Ujinga wa wanaokula Pilipili!

Ujinga wa wanaokula Pilipili!

Pilipili ni tiba wahindi wanaamini kutoa jasho ni sehem ya kuondoa maradhi au uchafu mwilini

PILIPILI INAONDOA MAGONJWA SABA MWILINI INAINGIZA MAGONJWA SABA MWILINI.
 
Pilipili ni tiba wahindi wanaamini kutoa jasho ni sehem ya kuondoa maradhi au uchafu mwilini

PILIPILI INAONDOA MAGONJWA SABA MWILINI INAINGIZA MAGONJWA SABA MWILINI.
Weka kinagaubaga magonjwa hayo.
 

Baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ladha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvu anajaza pilipili sasa ladha ya msosi utaijulia wa wapi?
mi hata limau nimeacha kuweka kwenye supu naona sipati ladha halisi ya supu, pilipili nayo nimeacha ili nipate ladha nzuri ya chakula bila uchachu wa limau na ukali wa pilipili
 
Pilipili ni tiba wahindi wanaamini kutoa jasho ni sehem ya kuondoa maradhi au uchafu mwilini

PILIPILI INAONDOA MAGONJWA SABA MWILINI INAINGIZA MAGONJWA SABA MWILINI.

Inaondoa yapi inaingiza yapi?
 
Back
Top Bottom