UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote

Karibu sana Lucas!
 
Last edited by a moderator:
Niko idara ya maji jamaa wa Tanroad kaja kulalamika kuwa maji hakuna kwao wiki nzima then jamaa akamwambia hata wao pia hawana!
 
Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote

hongera zako bwana lucas
 
Last edited by a moderator:
Tena wewe ukijilipua, kesho tu @maxence mello anaweza kukukaribisha kwa ofisi kukupongeza! Kamtu maarufu kama vocha ya mia tano!
(refar ziko pipo zishamilikigi simu miaka kadhaa, bt hazijui kama hua vocha za buku 10 zipo!)

Siku akijianika hapa Kongosho mimi namuandalia vocha shs 5000 ya mtandao wowote atakaotaka.... shahidi Invisible
 
Last edited by a moderator:
habari ndo hiyo
avatar82379_3-1.gifThe secretary
 
Mkuu @smiling saint asante sana kwa kuja kivingine na karibu sana kwa kuendelea na pale tulipoachia ukiwa @Smiling saint na kw asasa ni Lucas
Asante sana naamini tutaendelea kuelimishana na kupeana ushauri kama kawaida
Asante sana mkuu

Shukrani mkuu natambua mchango wako wa kipekee pia, vipi Meru kwema?
 
Back
Top Bottom