UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

Shukrani mkuu natambua mchango wako wa kipekee pia, vipi Meru kwema?

Uwepo wako ni wa muhimu sana na tunatarajia michango yako mkuu sana tuu
Meru kwema mkuu Lucas Karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Bwana Yesu asifiwe sana..Sasa tubadilishie na avatar basi tufurahi zaidi kukufahamu..


AMEN...... Taratibu dada, itafika tu huko wala usiwe na wasi wasi ukitaka hadi blog yangu waweza ipata
 
samahani sana mkuu, mimi nlijua wewe dame ndo maana nikakupm!..hahahaaa...!!!. mia

Nashukuru sijawahi ipata hiyo pm, labda mode alishtuka aka-diverge..... hiyo nadhani ilikuwa ... hamsini...lol
 
Hahahhahaaa
Mi ndio niliwatoa jamaa kwa bao la ukweli lol
Niliibuka mchezaji bora aisee na mfungaji bora...wakanipa zawadi kibao ikiwemo crate kumi za ndovu.

Hah, kwenye picha za uwanjani sijakuona hata moja!!! wewe mi nahisi ulikuwa mshika jezi au labda kamati ya ufundi!! kama ulikuwepo ndani basi hongera
 
Hiyo ni just a username mpaka uwe verified, uweke majina yako mawili, uweke picha uliyopiga dakika 15 zilizopita.

Ikiwezekana tutaweka sehemu ya voice signature pia.

Thanks mkuu Kiranga, that is why i said ni one step to, not yet verified user..... nitafika tu huko
 
Last edited by a moderator:
karibu naongeza kapicha ka pili wanakuwa wawili

halafu?

nadhani haka katakufaa kuwa ka pili
images
 
Hah, kwenye picha za uwanjani sijakuona hata moja!!! wewe mi nahisi ulikuwa mshika jezi au labda kamati ya ufundi!! kama ulikuwepo ndani basi hongera
Muulize cheupe atakuambia
Yan nilikuwa naambiwa USINIUMIZIEEEEEEEEEEEE kidogo Mtaniumiziaaaaaaaaaa
 
Muulize cheupe atakuambia
Yan nilikuwa naambiwa USINIUMIZIEEEEEEEEEEEE kidogo Mtaniumiziaaaaaaaaaa

Haya, hukumbuki siku ule kidogo ulie alivyoondoka kimya kimya.... aha ha aha ha h
 
Back
Top Bottom