Ujinga tulioufanya mimi na rafiki wa Ma Mdogo wangu unanitesa sana

Methali :6:32
Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa; huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.
 
Ko nyinyi Mnazani Ukifanya tu peku ukimwi Tiyari. Wewe Unatumia dozi au ndo unafanya na condom.
 
Nakunukuu.

Mwili wa huyu mwanamama sio wa kuvutia, ni tufe / tukunyema la mtu kiasi kwamba wanakijiji wakijua nitakuwa nimeua bendi. Isitoshe lina watoto wawili, wa kwanza ana 11 yrs wa kike.

Swali.

Hukuliona hilo hapo awali mkuu ?
Nakushauri upambane na hali yako hakuna namna
 
Vijana wa siku hizi mna mioyo myepesi sana ndio maana jambo dogo mnajitundika!
 
Fanya Kama ni ajali ilitokea, endelea na Maisha....
 
Wewe bhana pambana tu na hilo tukunyema lako. Kwani wakati ulipoambiwa ulisubiri na wewe mwenyewe kuamua kujibanza kwenye giza, ulituomba ushauri wa kisaikolojia?
 
Huwa sipendi kuuliza watu umri wao, lakini kwa jinsi ulivyoandika, inaonesha kabisa wewe bado unaogopa maoni ya jamii...na inawezekana kabisa hujafiksiha miaka 40... kumbuka pia na wewe pia ni jamii na maoni yako binafsi ni yako na sio watu wengine wakuhukumu. Kama umekwisha chakata, hayo yote ya mawazo ni ya nini? unajitakia pressure za bure tu mkuu. Siku ukisikia kwamba stori zako zinavuma, unatafuta tu mwanzilishi na kumwambia njoo na wewe nikupelekee moto, si unawivu? kama huna wivu ya nini kusambaza habari zangu? akikataa, unamwambia sasa na mimi nitakutangaza kwamba huwezi kunyanduliwa na kinacho kusumbua ni wivu tu. Kama unamudu, njoo nipime oil mpaka za overtime tuone. Na hili linakuwa jibu lako kwa yeyote mwenye kuzusha habari zako. Sifa zako zitaenea kwa jambo zuri la kumpa uroda huyo bonge wako.. usiogope midomo ya watu mkuu, wewe wanyandue tu... maoni ni yao na hata wewe unayako, tabu ya mawazo ya nini? kujitafutia pressure tu, kisa kuchakata.. give me a break bwana...
 
Itoshe kusema umeyakanyaga mkuu,news flash tukunyema kukuacha Hilo sahau,na ukimchunia jiandae kumpokea maghetoni,maana atakusaka Chocho zote za dar.Chakufanya chana Nida,omba uraia wa Palestina utokomee Kwa muda.
 
Dah pole mkuu, hilo soo litakuwa kubwa kama hayo maneno yatamfikia yule mzee mwenye mke wake.
Mabifu na wazee sio mazuri, atakuroga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…