Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliosema Pilipili Usiyoila Yakuwashia nini nadhani walikuwa jirani zako....
Weka kinagaubaga magonjwa hayo.Pilipili ni tiba wahindi wanaamini kutoa jasho ni sehem ya kuondoa maradhi au uchafu mwilini
PILIPILI INAONDOA MAGONJWA SABA MWILINI INAINGIZA MAGONJWA SABA MWILINI.
mi hata limau nimeacha kuweka kwenye supu naona sipati ladha halisi ya supu, pilipili nayo nimeacha ili nipate ladha nzuri ya chakula bila uchachu wa limau na ukali wa pilipili
Baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ladha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvu anajaza pilipili sasa ladha ya msosi utaijulia wa wapi?
Unafanya bodybuilding?Uongo
Pilipili ni tiba wahindi wanaamini kutoa jasho ni sehem ya kuondoa maradhi au uchafu mwilini
PILIPILI INAONDOA MAGONJWA SABA MWILINI INAINGIZA MAGONJWA SABA MWILINI.
Unafanya bodybuilding?
I see. Ok sawaNa jogg sana na nakula pilipili sana. Sijawahi ona ttzo