wa Kenya. Willy Paul anadai kuwa kwa mujibu wa ratiba yeye alipaswa kumtangulia Diamond, na pia anadai ratiba ilibadilishwa na yeye kupangwa baada ya Diamond Platnumz jambo ambalo hakulitaka na kupelekea kuleta vurugu ya kugombania kupanda stejini.

Baada ya vurugu hizi vyanzo vinasema Meneja wa Diamond ambae ni Sallam SK alipiga simu na kutaka Msanii wake "Diamond" ahairishe show hiyo. Diamond na timu yake waliondoka eneo hilo mara moja na kwenda kuendelea na ratiba nyingine pale jijini Nairobi.

Willy Paul alipanda stejini, lakini hakuishia hapo alizua taharuki baada ya Dj kupiga wimbo wake wa "Mmh" ambao alimshirikisha Rayvanny. Baada ya wimbo huo kupigwa Willy Paul akamwambia DJ kwa ukali "Naomba uondoe hiyo Takataka" akimaanisha aache kipiga wimbo huo. Hii kauli ilionesha ni dharau kiasi gani Willy Paul alikuwa nayo kwa wasanii wa Tanzania.

Bado Willy Paul aliongea na media na kudai wasanii wa kenya wanadharauliwa hawapewi kipaumbele na pia amelalamika kuwa jina lake na picha yake kwenye bango la matangazo vimewekwa kwa udogo ukilinganisha na jina na picha ya Diamond, huku wasanii wengine kama Eric Omondi wakikazia kupitia machapisho yao ya Instagram kuwa wasanii wa Kenya wamekuwa wakidharaulika.

Tamasha la Furaha City Festival lilibadilika na kuwa tukio lenye drama nyingi, likitoa sio tu burudani za kuvutia bali pia ushindani mkali. Wakati mgongano kati ya Willy Paul na Diamond Platnumz ulikuwa tayari umeweka hali mbaya, msanii wa rap wa Kenya, Khaligraph Jones, alichukua mambo hadi kiwango kingine kwa matamshi yake ya kibaguzi.

Akiwa jukwaani, Khaligraph alitangaza sio tu kwamba yeye ndiye msanii bora wa rap barani Afrika, bali pia alijitawaza kuwa msanii bora nchini Tanzania—mbele ya Diamond Platnumz, ambaye kwa muda mrefu amehesabiwa kuwa mfalme wa muziki wa Tanzania. Kauli hiyo ya kishujaa iliwashangaza mashabiki, huku minong’ono ya kutokuamini ikitawala umati.

Kana kwamba hiyo haitoshi, Khaligraph aliendeleza hali hiyo kwa kuimba wimbo wake wa diss unaojulikana kama "Bongo Flavour" dhidi ya marapa wa Tanzania, wimbo ambao alitoa miezi kadhaa iliyopita akiwatuhumu kwa “kusinzia kazini.”


MY TAKE:
Katika ukumbi huo wa burudani hapo jijini Nairobi wanekuwa wakiharikwa wasanii wengi kutoka Jamaica na Nigeria lakini hakujawahi kutokea vurugu ya namna hii, lakini baada ya wasanii wa Tanzania kutokea jana zikatokea vurugu hizo, na mpaka sasa mitandaoni wakenya wamesapoti kwa ukubwa kitendo cha vurugu alichokileta Willy Pau.

Huwezi kusikia hata kwa bahati mbaya Msanii au Mtanzania yoyote yule kutoa lugha za kibaguzi kama hizi kwa Majirani zetu Wakenya.

Wenzetu ile dhana ya kubaguana ipo kwenye damu zao,
Wao Kwa wao kutwa kubaguana kwa misingi ya Ukabila na mahali unapotoka.
Sasa baadhi yao kama huyu Mpuuzi anachochea hasira za Wakenya waone sisi ni Maadui zao!!

Huku kwetu Tanzania always tunawaona nyinyi ni ndugu zetu na tunawapenda sana.
Wanasiasa wetu wa Afrika Mashar
iki siku zote wanafikiria kuunganisha Mataifa yetu,
Lakini kijana mmoja wa hovyo kwa chuki zake binafsi anatoa lugha za kishamba shamba.

View attachment 3172093

View attachment 3172097
Huyo Willy Paul ni mpuuzi kama wapuuuzi wengine. Anayewadharau na kutowapa kipaumbele wasanii wa Kenya ni nani? Apambane na hali yake!!
 
Na issue ya Willy Paul kumwambia DJ azime wimbo alishirikiana na Rayvanny napo utasema kuwa?


Unatetea ujinga tu...


Willy Paul ni mzawa wa Kenya, Diamond Platnumz kumuachia Willy Paul kumalizia show ni bonge la heshima kwa sababu anapewa muda mzuri wa kufanya finishing... Willy Paul alijawa hofu kuwa uenda Diamond Platnumz akimaliza show basi mashabiki wataondoka
Fateni ratiba, clear and simple... acheni kutetea ujinga.... watanzania tunapenda ujinga ujinga eti anampa heshima kupeform mwisho, si angemwambia promoter mapema ampange willy paul mwisho
 
Cheap talk.

Mbona huwa mnajifanya rational sana kwenye mijadala mingine

Kubalini tu, wasanii wa tz ni wakubwa kuliko wenu

It's not that hard to see...
Haya wakubwa ndo maana wakakutana na pididi kwani kuna shida.....endeleeni kukutana na wakina pididi wengine na ukubwa wenu.......haya mwenye expensive talk kwa msaada wa watu wa upinde
 
tatizo media za kenya na waandaa matamasha wanadharau wasanii wao hawawapi kipaumbele. ana hoja lakini haikua platform sahihi.
Hana hoja, muziki ni biashara. Hao si wanasema kuwa ni watu wa biashara?
Sasa radio ipige nyimbo za Willy Paul, iache za Diamond? Wakati watoto wa Nairobi wanaimba nyimbo za jay Melody neno kwa neno?
Hawawezi kuacha kumsikiliza Diamond, wamsikilize Willy Paul. Hiyo siyo biashara.
Let's compete, acheni regulations.
 
Makenya mashamba sana hayo majitu
Na mamziki yanaimba kama yanatufokea

Halafu hao kina diamond wanaenda kufanya nini huko? Yaacheni yaimbe yenyewe na majitu yao huko huko

Pale Kenya anayejielewa ni bien tu mengine ya hovyo kama hilo limkikuyu.

Hawa jamaa wana wivu sana na sisi
 
Na mimi nilitaka kushangaa eti ulilie kuanza sababu ni mkubwa wakati ni kinyume chake. Lakini ratiba inafuata muda na siyo foleni. Kama muda wa Diamond kupanda ulifika alikuwa sahihi kutaka kupanda.
Kwa io willy paul nae muda wake wa kupanda ukifika asipande sio kisa diamond ni mkubwa kuliko yeye?
 
Katika watu nawachukia E.A hii ni wakenya jamaa wana wivu,chuki,ubinafsi na roho mbaya sana.

Mimi siyo Shabiki wa Diamond ila jamaa ni msanii mkubwa kwa sasa huwezi kushindana nae kwa chuki na ukawa bora kuliko yeye, wawekeze kwenye mziki wao , huyo Willy Paul kwa huko kenya ni msanii mkubwa ila kwa hapa Tz ni underground tu
 
Jana usiku kulikuwa na Tamasha pale Nairobi ambalo moja ya Wasanii walioalikwa kutumbuiza ni Wasanii kutoka Tanzania, Diamond Platnumz akisindikizwa na Zuchu huku Msanii mwingine akiwa Rayvanny.

Vurugu zilianza baada ya muda wa Diamond Platinumz kupanda stejini kufika ambapo Msanii wa Kenya Willy Paul Msafi kulazimisha kupanda stejini eti kwa kuwa yeye ni msanii wa Kenya hivyo anapaswa kupanda mwanzo kabla ya Diamond Platnumz, na akadai yeye kuwekwa wa mwisho baada ya Diamond Platnumz ni kuwadharau Wasanii wa Kenya. Willy Paul anadai kuwa kwa mujibu wa ratiba yeye alipaswa kumtangulia Diamond, na pia anadai ratiba ilibadilishwa na yeye kupangwa baada ya Diamond Platnumz jambo ambalo hakulitaka na kupelekea kuleta vurugu ya kugombania kupanda stejini.

Baada ya vurugu hizi vyanzo vinasema Meneja wa Diamond ambae ni Sallam SK alipiga simu na kutaka Msanii wake "Diamond" ahairishe show hiyo. Diamond na timu yake waliondoka eneo hilo mara moja na kwenda kuendelea na ratiba nyingine pale jijini Nairobi.

Willy Paul alipanda stejini, lakini hakuishia hapo alizua taharuki baada ya Dj kupiga wimbo wake wa "Mmh" ambao alimshirikisha Rayvanny. Baada ya wimbo huo kupigwa Willy Paul akamwambia DJ kwa ukali "Naomba uondoe hiyo Takataka" akimaanisha aache kipiga wimbo huo. Hii kauli ilionesha ni dharau kiasi gani Willy Paul alikuwa nayo kwa wasanii wa Tanzania.

Bado Willy Paul aliongea na media na kudai wasanii wa kenya wanadharauliwa hawapewi kipaumbele na pia amelalamika kuwa jina lake na picha yake kwenye bango la matangazo vimewekwa kwa udogo ukilinganisha na jina na picha ya Diamond, huku wasanii wengine kama Eric Omondi wakikazia kupitia machapisho yao ya Instagram kuwa wasanii wa Kenya wamekuwa wakidharaulika.

Tamasha la Furaha City Festival lilibadilika na kuwa tukio lenye drama nyingi, likitoa sio tu burudani za kuvutia bali pia ushindani mkali. Wakati mgongano kati ya Willy Paul na Diamond Platnumz ulikuwa tayari umeweka hali mbaya, msanii wa rap wa Kenya, Khaligraph Jones, alichukua mambo hadi kiwango kingine kwa matamshi yake ya kibaguzi.

Akiwa jukwaani, Khaligraph alitangaza sio tu kwamba yeye ndiye msanii bora wa rap barani Afrika, bali pia alijitawaza kuwa msanii bora nchini Tanzania—mbele ya Diamond Platnumz, ambaye kwa muda mrefu amehesabiwa kuwa mfalme wa muziki wa Tanzania. Kauli hiyo ya kishujaa iliwashangaza mashabiki, huku minong’ono ya kutokuamini ikitawala umati.

Kana kwamba hiyo haitoshi, Khaligraph aliendeleza hali hiyo kwa kuimba wimbo wake wa diss unaojulikana kama "Bongo Flavour" dhidi ya marapa wa Tanzania, wimbo ambao alitoa miezi kadhaa iliyopita akiwatuhumu kwa “kusinzia kazini.”


MY TAKE:
Katika ukumbi huo wa burudani hapo jijini Nairobi wanekuwa wakiharikwa wasanii wengi kutoka Jamaica na Nigeria lakini hakujawahi kutokea vurugu ya namna hii, lakini baada ya wasanii wa Tanzania kutokea jana zikatokea vurugu hizo, na mpaka sasa mitandaoni wakenya wamesapoti kwa ukubwa kitendo cha vurugu alichokileta Willy Pau.

Huwezi kusikia hata kwa bahati mbaya Msanii au Mtanzania yoyote yule kutoa lugha za kibaguzi kama hizi kwa Majirani zetu Wakenya.

Wenzetu ile dhana ya kubaguana ipo kwenye damu zao,
Wao Kwa wao kutwa kubaguana kwa misingi ya Ukabila na mahali unapotoka.
Sasa baadhi yao kama huyu Mpuuzi anachochea hasira za Wakenya waone sisi ni Maadui zao!!

Huku kwetu Tanzania always tunawaona nyinyi ni ndugu zetu na tunawapenda sana.
Wanasiasa wetu wa Afrika Mashar
iki siku zote wanafikiria kuunganisha Mataifa yetu,
Lakini kijana mmoja wa hovyo kwa chuki zake binafsi anatoa lugha za kishamba shamba.

View attachment 3172093

View attachment 3172097
Mkuu umeweka chumvi za kutosha na pilipili zimezidi.

Ulichokiongea siyo kweli.
 
Noma sana!
This silly and stupid Kenyans ndo Kawaida Yao ubaguz ,wanabaguana Kwa MAKABILA Yao,wanabaguana Kwa sehem walipotoka,wanabaguana Kwa rangi zao,wanabaguana Kwa hadhi zao,sasa mnashangaa kiwabagua watz? Mnashangaa badala watu waseme flan no Bora kulko flan mtu ndo anajitangaza badala ya mashabik? Hata comments zao mtashangaa zimejaa ubag
 
Back
Top Bottom