UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

UJIO MPYA: ONE STEP TO VERIFIED USER from Smiling Saint to Lucas

Ndugu zangu wana JF,

I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,

Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza pata hadi marafiki wazuri sana na tuki-share mambo mbali mbali ya kimaisha.


Leo nimeamua kuja na moja ya majina yangu halisi, na sio just a username, ninafurahia kufahamiana, lakini pia ninafurahia kuwa sehemu ya furaha ya watu wengine.

It is always my wish to be a part of someone's happiness, and that is why i like smiling, but in whatever I do i always wish to glorify my God and to seek holiness from Him. that is why I called myself Smiling saint, those are my wishes, ukijisikia kuniita hivyo karibu, ukijisikia kuniita Lucas pia karibu

NB: to My brothers Erickb52, manoah, Boflo, BAGAH, Nicas Mtei, To wajomba Mtambuzi, Bishanga, Asprin, Dark City, my friends woote King'asti, Cantalisia, Smile Kongosho, Mwali, Arushaone, Ronn M, Mr Rocky, Bujibuji et al.... kiukweli ni wengi sana , sijawasahu charminglady, Zion Daughter, Mpenda Yesu, Filipo, FP (mtani wangu huyu) snowhite, na mama Mamndenyi......


I wish niwa-name woote but ninaomba hao wawa kilishe salamu zangu za upendo, furaha na amani kwa wooote
mbona kile kitufe cha verified user sikioni mods wanatambua hili?
 
mbona kile kitufe cha verified user sikioni mods wanatambua hili?

aha ha ahaha hii ni one step to go, bado sijakamilisha nikikamilisha Invisible atanirekebishia..... ila kwa sasa just amini nimejiverifai kwa sehemu... Habari Nivea?
 
Last edited by a moderator:
safi uu hali gani wewe smiling saint!!!!

images

mie sijambo wewe je Nivea?

nivea-body-lotion-145x300.jpg
 
heheheheheheh inaonyesha uu muumini mzuri wa nivea
kidogo ila shida ni kuwa ni mara chache upande daladala kutoka mwenge au sinza hado posta bila kupata jirani mwenye Nivea pia hususani hii

Nivea-Deodorant-Fresh-Active-Spray-For-Men-181941.jpg
 
Sio kweli bana, nilifikia Nelson Mandela

Mimi niliamini ni kwli maana huku resipondi hata kido wakati wa komvasesheni kati yangu na Mr. Rocky.

Mr. Rocky, nilishindwa kukutafuta siku ile maana nilikuwa na matatizo ya kifamilia ambayo yalisababisha nikatishe ziara yangu A town, narudi tarehe 5 April, hope ntakuona. Ntakua mjini 4 4 days
 
ah ah! Wewe ndio bomu bora yangu mimi niliingia kimya kimya na nikachomoka kimya kimya, chardams Pole na changamoto za kimajukumu ya kifamilia.
Mimi niliamini ni kwli maana huku resipondi hata kido wakati wa komvasesheni kati yangu na Mr. Rocky.

Mr. Rocky, nilishindwa kukutafuta siku ile maana nilikuwa na matatizo ya kifamilia ambayo yalisababisha nikatishe ziara yangu A town, narudi tarehe 5 April, hope ntakuona. Ntakua mjini 4 4 days
 
Last edited by a moderator:
ah ah! Wewe ndio bomu bora yangu mimi niliingia kimya kimya na nikachomoka kimya kimya, chardams Pole na changamoto za kimajukumu ya kifamilia.

Aksante sana ndugu yangu,

Hapo sikubali Manoah, kama uliingia kimya kimya Mr. Rocky alijuaje kuwa umekwama stendi ya mabasi, ukiwa hujui pa kuelekea
 
Back
Top Bottom