Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Hahahaaa true, ila hapo Tz clouds mchana hawana cha maana ni miziki tu hadi jioni...aisee hako kabinti apo kwa picha kamenikumbusha r chuga nina kabinti Salma mazee...totoz mtam hataree, nitafunga safari ya kushtukiza huko pindi odinga akiacha kuchafua hali ya hewa huku[emoji3] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Fisi katika ubora wake
 
Nani kasema wameshindwa?? wako na 30% market share kwa hapa nyumban, sio wadogo kama unavyoweza dhani, nyie wasubirini tu
Halafu kwa ubunifu kwa upande wa ujana hawa Clouds wako vizuri. Hizo media za Kenya wasiwadharau. Hawa jamaa kwa kubuni miradi ya kuteka soko la vijana wako vizuri teba sana. Hizo media za kenya zinaweza kuwa ni nzuri kwa habari za kiuchunguzi lakini kwa kubuni mambo ya burudani,nawaambia ukweli ndugu zetu Wakenya,Clouds wako vizuri na ni wabunifu.
So stay tuned!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Fisi katika ubora wake
Misambwanda intamanisha ohooo...at a uguse tuu[emoji3] [emoji125] [emoji191] [emoji191]
14390633_1803153379971687_2222280353945562059_n.jpg
 
Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
Unajua unachokiongea kaka? Hebu angalia vizuri ulichoandika, wewe ni Mhandisi kumbuka.
 
Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
Naamini hizo hatua zote wanazifahamu na kama kweli wameamua kuja hapo kenya hasa mombasa hizo zote wamefanya/watafanya. Kwanza Kenya sio nchi yao ya kwanza kuwekeza kwenye medani hii, hapa EA tayari wapo Rwanda na wanafanya vizuri, Wapo Abu Dhabi uarabuni, wakijulikana kama clouds media international. Mpaka sasa coverage yao ni nchi 9 za asia.
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
Kusema tu kuwa wana vitu vya kishenzi maana yake umeangalia! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Endelea kuangalia ndg, kwa taarifa Kenya ni wachawi kuliko tz, kama unabisha turudi kule kwenye uzi wa uchawi tuweke takwimu.
 
Ni mtanzania ila ameishi Nairobi i think hata elimu ya secondary kaipatia huko
BABIE KABAE : Njia pekee ya kufanikiwa ni kujituma

Babie Kabae

Kwa ufupi
Onyesho hilo lilifahamika kama ‘Fashion for Health’. Onyesho hili lilifanyika katika Hoteli ya Serena, mimi nilikuwepo kuripoti lakini bi mkubwa huyu licha ya kuwa mwanahabari, siku ile alisimama kama mshereheshaji.

By Maimuna Kubegeya
Kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanamke huyu visiwani Zanzibar. Ilikuwa mwaka 2010, kwenye onyesho kubwa la mitindo lililoandaliwa na Nguli Mustafa Hassanali.

Onyesho hilo lilifahamika kama ‘Fashion for Health’. Onyesho hili lilifanyika katika Hoteli ya Serena, mimi nilikuwepo kuripoti lakini bi mkubwa huyu licha ya kuwa mwanahabari, siku ile alisimama kama mshereheshaji.

Akiwa amebarikiwa sauti ya kipekee, huku akijiamini aliweza kuendesha onyesho hilo na kutokana na kujiamini kwake aliwateka wafuatiliaji na washabiki na hata kuwafanya wawe na shangwe kila wakati alipokuwa akizungumza.

Namzungumzia Babie Kabae mama wa watoto watatu mwenye asili ya Mombasa nchini Kenya, Mtangazaji wa Redio ya Choice FM.
 
Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
As usual Kenyan mentality, too much know. You know how to discourage simply because is a Tanzanian company, if they have managed to stay competitive for almost seven years now why not Kenya, for your information they are doing very well in Tanzania and Rwanda, they are coming to Kenya to bring neutral unbiased stuff, not like Kenya media which are very much biased and polarised by tribalism, if Jamii forum is doing very well in Kenya why not them, be prepared to receive AZAM TV soon.
 
As usual Kenyan mentality, too much know. You know how to discourage simply because is a Tanzanian company, if they have managed to stay competitive for almost seven years now why not Kenya, for your information they are doing very well in Tanzania and Rwanda, they are coming to Kenya to bring neutral unbiased stuff, not like Kenya media which are very much biased and polarised by tribalism, if Jamii forum is doing very well in Kenya why not them, be prepared to receive AZAM TV soon.
In addition, they are doing quite well in the UAE
 
As usual Kenyan mentality, too much know. You know how to discourage simply because is a Tanzanian company, if they have managed to stay competitive for almost seven years now why not Kenya, for your information they are doing very well in Tanzania and Rwanda, they are coming to Kenya to bring neutral unbiased stuff, not like Kenya media which are very much biased and polarised by tribalism, if Jamii forum is doing very well in Kenya why not them, be prepared to receive AZAM TV soon.

biashara sio hisia kaka. ni kujituma, utafiti wa soko, kusoma mode wa soko na uzoevu. hizo zingine ni bla..bla... bla tu
 
Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .

Naamini hizo hatua zote wanazifahamu na kama kweli wameamua kuja hapo kenya hasa mombasa hizo zote wamefanya/watafanya. Kwanza Kenya sio nchi yao ya kwanza kuwekeza kwenye medani hii, hapa EA tayari wapo Rwanda na wanafanya vizuri, Wapo Abu Dhabi uarabuni, wakijulikana kama clouds media international. Mpaka sasa coverage yao ni nchi 9 za asia.
Kuna watu wengine ni kazi kuwaelimisha, jamaa hajuwi target market ya Clouds, anafikiri ni media za kizee. Clouds wapo mpaka Jamaica, watashidwa hapa jirani?

clouds-media-group
 
Waje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.

Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake

maxresdefault.jpg
Umesahau kua huyo dada ni mkenya mwenzio kutokea mombassa.
 
biashara sio hisia kaka. ni kujituma, utafiti wa soko, kusoma mode wa soko na uzoevu. hizo zingine ni bla..bla... bla tu
Sasa huyu mkenya anajuaje kama hawa hawakufanya hayo yote hadi aseme hawatoweza, kwanza nani kamwambia kwamba wameshindwa huku Tanzania, Clouds kama sio namba moja basi watakua namba mbili au tatu hapa nchini, huko ndiko kushindwa?, kote walikokwenda hawajawahi kushindwa, wapo Dubai, Rwanda na kote wanafanya vizuri sana, maana yake wapo vizuri maeneo yote.
 
BABIE KABAE : Njia pekee ya kufanikiwa ni kujituma

Babie Kabae

Kwa ufupi
Onyesho hilo lilifahamika kama ‘Fashion for Health’. Onyesho hili lilifanyika katika Hoteli ya Serena, mimi nilikuwepo kuripoti lakini bi mkubwa huyu licha ya kuwa mwanahabari, siku ile alisimama kama mshereheshaji.

By Maimuna Kubegeya
Kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanamke huyu visiwani Zanzibar. Ilikuwa mwaka 2010, kwenye onyesho kubwa la mitindo lililoandaliwa na Nguli Mustafa Hassanali.

Onyesho hilo lilifahamika kama ‘Fashion for Health’. Onyesho hili lilifanyika katika Hoteli ya Serena, mimi nilikuwepo kuripoti lakini bi mkubwa huyu licha ya kuwa mwanahabari, siku ile alisimama kama mshereheshaji.

Akiwa amebarikiwa sauti ya kipekee, huku akijiamini aliweza kuendesha onyesho hilo na kutokana na kujiamini kwake aliwateka wafuatiliaji na washabiki na hata kuwafanya wawe na shangwe kila wakati alipokuwa akizungumza.

Namzungumzia Babie Kabae mama wa watoto watatu mwenye asili ya Mombasa nchini Kenya, Mtangazaji wa Redio ya Choice FM.
Nashukuru kuweka suala hili sawasawa
 
Back
Top Bottom