Ujinga tulioufanya mimi na rafiki wa Ma Mdogo wangu unanitesa sana

Ujinga tulioufanya mimi na rafiki wa Ma Mdogo wangu unanitesa sana

Methali :6:32
Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa; huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.
 
Badala uwaze kwenda kupima UKIMWI we unawaza eti heshima yako. Heshima gani umelala na mtu ambaye amekwambia kuwa huwa analalwa lalwa hovyo ili apate pesa kwa sababu yeye ndiye anategemewa na ndugu zake?

Subiri miezi mitatu ipite ukapime UKIMWI halafu mengine ndiyo yatafuata!
Ko nyinyi Mnazani Ukifanya tu peku ukimwi Tiyari. Wewe Unatumia dozi au ndo unafanya na condom.
 
Serious Issue
Wiki kama mbili hivi zilizoisha nilienda nyumbani kutembelea wazee, kama mjuavyo mapokeo ya huko Nanjilinji huwa ni yenye furaha na vifijo, ilikuwa vivyo hivyo kwangu mie

Siku ya pili tokea mapokeo yangu, kulikuwa na sherehe ya birthday kwa rafiki wa Ma Mdogo wangu, basi bhana nikaona wacha nikahudhurie, walau nioshe oshe macho. Mie sio mpenzi wa vyombo, hivyo nilibaki kushuhudia tu watu wanavyogigida Serengeti na Safari za kutosha. Kwenye mida ya saa 5 usiku, watu wote walikuwa nzwi huku wengine wakijaribu kutoweka eneo la tukio taratiiibu

Dakika chache baadaye, niliona wacha na mie nirudi zangu magetoni kupumzisha akili, lakini wakati natoweka mlangoni, nilisikia sauti ya rafiki wa Ma Mdogo ikiniita kwa taratibu, kugeuka hakuwa mwingine bali yeye, akaniambia kuwa ningoje Ma Mdogo aondoke kwa kuwa ana issue special anahitaji tuzungumze. Basi bhana, nikasogea kwenye kigiza nikatulia. Mida ya saa saba usiku niliwaona Ma Mdogo na mashosti zake watatu wakitoka mle ndani, ghafla muziki ulipunguzwa, ikabidi nijisogeze pale kumsikiliza. Akanikaribisha ndani na kunisihi sana ni-dance naye. Kutokana na kinguo alichokuwa amekivaa, jumlisha mimi mwenyewe ndo wa kiume, na mjuavyo kuwa wanaume tumeumbiwa lawama, tulijikuta tunabusiana na dakika tano baadae nilijikuta nishamtanua nikipiga kimoko cha fasta fasta bila hiari yangu. Nilikuja gundua kuwa nimefanya makosa baada tu ya kukojoa. Baada ya hapo niliinuka kifuani kwake kwa kasi na bashasha huku mwili ukitetemeka sana. Cha ajabu alijistiri vizuri na kuanza kuzungumza vitu ambavyo sikuvielewa, si mnajua tena akili za pombe?

Nitajaribu kuweka summary ya baadhi ya yale tu aliyoyabwabwaja:
•Tayari tumeshavunjiana heshima, iwe siri yako, nikiyasikia mahali utajuta kuzaliwa, nitakufanya kitu mbaya

•Mie sio mly, hata kufanya nawe huu ufuska sio kimasihara, bali nilipanga iwe hivi kwa kuwa nakupenda, sipendi kuchanganywa na mbwa jike nyingine katika maisha yangu

• Sio kwamba huwa napenda sana kulala na wanaume, ni kwa vile tu nafanya hivyo ili kupata pesa kwa kuwa mimi ndio tegemeo kubwa la wazazi wangu

• Sio kwamba napenda kumsaliti mume wangu, ni kwa vile yeye ni mzee na isitoshe hawezi kumudu tendo kwa muda mrefu

Baada ya hapo akaanza kujiliza sana huku akinihadithia historia ya maisha yake na wanae na wazazi wake. Dakika chache baadae nilisikia mchakacho wa mtu kama vile alikuwa anatusikiliza dirishani, ndipo nikaamua kuondoka kwa lazima. Cha kushangaza kesho yake hakuonesha dalili yoyote ya kile kilichotokea, yaani ni kama vile ilikuwa ni ndoto

Nilipojaribu ku-imagine shape, sura na age yake nilijikuta nikisononeka sana. Siku iliyofuata alikuja kwa Bi Mkubwa, nahisi ni baada ya kupata taarifa kuwa nilikuwa hapo. Alianza kufuatilia moment za wale akina dada niliokuwa nazungumza nao kiasi kwamba nikakosa hata uhuru kiasi cha kujiondokea. Siku iliyofuata, Bi Mkubwa alitengeneza ka sherehe ka ulaji na unywaji na kunitaka niwepo eneo la tukio ili ajivunie, cha ajabu bia zilipowakolea, huyo rafiki wa Ma mdogo alianza kufunguka japo kwa mafumbo sana huku akinitazama kama Simba mwenye hamu, nikajikuta napatwa na presha ya ghafla

Siku iliyofuata nikaamua kufunga safari kurudi Dar, hata x mass niliyopanga kuisherehekea nikiwa nyumbani, imenishinda

Moyo unanitesa sana dhidi ya hili jambo. Mwili wa huyu mwanamama sio wa kuvutia, ni tufe / tukunyema la mtu kiasi kwamba wanakijiji wakijua nitakuwa nimeua bendi. Isitoshe lina watoto wawili, wa kwanza ana 11 yrs wa kike. Nahitaji msaada wa kisaikolojia kwa kuwa endapo hii siri itafichulika huenda yeye mwenyewe kwa mdogo wake ama mmiliki wa ule mchakacho, nitaumbuka mwenzenu
Nakunukuu.

Mwili wa huyu mwanamama sio wa kuvutia, ni tufe / tukunyema la mtu kiasi kwamba wanakijiji wakijua nitakuwa nimeua bendi. Isitoshe lina watoto wawili, wa kwanza ana 11 yrs wa kike.

Swali.

Hukuliona hilo hapo awali mkuu ?
Nakushauri upambane na hali yako hakuna namna
 
Vijana wa siku hizi mna mioyo myepesi sana ndio maana jambo dogo mnajitundika!
 
Fanya Kama ni ajali ilitokea, endelea na Maisha....
 
Serious Issue
Wiki kama mbili hivi zilizoisha nilienda nyumbani kutembelea wazee, kama mjuavyo mapokeo ya huko Nanjilinji huwa ni yenye furaha na vifijo, ilikuwa vivyo hivyo kwangu mie

Siku ya pili tokea mapokeo yangu, kulikuwa na sherehe ya birthday kwa rafiki wa Ma Mdogo wangu, basi bhana nikaona wacha nikahudhurie, walau nioshe oshe macho. Mie sio mpenzi wa vyombo, hivyo nilibaki kushuhudia tu watu wanavyogigida Serengeti na Safari za kutosha. Kwenye mida ya saa 5 usiku, watu wote walikuwa nzwi huku wengine wakijaribu kutoweka eneo la tukio taratiiibu

Dakika chache baadaye, niliona wacha na mie nirudi zangu magetoni kupumzisha akili, lakini wakati natoweka mlangoni, nilisikia sauti ya rafiki wa Ma Mdogo ikiniita kwa taratibu, kugeuka hakuwa mwingine bali yeye, akaniambia kuwa ningoje Ma Mdogo aondoke kwa kuwa ana issue special anahitaji tuzungumze. Basi bhana, nikasogea kwenye kigiza nikatulia. Mida ya saa saba usiku niliwaona Ma Mdogo na mashosti zake watatu wakitoka mle ndani, ghafla muziki ulipunguzwa, ikabidi nijisogeze pale kumsikiliza. Akanikaribisha ndani na kunisihi sana ni-dance naye. Kutokana na kinguo alichokuwa amekivaa, jumlisha mimi mwenyewe ndo wa kiume, na mjuavyo kuwa wanaume tumeumbiwa lawama, tulijikuta tunabusiana na dakika tano baadae nilijikuta nishamtanua nikipiga kimoko cha fasta fasta bila hiari yangu. Nilikuja gundua kuwa nimefanya makosa baada tu ya kukojoa. Baada ya hapo niliinuka kifuani kwake kwa kasi na bashasha huku mwili ukitetemeka sana. Cha ajabu alijistiri vizuri na kuanza kuzungumza vitu ambavyo sikuvielewa, si mnajua tena akili za pombe?

Nitajaribu kuweka summary ya baadhi ya yale tu aliyoyabwabwaja:
•Tayari tumeshavunjiana heshima, iwe siri yako, nikiyasikia mahali utajuta kuzaliwa, nitakufanya kitu mbaya

•Mie sio mly, hata kufanya nawe huu ufuska sio kimasihara, bali nilipanga iwe hivi kwa kuwa nakupenda, sipendi kuchanganywa na mbwa jike nyingine katika maisha yangu

• Sio kwamba huwa napenda sana kulala na wanaume, ni kwa vile tu nafanya hivyo ili kupata pesa kwa kuwa mimi ndio tegemeo kubwa la wazazi wangu

• Sio kwamba napenda kumsaliti mume wangu, ni kwa vile yeye ni mzee na isitoshe hawezi kumudu tendo kwa muda mrefu

Baada ya hapo akaanza kujiliza sana huku akinihadithia historia ya maisha yake na wanae na wazazi wake. Dakika chache baadae nilisikia mchakacho wa mtu kama vile alikuwa anatusikiliza dirishani, ndipo nikaamua kuondoka kwa lazima. Cha kushangaza kesho yake hakuonesha dalili yoyote ya kile kilichotokea, yaani ni kama vile ilikuwa ni ndoto

Nilipojaribu ku-imagine shape, sura na age yake nilijikuta nikisononeka sana. Siku iliyofuata alikuja kwa Bi Mkubwa, nahisi ni baada ya kupata taarifa kuwa nilikuwa hapo. Alianza kufuatilia moment za wale akina dada niliokuwa nazungumza nao kiasi kwamba nikakosa hata uhuru kiasi cha kujiondokea. Siku iliyofuata, Bi Mkubwa alitengeneza ka sherehe ka ulaji na unywaji na kunitaka niwepo eneo la tukio ili ajivunie, cha ajabu bia zilipowakolea, huyo rafiki wa Ma mdogo alianza kufunguka japo kwa mafumbo sana huku akinitazama kama Simba mwenye hamu, nikajikuta napatwa na presha ya ghafla

Siku iliyofuata nikaamua kufunga safari kurudi Dar, hata x mass niliyopanga kuisherehekea nikiwa nyumbani, imenishinda

Moyo unanitesa sana dhidi ya hili jambo. Mwili wa huyu mwanamama sio wa kuvutia, ni tufe / tukunyema la mtu kiasi kwamba wanakijiji wakijua nitakuwa nimeua bendi. Isitoshe lina watoto wawili, wa kwanza ana 11 yrs wa kike. Nahitaji msaada wa kisaikolojia kwa kuwa endapo hii siri itafichulika huenda yeye mwenyewe kwa mdogo wake ama mmiliki wa ule mchakacho, nitaumbuka mwenzenu
Wewe bhana pambana tu na hilo tukunyema lako. Kwani wakati ulipoambiwa ulisubiri na wewe mwenyewe kuamua kujibanza kwenye giza, ulituomba ushauri wa kisaikolojia?
 
Serious Issue
Wiki kama mbili hivi zilizoisha nilienda nyumbani kutembelea wazee, kama mjuavyo mapokeo ya huko Nanjilinji huwa ni yenye furaha na vifijo, ilikuwa vivyo hivyo kwangu mie

Siku ya pili tokea mapokeo yangu, kulikuwa na sherehe ya birthday kwa rafiki wa Ma Mdogo wangu, basi bhana nikaona wacha nikahudhurie, walau nioshe oshe macho. Mie sio mpenzi wa vyombo, hivyo nilibaki kushuhudia tu watu wanavyogigida Serengeti na Safari za kutosha. Kwenye mida ya saa 5 usiku, watu wote walikuwa nzwi huku wengine wakijaribu kutoweka eneo la tukio taratiiibu

Dakika chache baadaye, niliona wacha na mie nirudi zangu magetoni kupumzisha akili, lakini wakati natoweka mlangoni, nilisikia sauti ya rafiki wa Ma Mdogo ikiniita kwa taratibu, kugeuka hakuwa mwingine bali yeye, akaniambia kuwa ningoje Ma Mdogo aondoke kwa kuwa ana issue special anahitaji tuzungumze. Basi bhana, nikasogea kwenye kigiza nikatulia. Mida ya saa saba usiku niliwaona Ma Mdogo na mashosti zake watatu wakitoka mle ndani, ghafla muziki ulipunguzwa, ikabidi nijisogeze pale kumsikiliza. Akanikaribisha ndani na kunisihi sana ni-dance naye. Kutokana na kinguo alichokuwa amekivaa, jumlisha mimi mwenyewe ndo wa kiume, na mjuavyo kuwa wanaume tumeumbiwa lawama, tulijikuta tunabusiana na dakika tano baadae nilijikuta nishamtanua nikipiga kimoko cha fasta fasta bila hiari yangu. Nilikuja gundua kuwa nimefanya makosa baada tu ya kukojoa. Baada ya hapo niliinuka kifuani kwake kwa kasi na bashasha huku mwili ukitetemeka sana. Cha ajabu alijistiri vizuri na kuanza kuzungumza vitu ambavyo sikuvielewa, si mnajua tena akili za pombe?

Nitajaribu kuweka summary ya baadhi ya yale tu aliyoyabwabwaja:
•Tayari tumeshavunjiana heshima, iwe siri yako, nikiyasikia mahali utajuta kuzaliwa, nitakufanya kitu mbaya

•Mie sio mly, hata kufanya nawe huu ufuska sio kimasihara, bali nilipanga iwe hivi kwa kuwa nakupenda, sipendi kuchanganywa na mbwa jike nyingine katika maisha yangu

• Sio kwamba huwa napenda sana kulala na wanaume, ni kwa vile tu nafanya hivyo ili kupata pesa kwa kuwa mimi ndio tegemeo kubwa la wazazi wangu

• Sio kwamba napenda kumsaliti mume wangu, ni kwa vile yeye ni mzee na isitoshe hawezi kumudu tendo kwa muda mrefu

Baada ya hapo akaanza kujiliza sana huku akinihadithia historia ya maisha yake na wanae na wazazi wake. Dakika chache baadae nilisikia mchakacho wa mtu kama vile alikuwa anatusikiliza dirishani, ndipo nikaamua kuondoka kwa lazima. Cha kushangaza kesho yake hakuonesha dalili yoyote ya kile kilichotokea, yaani ni kama vile ilikuwa ni ndoto

Nilipojaribu ku-imagine shape, sura na age yake nilijikuta nikisononeka sana. Siku iliyofuata alikuja kwa Bi Mkubwa, nahisi ni baada ya kupata taarifa kuwa nilikuwa hapo. Alianza kufuatilia moment za wale akina dada niliokuwa nazungumza nao kiasi kwamba nikakosa hata uhuru kiasi cha kujiondokea. Siku iliyofuata, Bi Mkubwa alitengeneza ka sherehe ka ulaji na unywaji na kunitaka niwepo eneo la tukio ili ajivunie, cha ajabu bia zilipowakolea, huyo rafiki wa Ma mdogo alianza kufunguka japo kwa mafumbo sana huku akinitazama kama Simba mwenye hamu, nikajikuta napatwa na presha ya ghafla

Siku iliyofuata nikaamua kufunga safari kurudi Dar, hata x mass niliyopanga kuisherehekea nikiwa nyumbani, imenishinda

Moyo unanitesa sana dhidi ya hili jambo. Mwili wa huyu mwanamama sio wa kuvutia, ni tufe / tukunyema la mtu kiasi kwamba wanakijiji wakijua nitakuwa nimeua bendi. Isitoshe lina watoto wawili, wa kwanza ana 11 yrs wa kike. Nahitaji msaada wa kisaikolojia kwa kuwa endapo hii siri itafichulika huenda yeye mwenyewe kwa mdogo wake ama mmiliki wa ule mchakacho, nitaumbuka mwenzenu
Huwa sipendi kuuliza watu umri wao, lakini kwa jinsi ulivyoandika, inaonesha kabisa wewe bado unaogopa maoni ya jamii...na inawezekana kabisa hujafiksiha miaka 40... kumbuka pia na wewe pia ni jamii na maoni yako binafsi ni yako na sio watu wengine wakuhukumu. Kama umekwisha chakata, hayo yote ya mawazo ni ya nini? unajitakia pressure za bure tu mkuu. Siku ukisikia kwamba stori zako zinavuma, unatafuta tu mwanzilishi na kumwambia njoo na wewe nikupelekee moto, si unawivu? kama huna wivu ya nini kusambaza habari zangu? akikataa, unamwambia sasa na mimi nitakutangaza kwamba huwezi kunyanduliwa na kinacho kusumbua ni wivu tu. Kama unamudu, njoo nipime oil mpaka za overtime tuone. Na hili linakuwa jibu lako kwa yeyote mwenye kuzusha habari zako. Sifa zako zitaenea kwa jambo zuri la kumpa uroda huyo bonge wako.. usiogope midomo ya watu mkuu, wewe wanyandue tu... maoni ni yao na hata wewe unayako, tabu ya mawazo ya nini? kujitafutia pressure tu, kisa kuchakata.. give me a break bwana...
 
Itoshe kusema umeyakanyaga mkuu,news flash tukunyema kukuacha Hilo sahau,na ukimchunia jiandae kumpokea maghetoni,maana atakusaka Chocho zote za dar.Chakufanya chana Nida,omba uraia wa Palestina utokomee Kwa muda.
 
Dah pole mkuu, hilo soo litakuwa kubwa kama hayo maneno yatamfikia yule mzee mwenye mke wake.
Mabifu na wazee sio mazuri, atakuroga.
 
Back
Top Bottom