Ujinga na kukosa exposure ni tatizo kubwa sana kwa wana CCM wengi

Hili ni funzo kwetu sote kutokuchagua mtu aliyekulia kwenye umasikini wa kutupwa na mshamba kuwa rais wa nchi
 

umesoma nlichoandika ama umeruka?
 

😂 😂 😂 ehe ehe ehe, ndo maaana i said mko hopeless, infact kama upinzani ndo huu basi ukandamizwaji uendelee tu
 
Aliwakatalia wajenzi kuweka lift hospital ya Chamwino tena live kwenye camera. Mawazo yake elevator ni anasa kumbe kwa hospital ya ghorofa kuwepo kwa elevator ni compulsory
Hili nalikumbuka sana, akawa anabishana na civil engineer aliekuwa anajaribu kumwelewesha kwamba, jengo lolote la huduma za umma likiwa la ghorofa lazime liwe na lift ili liweze kuhudumia watu wenye ulemavu na wazee. Huu nao ni ushamba wa aina yake.
 
li Tanzania na CCM ipone kwenye hili ni lazima tujifunze na kuacha ujinga na ushamba na tuitazame dunia Kama sehemu ya ushindani wa kibiashara na kimaisha ili tuweze kutumia akili zetu na rasilimali zetu vizuri kwa maendeleo yetu ya kweli.
Mawakala wa mafisadi mnatapa tapa
Yaani wewe kwako Manji ndio umeona wa kutolea mfano?
Mbona Bakhresa,Mo,Zakaria,Rostam,Mengi na wengineo viwanda vyao havikufa?
Bakhresa ameongeza Bagamoyo sugar chini ya Magufuli huyu huyu,tena akapewa na 11,000ha alime miwa
Mo kafungua kiwanda cha nafaka cha kisasa,chini ya Magufuli huyu huyu
Rostam kafungua kiwanda cha ngozi cha kisasa chini ya Magufuli huyu huyu
Zakaria kafungua kiwanda cha kukoboa mpunga cha kisasa zaidi chini ya Magufuli huyu huyu
Manji alikua na janja janja nyingi sana
 
Suala la Bandari ya Bagamoyo ni controversial na umelieleza kwa jiko la makengeza. Hatujaona pia Mkataba na feasibility study. Wazo ni nzuri kuwa na bandari lakini je masharti mbona yalikuwa ya hovyo na mtoa mada huzungumzii jinsi ambavyo yamgeumiza nchi. Tenda itangazwe upya. Zingaita case ya Sri lanka na Zambia.Magufuli ameacha legacy bayo itaishi milele. Miradi aliyojenga inafunika udhaifu mchache.
Kuhusu ndege ni biashara inayohitaji kujitosa kama nchi too much academic analysis on business plans wakati mwingine hupotosha. Hivu watu wote huanza biashara na business plan kwani tulikuwa tunaenda kukopa.
Kuhusu sekta binafsi bado wafanya biashara wanaendelea na biashara zao wachache wakwepa kodi na waliozoea na ubadhirifu iliwaathiri sana. Lakini pia ugonjwa wa Korona duniani hususani kwenye source market iliathiri biashara nyingi na siyo Magufuri as an individual. Uchambuzi wako umegubikwa na chuki binafsi na hivyo kukosa majibu yaliyosimama yenyewe na yenye utafiti wa kisayansi. Mengi uliyosema yana speculations. Jioni njema
 
Kwa iyo unslinganisha maelfu ya biashara na viwanda vilivyofungwa na hivyo Viwanda 3 vilivyoanzishwa??? Unaposema Manji alikuwa janja janja, wewe umeajiri watu wangapi kumzidi Manji alieajiri maelfu ya watanzania?
 
Kwanza Bandari ya Bagamoyo ni mkopo kwetu au uwekezaji wao kwa fedha zao? Nijibu hapo
 
Yule mzee bora Mungu kamchukua tu!
Hili nalikumbuka sana, akawa anabishana na civil engineer aliekuwa anajaribu kumwelewesha kwamba, jengo lolote la huduma za umma likiwa la ghorofa lazime liwe na lift ili liweze kuhudumia watu wenye ulemavu na wazee. Huu nao ni ushamba wa aina yake.
 
Kwanza Bandari ya Bagamoyo ni mkopo kwetu au uwekezaji wao kwa fedha zao? Nijibu hapo
Mimi sijui aisee ndio maana nasema uletwe kwanza mkataba na uonekane pale bungeni. Hatuhitaji mambo ya kusimuliana faida wala hasara bila kuona mikataba.
 
Kwa iyo unslinganisha maelfu ya biashara na viwanda vilivyofungwa na hivyo Viwanda 3 vilivyoanzishwa??? Unaposema Manji alikuwa janja janja, wewe umeajiri watu wangapi kumzidi Manji alieajiri maelfu ya watanzania?
weka ushahidi wa hayo maelfu ya viwandfa yaliofungwa
 
Mbowe exposure dubai, lissu exposure belgium OK?, je ofisi ya chama ina exposure ya wap?
kwa kwer hata mm mwanachama ila kila nikikaa nikiwaza oficen yetu ufipa.najiskia aibu sana
 
Kwa roho yako ya kiburundi lazima uone ukandamizaji ni sawa
upinzani umekandamizwa maisha yamekua mazuri, miradi inasogea, raisi anafanya maamuzi yenye akili dunia nzima wanashangaa kwann tusiendelee na ukandamizaji, tena ni bora hata magu yaaani ingekua ni mm mfano najenga flyovevr kuanzia riverside mpaka sam mujoma kupunguza foleni alafu mseme haina kazi, mngekua mnavuka mkiwa na kadi ya uanachama wa ccm tu, hatuwezi kuentatain upumbavu kama huo wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…