UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

R.I.P @smiling saint will miss yu tom!
images


amefanyaje huyu?
 
Nikiongea kwa niaba ya Mpenda Yesu(RIS) nasema hongera sana Lucas Kwa kuamua kuwa real.
Mie nimekuwa real toka nilipo jiunga 2011,lakini kutokana na magumashi ya kule siasani,mchanganyiko na Great Thinkers,ikabidi niahirishe uamzi huo kwanza.
Kila la heri.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza hongera kujilipua!
Ni viashiria utafanikiwa mengi uliyo target for the days comin!
The size of your success is measured by the strength of your desire!
The size of your dream and how you handle disappointment alon the way!
Welldone Lucas.
Thanks sana mkuu, salaam sana kwa wana Mwanza, I hope to be there again
 
Lucas, umeona Kadinali Jorge wa Argentina amepewa jina la Francis.... sawa Saint Simle, mtakatifu wa tabasamu pana, imekaa njema, lakini usije kuwa kama yule mzee wa Magogoni ambaye anakenua kenua tu hata panapotakiwa kuonyesha majonzi
 
Last edited by a moderator:
Nikiongea kwa niaba ya Mpenda Yesu(RIS) nasema hongera sana Lucas Kwa kuamua kuwa real.
Mie nimekuwa real toka nilipo jiunga 2011,lakini kutokana na magumashi ya kule siasani,mchanganyiko na Great Thinkers,ikabidi niahirishe uamzi huo kwanza.
Kila la heri.

Shukrani, mkaribu kwenye stress free but cautious forum, the CC
 
Lucas, umeona Kadinali Jorge wa Argentina amepewa jina la Francis.... sawa Saint Simle, mtakatifu wa tabasamu pana, imekaa njema, lakini usije kuwa kama yule mzee wa Magogoni ambaye anakenua kenua tu hata panapotakiwa kuonyesha majonzi
Shukrani sana mkuu, hapa mimi nimeambiwa Furahini, tena furahini
 
Kajilipua haswaa

Na sie tujilipue??

Kwanza hongera kujilipua!
Ni viashiria utafanikiwa mengi uliyo target for the days comin!
The size of your success is measured by the strength of your desire!
The size of your dream and how you handle disappointment alon the way!
Welldone Lucas.
 
Kajilipua haswaa

Na sie tujilipue??

Tena wewe ukijilipua, kesho tu @maxence mello anaweza kukukaribisha kwa ofisi kukupongeza! Kamtu maarufu kama vocha ya mia tano!
(refar ziko pipo zishamilikigi simu miaka kadhaa, bt hazijui kama hua vocha za buku 10 zipo!)
 
Lucas sijajua ungenisahau ingekuwaje, si ingekuwa mbaya sana.
Hongera kwa kuamua kuweka jina la ubatizo,
Tena unajua jana nilikosa sana,
hebu niwekee tena ile sala ya toba hapa ili niondoa yale majanga ya jana
kwenye uzi fulani hivi.

Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote
 
Last edited by a moderator:
..big up Lucas..hata mimi nafikiria kuja na moja ya majina yng Halisi...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu @smiling saint asante sana kwa kuja kivingine na karibu sana kwa kuendelea na pale tulipoachia ukiwa @Smiling saint na kw asasa ni Lucas
Asante sana naamini tutaendelea kuelimishana na kupeana ushauri kama kawaida
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom