Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauogopi ukimwi wewe?Tunapitia tje same situation, mim mchepuko wangu nlimkamata na sms anazochat na mpenz(kibwengo) wake. Nliumia sana. Mbaya zaidi kuna siku aliniomba ruhusa aende mkoani(tupo
Tunapitia tje same situation, mim mchepuko wangu nlimkamata na sms anazochat na mpenz(kibwengo) wake.
Nliumia sana
Mbaya zaidi kuna siku aliniomba ruhusa aende mkoani(tupo wilayani) kweny mahafali ya rafiki yake nlimruhusu kwa masharti kua arudi siku ileile na awe anawasiliana nami mda mwingi.
Kwnza alikata mawasiliano nikipiga hapokei amekuja kupokea siku ya pili akasema kua alishindwa kunambia ukweli kaenda kumuuguza mdogo wake anaumwa.
Siku karudi nikavizia simu kukagua naona yule kibwengo anachat nae ati alimpeleka adi salun kuseti nywele. Roho iliniuma sana. Lakin utliyasolve saizi tukaendelea kama kawaida.
Not fair. Wewe una mke, naye inabidi atafute mme wake. Inakupasa umpe nafasi ya yeye kuja kuolewa. Au wewe ni dini inakuruhusu kuja kuoa wake 2?Nikiri wazi mwanamke uyu nashindwa na siwezi kumuacha
Tabia nilishaibadili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchepuko ukupende????
Wanaume aliyewaroga kafa.
Sawa na wale wanaoambiwa ila mheshimu mkeo!!!
Serious????
Basi weekend ile nilitulia home tu nikipewa mapenzi Moto Moto na my wife
Nikamsahau kabisa nyang'au yule,halafu akanipigia simu nilichomjibu hatosahau,akaja mpaka ofisini lakini nilimuonesha ukatili hatosahau.
[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tabia nilishaibadili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaosaliti wenza wao wauwaweSijui mwenzangu, ila mimi huwa sipendi tu mtu akiisaliti ndoa yake
Unamkomoa mchepuko sio?Mimi nikiwa na hasira na mchepuko wife atapigwa pipe mpaka afurahi usiku kucha
Babe mambo gani tena haya unaongea[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Wekeza kwa mke na watoto, haya mengine ni nyongeza tu.
Don't be too attached to mchepuko hadi kusahau majukumu yako, don't provide to the extent mchepuko anaenjoy hustle zako kuliko familia yako.
Kumbe ratiba anatakiwa apange nani?Mkuu kuna kiumbe mmoja nilishawahi kuwa nae kwenye mahusiano yaani alinifanya niwatambue hawa watu...
Mwanamke yeyote ambaye ndani ya masaa 24 kwa siku 7 ratiba anapanga yeye !!! kamwe usimuamin, yaani alinifanya nikataman mda urudi nyuma nisimjue lakini ndo ikawa haiwezekana...
Vipi tena babe!Babe mambo gani tena haya unaongea[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Unachepuka?Vipi tena babe!